Tundu Lissu alivyokuwa anatudanganya kuwa mchanga wa makinikia sio mali yetu ni mali ya wazungu

Sio kwamba madiliko ya sheri za madini mwaka 2017 zimeleta haya mabadiliko? Au Act wazalendo hamkuwemo bungeni?
Magufuli alilalamika kuwa hiyo 16% ipo kisheria lakini kwanini hatuipati. Nadhani ilipitishwa baada ya tume juu ya Buzwagi miaka ya 2010. Issue ilikua utekelezaji tu.

Hta mrabaha ulipandishwa hadi 4% ila sie bado tulipokea 3% pekee. Mkuu ukiwa unapenda kusoma hakuna mwanasiasa atakupotosha awe wa CCM au Upinzani.
 
Nashuruku kwa kuongezeka kwa mrahaba kwa kuwa hizi kampuni zinatoa taarifaa ya hasara kila mwaka hiyo 16% tutaipata labda mwaka wa mwisho wa kufunga mgodi
 
16% ni hisa mkuu mfano

Tuna laki moja
Wewe unaweka elfu 16
Beberu elfu 84

Mapato yakaja laki 1.5

Beberu anatoa gharama zote mfano mishahara, uchimbaji,mikopo n.k labda laki 1 so inabaki elfu 50.

Kuna kitu kinaitwa retained earnings ambayo ni faida inayorudishwa kwenye mtaji tuseme elfu 20.

So mnabaki na elfu 30. Hapo ndio beberu anakata kodi ya hiyo pesa kwa 30% so elfu 9.

Inabaki elfu 21 yeye anachukua 84% yaani elfu 18 then wewe unaambulia elfu 3 pekee.

Sasa unaweza ona nani kafaidika zaidi. Kutoka mapato ya laki 1.5 wewe umeambulia elfu 12!!!

Haya kabudi hawezi kuwaambia

Kwa mfano huu, TZ inapata elfu 12 wakati Barrick itapata elfu 18. Haya ni mafanikio makubwa ukilinganisha na tuliko toka. Kama mahesabu yatakuwa hivyo kongole kwa Rais Magufuli. Ni mataifa machache barani Afrika, kama yapo, yenye tija kama hiyo kwenye extraction industry. Na hivyo tunayo kila sababu ya kutembea kifua mbele katika hili.
 
kila mwenye akili anajua tanzania hamna upinzani bt kuna wachumia tumbo

ukiwaona serious majukwaani ujue wanatumikishwa na mabeberu behind the scene wanatudanganya ni wazalendo, hakuna uzalendo wakutetea upumbafu dhidi ya mali za taifa

Hivi mbona mnaongea kama majuha yasiyojitambua. Wapinzani ndiyo walioingia hiyo mikataba ya kijinga ya kuchota rasilimali zetu! Siyo serikali hii hii mnayoisifia sasa? Na ajabu huyo mnayemsifu sana na kumwona kama mungu mtu alikuwa miongoni mwa waliopitisha hiyo mikataba ya kinyonyaji.
 
Magufuli alilalamika kuwa hiyo 16% ipo kisheria lakini kwanini hatuipati. Nadhani ilipitishwa baada ya tume juu ya Buzwagi miaka ya 2010. Issue ilikua utekelezaji tu.

Hta mrabaha ulipandishwa hadi 4% ila sie bado tulipokea 3% pekee. Mkuu ukiwa unapenda kusoma hakuna mwanasiasa atakupotosha awe wa CCM au Upinzani.
Kwa mantiki hiyo hata Act wazakendo mnamkubali JPM. Tume ya jaji bomani ilitoa mapendekezo ya kubadili sheria ya madini. Lakini kwa sheria za madini zilizooitishwa mwaka 2017 zitaleta manufaa kwa taifa letu.
 
Dada punguza chuki si kila Jambo Ni la kuweka itikadi ya kisiasa jaribu kuweka Tanzania kwanza kila Jambo tangu uwe mshabiki wa chadema kipi ambacho umefaidika nacho Cha maendeleo? au kitu gani Cha utofauti wanacho chadema mpaka kuwaona Ni Mungu wako?
Mimi sio mwanasiasa tena.Hili kwani linahusu siasa au ushauri tu
 
Katika kipindi ambacho wanasiasa wa upinzan wanatakiwa kua makini na maneno wanayo ongea ni muda huu wa Rais John Pombe Magufuli sababu wanakuwa Kama wanajichafua wenyewe pale wanapo ongea kitu ambacho baadae kinaenda kuwa faida kwa yule ambae walitaka kumuathiri

Tukianzia kwenye Jambo la Corona kila siku linazid kuwazalilisha mbele za watu na kufanya Rais magufuli kuendelea kuwapa wakat mgumu

Mh tundulisu aliwahi kusema kua mchanga wa makinikia Sio Mali ya watanzania ni Mali ya wazungu na wanaweza kuupeleka popote pale wanapo taka bila kuulizwa na mtu yeyote Yan maneno Ayo alikua anayaongea mtanzania ambae anasema kila siku kua anataka kutuokoa watanzania kweli? Mh tundulisu wazungu walikupa nn ukafika mbali na kusema kua watanzania tutashtakiwa kes ambayo itatufiris sababu ya kuwaziwia wazungu kuchukua makinikia leo kiko wapi?

