Wapendwa mimi nina skype lakini ni connect vipi ili mpate kusikia live toka hapa mahakamani? maana nipo karibu kabisa na tukio. Isango kwa pembeni nipo naye kamanda huyu. actually utafikiri leo kuna mtu anahukumiwa kifo maana hata sisi wasikilizaji tunaogopa polisi kwa jinsi walivyovaa. ALUTA CONTINUA. NIJUZENI JINSI YA KUTUMIA SKYPE.
lissu anashinda kesi nauona upepo...
Mkuu vipi lakini mwenendo wa hiyo hukumu???Wapendwa mimi nina skype lakini ni connect vipi ili mpate kusikia live toka hapa mahakamani? maana nipo karibu kabisa na tukio. Isango kwa pembeni nipo naye kamanda huyu. actually utafikiri leo kuna mtu anahukumiwa kifo maana hata sisi wasikilizaji tunaogopa polisi kwa jinsi walivyovaa. ALUTA CONTINUA. NIJUZENI JINSI YA KUTUMIA SKYPE.
Mhimili wetu wa MAHAKAMA unahitaji mabadiliko makubwa. Kenya wameanza kuusafisha mhimili wao kwa kuanza na Majaji wa Mahakama ya rufaa.
Walalamikaj wameshndwa kudhbtsha dai la kwanza kuhusu Lissu kuandaa barua za vyama vngne.
Hoja za walalamikaj zpo 9. Jaji ndo anafafanua 1 baada ya nyngne
wakiamua maamuzi ya magamba wanaongeza hasira ya wananchi na pia wanailetea taifa hasara
:A S 41: hakika tutashinda MUNGU yupo nasi