Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 943
- 4,458
Kama wenye nchi ni wananchi kwanini tunaaminishwa tunaweza kuendesha nchi lakini watu hao hao wanaotambia nchi inaenda vizuri wanashindwa kuendesha bandari?
Kwanini waziri mwenye dhamana anakiri bungeni kwamba yeye na watendaji wameshindwa kuendesha bandari na bado anaendelea kubaki ofisini? Kwa hiyo kila waziri anaweza akatangaza sekta anayoongoza imekwama then akabaki kuwa waziri wa ukodishaji?
Walioshindwa kuendesha bandari ni wananchi au ni serikali? Kama ni serikali na tunajua serikali iliyopo madarakani huwa inaweza kutoka kwanini isitoke kulinda sekta hiyo inayochangia asilimia 40 ya bajeti ya nchi ?
Kwanini waziri mwenye dhamana anakiri bungeni kwamba yeye na watendaji wameshindwa kuendesha bandari na bado anaendelea kubaki ofisini? Kwa hiyo kila waziri anaweza akatangaza sekta anayoongoza imekwama then akabaki kuwa waziri wa ukodishaji?
Walioshindwa kuendesha bandari ni wananchi au ni serikali? Kama ni serikali na tunajua serikali iliyopo madarakani huwa inaweza kutoka kwanini isitoke kulinda sekta hiyo inayochangia asilimia 40 ya bajeti ya nchi ?