Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

"Bora dr Slaa awe rais, kuliko huyu Tundu Lissu kuwa mbunge" JK (2010)
- NIKIIKUMBUKA HII KAULI YA JK MOYO WANGU UNANYONG'ONYEA.
 
Hatimaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Hakimu anamalizia kwa kusemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kila hukumu ya kupinga ubunge wa Chadema watengue Matokeo tuende uchaguzi tuone CCM watakavyoumbuka....
 
Nnawaomba wananchi wa Singida muwe na moyo huku Arusha,wakimuondoa Lissu hata jabali likiwekwa mlipigie kura.Kila kesi wanayofunguliwa wapinzani lazima upande wa mashitaka wawe ni makada wa ccm tu.
 
ile kese ya lema jajai alisema page ya mwisho na kuhitimisha ...kumbuka ile iliandikwa kwa kingereza ambapo yuje voda fasta (jaji) hawezi kuongea wala kusoma vizuri..ndio maana alifanya fasta hii iko kwa kiswahili jaaji anasoma mwanzo hadi mwisho

kwenye red, hata siku moja hukumu ya wilaya, mahakama kuu ama mahakama ya rufani hawezi kuwa kwa kiswahili. Hilo ni suala la kisheria kabisa. Hukumu hizo lazima ziandikwa kwa kingereza. Hata hii inavyoendelea kusomwa na jaji mzuna lazima iko kwa kingereza. Sema tu anatafsiri neno kwa neno. Hukumu za mahakama za mwanzo ndiyo ndiyo huandikwa kwa lugha ya kiswahili.
 
Sasa hivi CCM wanajua kuwa kushinda kwao katika Chaguzi ni kazi kubwa sana kwa jinsi upepo wa siasa ulivyo kwa sasa. Watakuwa wajinga kushawishi mahakama kutengua ubunge wa wabunge wa Chadema.
 
tumeshafika mahakamani, wafuasi wa vyama mbalimbali vya siasa, wananchi wa singida, na waandishi wa habari wapo wengi sana katika eneo la mahakama.

Polisi ni wengi sana, ndani na nje ya mahakama. Kilicho cha ajabu kidogo leo getini maofisa wote wakubwa wa jeshi la polisi wapo pale na kikosi maalumu kwa ajili ya kumkagua kila anayeingia mahakamani, tunapekuliwa hasa, hadi wabunge wanaoingia.

Kuna baadhi walikatazwa kuingiza magari yao mahakamani lakini baada ya vuta nikuvute, magari yapo mahakamani, na watu wamtinga ndani tunasubiri yatakayojiri.......... Tutawajuza, leo kamanda nipo gado, mungu amenijalia afya.

updates:

tunakutegeme mkuu endelea kutujuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom