brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 896
nlifatlia hii kesi hakuna pahala RPC alposhkwa na kgugumizi unapotaka andka habr andka habar sahihi husingze uchadema wako...huo n ugonjwa wenu mnapenda kupotosha kesi...
Dua za kuku? Acha kulalamika! Hamna ujanja wowote hapo ila kuna UPUMBAVU WA upande wenu! Priority yenu ni Wapinzani badala ya mambo ya maana!Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Yetu machoMatokeo ya Elimu huwekwa kwenye cheti(makaratasi)Usiliamini kila karatasi liitwalo cheti ukadhani lina matokeo sahihi,yawezekana kilichomo kwenye cheti ni zao la Bashilelism.
Nimeyadharau sana Makaratasi yanayoitwa vyeti vya elimu,tena yale yenye "Title" kubwa kama PhDs,Bachelors na nyinginezo.Ulishawahi kujiuliza PhD ya mafuta ya maganda ya korosho imeleta tija gani kwa Taifa tangu atunukiwe mwenye nayo?Au yule aliyepewa PhD baada ya "kukokotoa" umuhimu na faida za serikali tatu na baadae akalikana andiko lake lililompatia cheti chake cha " Permanent Head Dissoder(PhD)"?
Hawataki kumsikiaTeh teh. Unadhani wanaotaka sigombee uraisi wa TLS hawamjui?
Hapa mkuu na wewe umeamua kujitia hamnazo shida ni kuwa ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga usichanganye chuki na ukweli hivi Kweli uchochezi ni issue kwenye Taifa utadhani tupo enzi za mkoloniUltimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Toka polisi wapite na mkeo umewajengea chuki kiasi hicho.....We kwani ulishawahi muona polisi amekaa hadi uzeen asilimia kubwa akistaafu week inayokuja ndio anaingia kaburini
Halafi ni RPCJamaa elimu yake ikoje kama anashindwa kuhesabu aya? hatari sana
Hivi vyeo vya kupewa ndiyo tatizo lake, watu wafanye interview ya wazi.Halafi ni RPC
Interview ya RPC!!!!Hivi vyeo vya kupewa ndiyo tatizo lake, watu wafanye interview ya wazi.
Wapo wengi sema wamebanwa na mfumoInterview ya RPC!!!!
Vigezo uwe unajua mibishana na lisu.
Kwani kuna mwanasheria gani hata kutoka chadema anaweza kubishana na lisu???
Njata ndio nini?We ni njata?
Umemuelewa mshkaji aliyeuliza lakin?,Matokeo ya Elimu huwekwa kwenye cheti(makaratasi)Usiliamini kila karatasi liitwalo cheti ukadhani lina matokeo sahihi,yawezekana kilichomo kwenye cheti ni zao la Bashilelism.
Nimeyadharau sana Makaratasi yanayoitwa vyeti vya elimu,tena yale yenye "Title" kubwa kama PhDs,Bachelors na nyinginezo.Ulishawahi kujiuliza PhD ya mafuta ya maganda ya korosho imeleta tija gani kwa Taifa tangu atunukiwe mwenye nayo?Au yule aliyepewa PhD baada ya "kukokotoa" umuhimu na faida za serikali tatu na baadae akalikana andiko lake lililompatia cheti chake cha " Permanent Head Dissoder(PhD)"?
Umemuelewa mshkaji aliyeuliza lakin?,Matokeo ya Elimu huwekwa kwenye cheti(makaratasi)Usiliamini kila karatasi liitwalo cheti ukadhani lina matokeo sahihi,yawezekana kilichomo kwenye cheti ni zao la Bashilelism.
Nimeyadharau sana Makaratasi yanayoitwa vyeti vya elimu,tena yale yenye "Title" kubwa kama PhDs,Bachelors na nyinginezo.Ulishawahi kujiuliza PhD ya mafuta ya maganda ya korosho imeleta tija gani kwa Taifa tangu atunukiwe mwenye nayo?Au yule aliyepewa PhD baada ya "kukokotoa" umuhimu na faida za serikali tatu na baadae akalikana andiko lake lililompatia cheti chake cha " Permanent Head Dissoder(PhD)"?