Katika kipindi ambacho wanasiasa wa upinzan wanatakiwa kua makini na maneno wanayo ongea ni muda huu wa Rais John Pombe Magufuli sababu wanakuwa Kama wanajichafua wenyewe pale wanapo ongea kitu ambacho baadae kinaenda kuwa faida kwa yule ambae walitaka kumuathiri
Tukianzia kwenye Jambo la Corona kila siku linazid kuwazalilisha mbele za watu na kufanya Rais magufuli kuendelea kuwapa wakat mgumu
Mh tundulisu aliwahi kusema kua mchanga wa makinikia Sio Mali ya watanzania ni Mali ya wazungu na wanaweza kuupeleka popote pale wanapo taka bila kuulizwa na mtu yeyote Yan maneno Ayo alikua anayaongea mtanzania ambae anasema kila siku kua anataka kutuokoa watanzania kweli? Mh tundulisu wazungu walikupa nn ukafika mbali na kusema kua watanzania tutashtakiwa kes ambayo itatufiris sababu ya kuwaziwia wazungu kuchukua makinikia leo kiko wapi?
Mh Rais magufuli angelisikia maneno yako naiman mpaka sasaiv tungekua tumekubal kua makinikia Sio Mali yetu ni Mali ya wazungu japo ipo kwenye nchi yetu na kuacha waendelee kuchotea tu?
Ila kwakua Mh Rais John Pombe Magufuli Sio mzembe na Wala hajawahi kuogopa Wala kukata Tamaaa na anaamin kila kilichopo kwenye ardh ya Tanzania ni Mali ya mtanzania hakukubali ujinga uendelee kututawala akafanya maamuzi magum yalio fanya leo Tanzania tumetoka kidedea haki yetu ambayo ilipotea kwa muda mrefu imeanza kurejea
Pia nawashangaa wazee wa kupinga kila kitu hawana ata aibu eti sasahivi mada wameona ni serekal kukubali m200kulipwa kwa awam wakat mwanzo walibeza na kusema kua makinikia Sio Mali za watanzania Bali wazungu
Mh tundulisu embu ungama
Mob Uzi hii inajitegemea please Kama hamto jali na kwa ridhaa yenu msiunganishe huu Uzi kwenye Uzi zingine Mana Uzi zangu nyingi nikiweka zinapelekwa kwenye Uzi zingine asanteni
Unajua shida humu watu hamsomi kabisa mnasubiri kelele za wanasiasa.Sasa huu mchanga sio mali ya Tanzania? Maana Tanzania ina hisa Twiga minerals na economic profit ni 50% kwa 50%. Na upouzwa unauzwa na Twiga minerals ltd.
Mataga hamjambo kwa kusifiana mambo ya kijingaUzi mzuri sana ni msumari wa moto kwa wale wazee wa roho za kutu!
Unachotaka kusema serikali ya Tanzania sio mbia wa Twiga minerals Ltd?Unajua shida humu watu hamsomi kabisa mnasubiri kelele za wanasiasa.
Mchanga kwa sheria zilizokuwepo ni wa muwekezaji (kampuni husika) anachouza si anapata faida?
Sasa serikali ndio inadai mrabaha wake wa 4% na pia kuna mandatory 16% ya hisa, sasa economic benefits zinazopatikana kwa mgodi kuwa Tanzania (Sio FAIDA) ndio wanagawana pasu kwa pasu. Faida za kiuchumi za mgodi zipo nyingi sana so hizo zikipatikana ila faida ni 16% na hasara pia ikipatikana ata-bare 16%.
Then hiyo kampuni itakatwa say corporate tax na kodi zinginezo. Kwahiyo mchanga sio wa kwetu ila yetu ni kodi na mrabaha otherwise dividends za 16% full stop .
Kwani nawe msumari umekuingia!Mataga hamjambo kwa kusifiana mambo ya kijinga
kwani wamelipa za mchanga? Wamelipa sehemu ya fidia ya kodi . Soma www.mpekuzihuru.com/2020/05/kampuni-ya-barrick-yailipa-serikali_26.htmlWameshalipa dola 100million shida iko wapi?
NdioKwani nawe msumari umekuingia!
