lissu anashinda kesi nauona upepo...
Walalamikaj wameshndwa kudhbtsha dai la kwanza kuhusu Lissu kuandaa barua za vyama vngne.
Hoja za walalamikaj zpo 9. Jaji ndo anafafanua 1 baada ya nyngne
Hoja ya 3 ya walalamikaj ni kuwa Chadema ilikuwa na mawakala 1240 ktk vituo 24. Hakimu ndo anatoa ufafanuz sasa.
Walalamikaj wameshndwa kudhbtsha hoja ya kwanza na ya pili
Hoja ya 3 ya walalamikaj ni kuwa Chadema ilikuwa na mawakala 1240 ktk vituo 124 vya uchaguzi mwaka wa 2010. Hakimu ndo anatoa ufafanuz sasa.
Walalamikaj wameshndwa kudhbtsha hoja ya kwanza na ya pili
Hoja ya 3 ya walalamikaj ni kuwa Chadema ilikuwa na mawakala 1240 ktk vituo 124 vya uchaguzi mwaka wa 2010. Hakimu ndo anatoa ufafanuz sasa.
Walalamikaj wameshndwa kudhbtsha hoja ya kwanza na ya pili
Kama kule Arusha kwenye kesi ya Lema aliyekashfiwa hakushtaki yeye wala kuja kutoa ushahidi na hukumu ikawa ni ile unatarajia hapa Singida kuwe tofauti? Labda wamwonee huruma "learned brother" mwenzao Lissu.Unalalamika hata hukumu haijamaliza kusomwa? mashabiki wa CDM cjui niwaweke category gani?
Asante mkuu!Hoja ya 3 ya walalamikaj ni kuwa Chadema ilikuwa na mawakala 1240 ktk vituo 124 vya uchaguzi mwaka wa 2010. Hakimu ndo anatoa ufafanuz sasa.
Walalamikaj wameshndwa kudhbtsha hoja ya kwanza na ya pili
unalalamika hata hukumu haijamaliza kusomwa? Mashabiki wa cdm cjui niwaweke category gani?
idawa mimi napata updates toka kwa mtu
walalamikaji katika kesi ile walikuwa hawakujipanga kabisa...