Tunavyosutwa na Prof KEN EDWARDS

Hii thread nzima ni kwa ajiri ya mchango wa Prof. Ken Edwards.

Sawa, thread ni "kwa ajiri ya mchango wa Prof. [Joshua Nkhululi]."

Joshua Nkhululi ni nani ki-background? Alipata elimu gani, wapi na lini. Huku tukijadili mchango wake, tumjue.

Lazima Game Theory anajua, yeye ana umri mkubwa kuliko wengi wetu, na hivyo kasomeshwa na huyu mwalimu, tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic yake yeye, si yangu).

Najua wengi wenu humu bado umri wenu ni mdogo hivyo hamkubahatika kusomeshwa na huyu SHUJAA ...Prof Edwards ndie mwanzilishi wa KITIVO CHA BIASHARA pale UD na amewasomesha watu wengi na wengine leo ni mawaziri na mabosi wa mashirika mbali mbali Tanzania
 
Nitakaa kimya ukiacha kupotosha......

Unajua hapa JF kuna ma-loosers fulani. Kuna watoto wa wanajeshi ambao kazi yao ni kusubiri mada za wanajeshi na kutuelezea vita vya Uganda.

Na kuna watoto wa maprofessor ambao wameshindwa kufikia mafanikio ya wazazi wao kitaaluma na kazi yao ni kuelezea nani ni professor na nani sie.

Kutokana na posti zako nadhani wewe utakuwa katika kundi la pili.

Kuzaliwa kwako katika mazingira ya kitaaluma, hupati advantage yoyote hile ya kitaalamu.
 
Obama alikuwa professor wa sheria University of Chicago, Obama hana PhD. Si lazima kuwa na PhD ili uwe professor.

s-OBAMA-AT-CHALKBOARD-154x114.jpg
 
Kabla ya kuandika, kwanini usingetumia muda kidogo ku-google.

Wewe ndiye unaona Google kuwa credible source siyo? Kwa taarifa yako hii taarifa inapatikana kwenye google pia, sasa unachotaka kusema ni nini?

University of Chicago wenyewe wamesema

http://www.law.uchicago.edu/media/index.html

The Law School has received many media requests about Barack Obama, especially about his status as "Senior Lecturer." From 1992 until his election to the U.S. Senate in 2004, Barack Obama served as a professor in the Law School. He was a Lecturer from 1992 to 1996. He was a Senior Lecturer from 1996 to 2004, during which time he taught three courses per year. Senior Lecturers are considered to be members of the Law School faculty and are regarded as professors, although not full-time or tenure-track. The title of Senior Lecturer is distinct from the title of Lecturer, which signifies adjunct status. Like Obama, each of the Law School's Senior Lecturers have high-demand careers in politics or public service, which prevent full-time teaching. Several times during his 12 years as a professor in the Law School, Obama was invited to join the faculty in a full-time tenure-track position, but he declined.
 
Wewe ndiye unaona Google kuwa credible source siyo? Kwa taarifa yako hii taarifa inapatikana kwenye google pia, sasa unachotaka kusema ni nini?

University of Chicago wenyewe wamesema


Obama anayo Phd kutoka Havard Lawa school.
 
Obama anayo Phd kutoka Havard Lawa school.

Oh really now?

"Harvard Lawa school" ndiyo kidudu gani hicho? Nafikiri huelewi tofauti ya Masters na PhD au unamjua Obama kuliko anavyojijua mwenyewe


Muongezee basi hiyo PhD kwenye resume yake hapa chini, unajionyesha usivyojua unachoongelea.

http://obamasresume.org/
 
Sawa, thread ni "kwa ajiri ya mchango wa Prof. [Joshua Nkhululi]."

Joshua Nkhululi ni nani ki-background? Alipata elimu gani, wapi na lini. Huku tukijadili mchango wake, tumjue.

Lazima Game Theory anajua, yeye ana umri mkubwa kuliko wengi wetu, na hivyo kasomeshwa na huyu mwalimu, tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic yake yeye, si yangu).

Nadhani kuna posti zilizofuatia na kujaza mapungufu yaliopo katika posti ya kwanza ya GT.

Mimi sijasomeshwa na wala simjuhi huyu ndugu. Lakini kutokana na yalioelezwa kuhusu yale aliyofanya Tanzania na jinsi tulivyo-msahau, ninahisi kuwa tumefanya makosa kumtupa.
 
