hoja ya nane na tisa ndizo zitakazo mmaliza lissu
Kaka tupo pamoja huku A-town, at least unatupa updates za kila hoja kuliko Isango ambae leo ametokomea.
Nicas analeta habari hapa au huoni?Mkuu Isango vp network imekata nini?
hoja ya nane na tisa ndizo zitakazo mmaliza lissu
hoja ya nane na tisa ndizo zitakazo mmaliza lissu
Taifa lisilokuwa na imani na vyombo vyake vya dola k.v mahakama=S/LEON + SUDAN.
Nicas analeta habari hapa au huoni?
hili ni tatizo kubwa kwa vile hawajiamini
Hebu tupe updates jamani huku utumbo unakata.
nashangaa sana sijui hofu yao inakuwaga nini wanapoamua kuweka ulinzi mkubwa tena hata pasipoitaji ulinzi wa namna hiyo, wanaohofia nguvu ya umma
Lissu ataokolewa na "learned brothers" wenzake hawa. Alitoa hotuba nzuri sana kama waziri kivuli wa Katiba na Sheria kwenye Bunge la bajeti lililopita kuhusu Muhimili huu muhimu unavyofanya kazi kwa taabu bila pesa, vitendea kazi, posho za Majaji,...hoja ya nane na tisa ndizo zitakazo mmaliza lissu