Katika kipindi ambacho wanasiasa wa upinzan wanatakiwa kua makini na maneno wanayo ongea ni muda huu wa Rais John Pombe Magufuli sababu wanakuwa Kama wanajichafua wenyewe pale wanapo ongea kitu ambacho baadae kinaenda kuwa faida kwa yule ambae walitaka kumuathiri
Tukianzia kwenye Jambo la Corona kila siku linazid kuwazalilisha mbele za watu na kufanya Rais magufuli kuendelea kuwapa wakat mgumu
Mh tundulisu aliwahi kusema kua mchanga wa makinikia Sio Mali ya watanzania ni Mali ya wazungu na wanaweza kuupeleka popote pale wanapo taka bila kuulizwa na mtu yeyote Yan maneno Ayo alikua anayaongea mtanzania ambae anasema kila siku kua anataka kutuokoa watanzania kweli? Mh tundulisu wazungu walikupa nn ukafika mbali na kusema kua watanzania tutashtakiwa kes ambayo itatufiris sababu ya kuwaziwia wazungu kuchukua makinikia leo kiko wapi?
Mh Rais magufuli angelisikia maneno yako naiman mpaka sasaiv tungekua tumekubal kua makinikia Sio Mali yetu ni Mali ya wazungu japo ipo kwenye nchi yetu na kuacha waendelee kuchotea tu?
Ila kwakua Mh Rais John Pombe Magufuli Sio mzembe na Wala hajawahi kuogopa Wala kukata Tamaaa na anaamin kila kilichopo kwenye ardh ya Tanzania ni Mali ya mtanzania hakukubali ujinga uendelee kututawala akafanya maamuzi magum yalio fanya leo Tanzania tumetoka kidedea haki yetu ambayo ilipotea kwa muda mrefu imeanza kurejea
Pia nawashangaa wazee wa kupinga kila kitu hawana ata aibu eti sasahivi mada wameona ni serekal kukubali m200kulipwa kwa awam wakat mwanzo walibeza na kusema kua makinikia Sio Mali za watanzania Bali wazungu
Mh tundulisu embu ungama
Mob Uzi hii inajitegemea please Kama hamto jali na kwa ridhaa yenu msiunganishe huu Uzi kwenye Uzi zingine Mana Uzi zangu nyingi nikiweka zinapelekwa kwenye Uzi zingine asanteni
Mataga hakuna kitu. Data hana wala info z kutosha hana.kwani wamelipa za mchanga? Wamelipa sehemu ya fidia ya kodi . Soma www.mpekuzihuru.com/2020/05/kampuni-ya-barrick-yailipa-serikali_26.html
Mkuu ni vizuri tuache kupotosha, kweli humpendi Lissu ila tusimlishe manenoShida ni uwasilishaji wa lisu uliegemea upande wa mabeberu na maneno ya dhihaka ambayo hayakuonesha staha kwa anao washauri
1.serkali hii itashindwa tu watatupeka MIGA na tutapigwa tu na tutawalipa wao mapesa. Tundu lisu anandika ,hio haikuwa lugha ya kisheria na ushauri
2.Tukisema ameumbuka tunazungumzia kupata chochote nje ya kile lisu alichotuaminisha kuwa kuwa sisi ndio tutawalipa japo tumepata kidogo yeye alisema sisi ndio tutawalipa wao
3.lisu alianza kuwatumia acacia details za ndani ili aweze kushinda kesi huu ulikuwa ni uasliti kwa taifa na jamii ya wazalendo kama sisi
4.kuundwa kwa TWIGA kama kampuni kutakuwa kumemuuzia lisu na makanjanja wengine kuwa hii inchi ipo katika mikono salama
5kukamatwa kwa Deo na kundi lake pia kulionesha kuwa tuko mapema sana
Wameshalipa dola 100million shida iko wapi?
Hiyo video imetolewa lini? Maana mnadai Lissu alipotosha ndio nmeweka sawa hapo kuwa maadam hisa za JMT zilikua zile mandatory 16% basi ndio umiliki wake wa mchanga unaishia hapo.Unachotaka kusema serikali ya Tanzania sio mbia wa Twiga minerals Ltd?
Hauna ubavu huo.Nimeamua kuwa mchukia watu!!Nitamchukia yeyote anayejikomba Kwa Wazungu ili kuuza utu wetuNitamchukia Yeyote anayetetea uwizi na dhuruma yoyote ya Wazungu nchini na Africa piaKwani najua, Mzungu hajawahi kuwa na uchungu wa mtu yeyote mweusi, kila atakachokiwaza na kukifanya Kwa Africa ni Kwa ajiri ya maslahi yake zaidiAnawaza mabaya tu Kwa ajiri ya watu weusi,
Economic benefits ya 50% kwa 50% ni nini hasa?Unajua shida humu watu hamsomi kabisa mnasubiri kelele za wanasiasa.
Mchanga kwa sheria zilizokuwepo ni wa muwekezaji (kampuni husika) anachouza si anapata faida?