Na kuna watoto wa maprofessor ambao wameshindwa kufikia mafanikio ya wazazi wao kitaaluma na kazi yao ni kuelezea nani ni professor na nani sie.

Kutokana na posti zako nadhani wewe utakuwa katika kundi la pili.

Kuzaliwa kwako katika mazingira ya kitaaluma, hupati advantage yoyote hile ya kitaalamu.

Ahaaa! Sasa unaongea kama vile unanijua. Wapi nimesema "mimi" nimezaliwa katika mazingira ya kitaaluma? Acha kutunga hadithi wee mtu....
 
Kuhani yuko sahihi (kama nimemuelewa). Kwa kumuenzi marehemu itakuwa vyema wasifa wake wote uwekwe hapa. Hata hayo ya urastafari maana hakuna aibu kwenye hilo. Kwa kushindwa kuuweka kunaonyesha namna gani jamii yetu ilivyomtosa.

Marehemu na wenzake wengi waliokimbilia Tanzania kwa kuitikia wito wa Marcus Garvey kwa bahati mbaya tuliwaangusha. Badala ya kuwakubali kama wenzetu tuliandama kwa shutuma kuwa ni ma-c.i.a n.k! Paranoia yetu ilituharibia sana.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Amandla.......
 
Ahaaa! Sasa unaongea kama vile unanijua. Wapi nimesema "mimi" nimezaliwa katika mazingira ya kitaaluma? Acha kutunga hadithi wee mtu....

lol, kutumia majina mengi hapa JF ni taabu sana. Yaani inabidi ubadilishe mpaka personality.
 

Marehemu na wenzake wengi waliokimbilia Tanzania kwa kuitikia wito wa Marcus Garvey kwa bahati mbaya tuliwaangusha. Badala ya kuwakubali kama wenzetu tuliandama kwa shutuma kuwa ni ma-c.i.a n.k! Paranoia yetu ilituharibia sana.

Kwa enzi zile labda unaweza kusema kina Nyerere wanaweza kuwa justified kuwa na wasi wasi na CIA iliyokuwa inaua movement za Waafrika, kina Lumumba and so forth.

Cha ajabu ni kwamba mpaka leo bado tume maintain national security policy ya the '60s!

Bifu zetu zenyewe dhidi ya CIA zilikuwa informed na ma bifu ya CIA vis a vis Ukomunisti. Watu ambao wenyewe wameshapatana, Hillary Clinton is going around the world cracking cold war jokes na foreign minister wa Russia. Sisi mpaka leo eti tunawakatalia uraia Wamarekani waliokuja in the seventies.

(By the way, nashukuru kwa baadhi nimeeleweka kuhusu kuulizia background ya marehemu professor. Ila huyu Game Theory ingebidi atuelezee sisi wenye "umri mdogo" ambao hatumjui marehemu.
 
Kuhani. Trust me. Tulizidi katika hiyo paranoia. On second thoughts, don't trust me on this.

Inawezekana tena ati kwa vile alikuwa dread ilionekana tatizo. Tunawasahau wakina Dedan Kimathi na General China waliomwaga damu zao kwa ajili ya wenzao. Inawezekana kuwa kwa sabibu alikuwa anatumia majani ya msituni, akaonekana kuwa atakuwa tatizo! Tukaona atatuharibia watoto wetu. Watoto ambao tunawanyeshwa mapombe hata kabla hawajaanza kutembea!

Amandla........
 
Msimamo rasmi wa Tanzania ulikuwa kwamba Tanzania ilikuwa ni nchi isiyofungamana na upande wowote (NAM).

Kwa hiyo ku equate kuwadindishia Wamarekani na ukomunisti kunakuwa hakutilii maanani upande wa kuwadindishia Wamarekani na Warusi kama watu wa NAM.

Halafu in defence of Nyerere and the Tanzanian Government kuna watu wa Carribean kibao na Wamarekani (wengine ma Black panther kama yule Mzee O'Neal pamoja na mke wake Charlotte waliotoka St. Louis na sasa wanakaa Arusha wametengeneza mpaka DVD ya maisha yao) ambao walipewa sio tu uraia, bali mpaka na ardhi ya kulima (e.g Ras Bupe).
 
Last edited:
Back
Top Bottom