Mh Rais magufuli angelisikia maneno yako naiman mpaka sasaiv tungekua tumekubal kua makinikia Sio Mali yetu ni Mali ya wazungu japo ipo kwenye nchi yetu na kuacha waendelee kuchotea tu?

Ila kwakua Mh Rais John Pombe Magufuli Sio mzembe na Wala hajawahi kuogopa Wala kukata Tamaaa na anaamin kila kilichopo kwenye ardh ya Tanzania ni Mali ya mtanzania hakukubali ujinga uendelee kututawala akafanya maamuzi magum yalio fanya leo Tanzania tumetoka kidedea haki yetu ambayo ilipotea kwa muda mrefu imeanza kurejea

Pia nawashangaa wazee wa kupinga kila kitu hawana ata aibu eti sasahivi mada wameona ni serekal kukubali m200kulipwa kwa awam wakat mwanzo walibeza na kusema kua makinikia Sio Mali za watanzania Bali wazungu

Mh tundulisu embu ungama


Mob Uzi hii inajitegemea please Kama hamto jali na kwa ridhaa yenu msiunganishe huu Uzi kwenye Uzi zingine Mana Uzi zangu nyingi nikiweka zinapelekwa kwenye Uzi zingine asanteni
Tundu lissu. Piga magoti kwa Mungu. Umeumbuka sana sana. Tazama YouTube hii, Luna jamaa mwenye nguvu nyingi huko nyuma. Anachekelea sana bila ya kujua na yeye anawekwa ujinga
 
Kwa mfano huu, TZ inapata elfu 12 wakati Barrick itapata elfu 18. Haya ni mafanikio makubwa ukilinganisha na tuliko toka. Kama mahesabu yatakuwa hivyo kongole kwa Rais Magufuli. Ni mataifa machache barani Afrika, kama yapo, yenye tija kama hiyo kwenye extraction industry. Na hivyo tunayo kila sababu ya kutembea kifua mbele katika hili.
Elfu 18?

Mkuu retained earnings umehesabu? Kumbuka faida hamgawanyi mpka kampuni irudishe gharama za uwekezaji.

Kwahyo kma mtaji ni Trillion 10 hamtogawana faida mpka mapato yarudishe hiyo Trillion 10.

Hyo 16% ipo kisheria toka 2010 mbona tokea issue ya Buzwagi . hta mrabaha wa 4% ulikuepo ila utekelezaji tu haukuwa kwa kiwango hiko.

Kiufupi bado tunapigwa sana 84% bado kubwa sana mkuu
 
Hauna ubavu huo.
Ungekuwa mkweli japo kwa nafsi yako mwenyewe, chuki hiyo ingeanzia kwa waliopitisha kwa nderemo, sheria na mikataba mibovu ya madini.
Mmoja wao ni Mzee wa Chato na mwingine ni wa kwenu joka lenye makengeza.
Lakini bila ya aibu ETI unawachukia waliokuwa wanapinga yote hayo, muda wote.
Mkuu,
Ili uokoke unapaswa kuchukia matendo ya kale na kuacha dhambi

Sasa inapotokea mtu anaonyesha Nia ya Kuokoka halafu Padri anamkatalia basi huyo Padri ndio hafai kabisa kupewa hicho cheyo

Naongelea hivyo Vyama vinavyopinga hatua ya Kwanza ya kuongoka Kwa waliokuwa waovu,

Unapopinga hayo unahalalisha na kufurahia matendo Yao ya Kwanza kuwa yalikuwa Lulu kwako wewe Padri
 
Katika kipindi ambacho wanasiasa wa upinzan wanatakiwa kua makini na maneno wanayo ongea ni muda huu wa Rais John Pombe Magufuli sababu wanakuwa Kama wanajichafua wenyewe pale wanapo ongea kitu ambacho baadae kinaenda kuwa faida kwa yule ambae walitaka kumuathiri

Tukianzia kwenye Jambo la Corona kila siku linazid kuwazalilisha mbele za watu na kufanya Rais magufuli kuendelea kuwapa wakat mgumu

Mh tundulisu aliwahi kusema kua mchanga wa makinikia Sio Mali ya watanzania ni Mali ya wazungu na wanaweza kuupeleka popote pale wanapo taka bila kuulizwa na mtu yeyote Yan maneno Ayo alikua anayaongea mtanzania ambae anasema kila siku kua anataka kutuokoa watanzania kweli? Mh tundulisu wazungu walikupa nn ukafika mbali na kusema kua watanzania tutashtakiwa kes ambayo itatufiris sababu ya kuwaziwia wazungu kuchukua makinikia leo kiko wapi?

Mh Rais magufuli angelisikia maneno yako naiman mpaka sasaiv tungekua tumekubal kua makinikia Sio Mali yetu ni Mali ya wazungu japo ipo kwenye nchi yetu na kuacha waendelee kuchotea tu?

