ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,865
- 3,812
Mzungu yupo sahihi. Anahoji kwa basis ya data na diyo lisu ajibu kwa kupangua. Pia yupo neutral kabisa kwa maana anamuhoji mpinzani lazina amuhoji yale anajigamba NAyo jiwe ili ayajibu.Asante kwa video nimeiangalia yote... Huyu mzungu kafeli kwenye hard talk yake na hayuko neutral, na maswali yake yamebase kwenye takwimu zinazotolewa na serikali na organs zake.... Lissu anaongelea uhalisia wa Tanzania na Mtanzania, point kwa point ana msingi wa kile anachojibu lakini mzungu anauliza vile anavyovisikia bila kuhoji uhalali na uhalisia wake
Jr
Sent using Jamii Forums mobile app