Mental Retard
Member
- Mar 9, 2008
- 36
- 12
nenda Soko Matola, ukilokosa nenda Mabatini. Huko pia ukilikosa tegemea kulipata kwenye soko la Makinguru
karibu, mi nnalo la ule mti wa mpakani
Naona unafanya marketing ni la biashara?karibu, mi nnalo la ule mti wa mpakani
Nami naomba kukaribishwaNaomba nami nije nile
hii mande au?
Wahenga wanasema - Kizuri kula na nduguyo...
View attachment 26629
"Tunda nalipenda... ntalipataje tunda!"
Kizuri kula na ndugu yako.Kikiwa kibaya kula mwenyewe.
Na kitamu kula peke yako.
Haifai,huu ni usemi wa kimachame. Original version iko hivi: Kindo kisha lya na mwanamau,kikansuka,lya kumuni!