Ila kwakua Mh Rais John Pombe Magufuli Sio mzembe na Wala hajawahi kuogopa Wala kukata Tamaaa na anaamin kila kilichopo kwenye ardh ya Tanzania ni Mali ya mtanzania hakukubali ujinga uendelee kututawala akafanya maamuzi magum yalio fanya leo Tanzania tumetoka kidedea haki yetu ambayo ilipotea kwa muda mrefu imeanza kurejea

Pia nawashangaa wazee wa kupinga kila kitu hawana ata aibu eti sasahivi mada wameona ni serekal kukubali m200kulipwa kwa awam wakat mwanzo walibeza na kusema kua makinikia Sio Mali za watanzania Bali wazungu

Mh tundulisu embu ungama


Mob Uzi hii inajitegemea please Kama hamto jali na kwa ridhaa yenu msiunganishe huu Uzi kwenye Uzi zingine Mana Uzi zangu nyingi nikiweka zinapelekwa kwenye Uzi zingine asanteni

Yeye alikuwa anazungumzia sheria mbovu za madini,hakika huu uwanja siyo wa 'GREAT THINKERS' ushavamiwa sana.
 
Kosa la Lisu lilikuwa lipi hapo?
Alichosema kuhusu MIGA ni sahihi kabisa kwamba inawalinda dhidi ya expropriation na serikali hivyo kuzuia bila kujitoa MIGA kunaweza leta risk ya kushtakiwa. Sasa kushauri hivi ni usaliti?

2.Report ya prof Osoro ameita rubbish yes ni rubbish ndio maana haikua basis ya majadiliano ya makinikia. Otherwise ile bill ya TRA Trillion 400 ingekua imelipwa ila tumeishia kusettle kwa chini ya 5% ya madai yetu. Shida ilikua over estimations!! Yaani makinikia tu trillion 400 je tofali za dhahabu? Actually hilo deni ni zaidi hta ya mtaji wa Acacia!!! Ilipimwa sio kwa maabara cerified kimataifa n.k so yes it was rubbish at least to experts.

3. Kisheria ile dhahabu na mchanga ni wa mwekezaji ila serikali hali yake ni kodi na mrabaha. Hata magufuli alipokamata ni kwamba anadai kodi na mrabaha sio kwamba ule mchanga ni wetu 100% bali kodi yetu ipo pale. So sijui hapo kapotosha nini.

4 Kingine lissu kasema tunaibiwa kupitia sheria Mbovu yes sheria mbovu, ilipaswa thresholds ya pesa inayopatikana kubaki nchini iongezwe ili kuyapa mabenki ukwasi. Mrabaha wa 3% ulikua wizi na pia issue za tax pia, ssa nadhani huo ushauri wa kubadilisha sheria ulikua mzuri kuliko kwanza kupambana na hao. Kma utakumbuka kabla ya majidiliano serikali ilibadili sheria haraka sana na ndio hiko Lissu alitaka otherwise kusingebadilika kitu maana sheria inawafunga.

Lissu alieleweka sana kwa watu walioenda shule kuwa alitoa alternative approach ya kukamata wezi bila kubanwa na sheria. Sasa sijafahamu alifanya kosa kushauri?

Anyway nasubiri kuona hao wote waliohusika na huu wizi wakiburuzwa mahakama ya mafisadi!!

Cc USSR Drone Camera
Hawawezi kukuelewa ndugu
 
Mkuu,
Ili uokoke unapaswa kuchukia matendo ya kale na kuacha dhambi

Sasa inapotokea mtu anaonyesha Nia ya Kuokoka halafu Padri anamkatalia basi huyo Padri ndio hafai kabisa kupewa hicho cheyo

Naongelea hivyo Vyama vinavyopinga hatua ya Kwanza ya kuongoka Kwa waliokuwa waovu,

Unapopinga hayo unahalalisha na kufurahia matendo Yao ya Kwanza kuwa yalikuwa Lulu kwako wewe Padri
Ndugu yangu,
Ili ungamo lako liwe la kweli, na uweze kukubalika mbele za Mungu, unatakiwa pia kumkana na kumkataa shetani na mambo yake yote.
Bila ya hivyo utakuwa wajifurahisha tu.
 
Kamanda wa kutetea wezi wa mali za umma
Na wengine hawa...
FB_IMG_15905705647308365.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mantiki hiyo hata Act wazakendo mnamkubali JPM. Tume ya jaji bomani ilitoa mapendekezo ya kubadili sheria ya madini. Lakini kwa sheria za madini zilizooitishwa mwaka 2017 zitaleta manufaa kwa taifa letu.
Sheria sio shida issue ni usimamizi. Hta sheria inataka local content iwepo ila hadi nyundo na misumari inaagizwa nje bado!!

Mie simchukii JPM ni Rais wangu ingawa sikumpigia na sitompigia kura mwaka huu. Kwahiyo nampongeza kwa hatua alizochukua hta kma bado ni kiduchu sana ingawa sipendi zinavyokuzwa kuliko uhalisia.

Alafu nipo hpa kukanusha rasmi kuwa Lissu ni msaliti ni yye alianza hii vita tokea enzi za Mkapa kwahyo ningeomba apewe heshima anayostahili na sio kejeli.

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom