Hivi katika issues za mikataba huyu jamaa sio expert??, ningependa nijue mawazo yake kuhusu issue ya Dowans
kwa mtizamo wangu ingetokea tindu lisu ndy mwanasheria mkuu sidhani kama angeweza tamka maneno aliyotamka mwanasheria mkuu mura werema kuhusu katiba
kwa mtizamo wangu ingetokea tindu lisu ndy mwanasheria mkuu sidhani kama angeweza tamka maneno aliyotamka mwanasheria mkuu mura werema kuhusu katiba
kwa mtizamo wangu ingetokea tindu lisu ndy mwanasheria mkuu sidhani kama angeweza tamka maneno aliyotamka mwanasheria mkuu mura werema kuhusu katiba
hahaha ... kila mmoja amebobea kwenye nyanja zake, bahati mbaya makamba haja publish za kwake.is like comparing Albert Einstein na makamba
hahaha ... kila mmoja amebobea kwenye nyanja zake, bahati mbaya makamba haja publish za kwake.
ehh Mkuu Utingo Kuna wa tz wachache wangependa sana kusoma hiyo Journal, mfano NEC, JK na wanachama wa sisiemaki-publish utaweza kusoma alichopublish? ni bahati nzuri na mshukuru Mungu makamba hana uwezo huo.
Naogopa sana kuusema uwezo wake.... lakini ana sifa kuu ya kushindwa kesi anazozisimamia!! (mojawapo ni ya CHAVDA)kwa mtizamo wangu ingetokea tindu lisu ndy mwanasheria mkuu sidhani kama angeweza tamka maneno aliyotamka mwanasheria mkuu mura werema kuhusu katiba