Sasa serikali ndio inadai mrabaha wake wa 4% na pia kuna mandatory 16% ya hisa, sasa economic benefits zinazopatikana kwa mgodi kuwa Tanzania (Sio FAIDA) ndio wanagawana pasu kwa pasu. Faida za kiuchumi za mgodi zipo nyingi sana so hizo zikipatikana ila faida ni 16% na hasara pia ikipatikana ata-bare 16%.
Then hiyo kampuni itakatwa say corporate tax na kodi zinginezo. Kwahiyo mchanga sio wa kwetu ila yetu ni kodi na mrabaha otherwise dividends za 16% full stop .
Naomba ufafanue economi benefits kuwa 50% kwa 50% ina maana gani? Na kuweka ubia na mtu lazima uweke mtaji? Maana unaweza ukawa na madini ila ukaingia ubia na mwenye mtaji ili mchimbe.Hiyo video imetolewa lini? Maana mnadai Lissu alipotosha ndio nmeweka sawa hapo kuwa maadam hisa za JMT zilikua zile mandatory 16% basi ndio umiliki wake wa mchanga unaishia hapo.
Na ikumbukwe Twiga hao Acacia wanamiliki 84% sasa huo ubia unatoka wapi.... Hizo 16% ni sababu ya sheria tu ila sio kwamba mmeweka share capital
Katika kipindi ambacho wanasiasa wa upinzan wanatakiwa kua makini na maneno wanayo ongea ni muda huu wa Rais John Pombe Magufuli sababu wanakuwa Kama wanajichafua wenyewe pale wanapo ongea kitu ambacho baadae kinaenda kuwa faida kwa yule ambae walitaka kumuathiri
Tukianzia kwenye Jambo la Corona kila siku linazid kuwazalilisha mbele za watu na kufanya Rais magufuli kuendelea kuwapa wakat mgumu
Mh tundulisu aliwahi kusema kua mchanga wa makinikia Sio Mali ya watanzania ni Mali ya wazungu na wanaweza kuupeleka popote pale wanapo taka bila kuulizwa na mtu yeyote Yan maneno Ayo alikua anayaongea mtanzania ambae anasema kila siku kua anataka kutuokoa watanzania kweli? Mh tundulisu wazungu walikupa nn ukafika mbali na kusema kua watanzania tutashtakiwa kes ambayo itatufiris sababu ya kuwaziwia wazungu kuchukua makinikia leo kiko wapi?
Mh Rais magufuli angelisikia maneno yako naiman mpaka sasaiv tungekua tumekubal kua makinikia Sio Mali yetu ni Mali ya wazungu japo ipo kwenye nchi yetu na kuacha waendelee kuchotea tu?
Ila kwakua Mh Rais John Pombe Magufuli Sio mzembe na Wala hajawahi kuogopa Wala kukata Tamaaa na anaamin kila kilichopo kwenye ardh ya Tanzania ni Mali ya mtanzania hakukubali ujinga uendelee kututawala akafanya maamuzi magum yalio fanya leo Tanzania tumetoka kidedea haki yetu ambayo ilipotea kwa muda mrefu imeanza kurejea
Pia nawashangaa wazee wa kupinga kila kitu hawana ata aibu eti sasahivi mada wameona ni serekal kukubali m200kulipwa kwa awam wakat mwanzo walibeza na kusema kua makinikia Sio Mali za watanzania Bali wazungu
Mh tundulisu embu ungama
Mob Uzi hii inajitegemea please Kama hamto jali na kwa ridhaa yenu msiunganishe huu Uzi kwenye Uzi zingine Mana Uzi zangu nyingi nikiweka zinapelekwa kwenye Uzi zingine asanteni
Kisheria kila provision ina definition yake mfano unaposema economic benefits mkataba unaweza specify labda ni R&D, HR dev't in terms of scholarship zinazotolewa,masoko mapya n.k it can be whatever.Economic benefits ya 50% kwa 50% ni nini hasa?
Nitafuatilia kwa undani. Lakini huoni kwamba kuna mabadiliko tofauti na ule mrahaba wa 3%?Kisheria kila provision ina definition yake mfano unaposema economic benefits mkataba unaweza specify labda ni R&D, HR dev't in terms of scholarship zinazotolewa,masoko mapya n.k it can be whatever.
Ila faida ya profit inatolewa kulingana na dividends ya share yako. Kwahiyo serikali ina 16% ina maana baada ya ACACIA kutoa gharama zao zote mpka kulipa madeni pesa inayobaki ndio serikali inaambulia 16% wao wanachukua 84%
Hauwezi kupewa faida ya 50% ilihali una hisa 16% pekee. Hiyo haipo duniani kokote wanadanganywa wasiokwenda shule ambao ndio wengi TZ.
Kwahiyo bado tunapigwa vile vile