Tunauza spea zote za vyombo vya majini(Marine Spares and Equipments)

Offshore Seamen

JF-Expert Member
Mar 9, 2018
5,052
12,871
Wadau wa vyombo vya majini tunauza material za fiber, spea za injini za Boti,injini za Boti, Jet Ski, Marine Quadbikes,GPS na Fish finders.
all brand.png


Kwa wanaohitaji Jumla na rejareja Jet Ski,water sports tools, outboard engines, Garmin GPS na Garmin Fish finders zinapatikana. Tunatoa mafunzo ya kufunga na kutumia pia msaada baada ya kuinunua 24hrs/7days.

GPS za Garmin series 78/79
Zina uwezo mkubwa na memory card ya Kuanzia 1.9gb. Ina electronic chart ambayo hukusaidia kuandaa route na Unaweza kusave route 10,000. Pia ni water resistant na battery life ikiwa inafanya kazi ni 19hours/20hrs.

download.jpeg


Garmin Fish Finders Sticker
Kifaa Kwa ajili ya uvuvi kina onyesha maeneo samaki walipo.

images (1).jpeg


Jet Ski za SeaJet
Hizi ni JetSki zenye uwezo wa Kubeba Watu wa 2 mpaka 3 au wastani wa 280kg, Zina engine ya petrol (Hison Suzuki 4cylinder/16valves) yenye ukubwa wa 1400cc na speed ya 42miles/hr -56miles/hr (80km/hr-110km/hr)


IMG-20220408-WA0044.jpg


IMG-20220408-WA0043.jpg


Hison Cross ski( Amphibious Quadbike/All Terrain Vehicle)
Hii ni pikipiki ya tairi 4 ambayo inatembea nchi kavu na kwenye maji. Ina engine ya Hison Suzuki (1500cc 4cylinder 16valves) speed yake ni 37knots/37miles per hour/70kph.
IMG-20220408-WA0042.jpg


IMG-20220408-WA0041.jpg

IMG-20220408-WA0045.jpg

Tunapatikana Dar es Salaam Kigamboni Vijibweni na Tanga Mkwaja.
Mawasiliano 0655361223/0768443973
 
Good wishes zije upande wako mkuu........nipo nje na Kada hiyo Ila nitakuwa afisa masoko asie na malipo kila nitakapokutana na mwenye uhitaji WA huduma unazotoa,kila la kheri komrade
 
Good wishes zije upande wako mkuu........nipo nje na Kada hiyo Ila nitakuwa afisa masoko asie na malipo kila nitakapokutana na mwenye uhitaji WA huduma unazotoa,kila la kheri komrade
Shukrani Mkuu, panapo majaliwa mwezi wa 7 nitafika ukanda wa Kigoma na maeneo ya Ziwa Tanganyika
 
Wadau wa vyombo vya majini tunauza material za fiber, spea za injini za Boti,injini za Boti, Jet Ski, Marine Quadbikes,GPS na Fish finders.
View attachment 2182503

Kwa wanaohitaji Jumla na rejareja Jet Ski,water sports tools, outboard engines, Garmin GPS na Garmin Fish finders zinapatikana. Tunatoa mafunzo ya kufunga na kutumia pia msaada baada ya kuinunua 24hrs/7days.

GPS za Garmin series 78/79
Zina uwezo mkubwa na memory card ya Kuanzia 1.9gb. Ina electronic chart ambayo hukusaidia kuandaa route na Unaweza kusave route 10,000. Pia ni water resistant na battery life ikiwa inafanya kazi ni 19hours/20hrs.

View attachment 2182475

Garmin Fish Finders Sticker
Kifaa Kwa ajili ya uvuvi kina onyesha maeneo samaki walipo.

View attachment 2182476

Jet Ski za SeaJet
Hizi ni JetSki zenye uwezo wa Kubeba Watu wa 2 mpaka 3 au wastani wa 280kg, Zina engine ya petrol (Hison Suzuki 4cylinder/16valves) yenye ukubwa wa 1400cc na speed ya 42miles/hr -56miles/hr (80km/hr-110km/hr)


View attachment 2182479

View attachment 2182481

Hison Cross ski( Amphibious Quadbike/All Terrain Vehicle)
Hii ni pikipiki ya tairi 4 ambayo inatembea nchi kavu na kwenye maji. Ina engine ya Hison Suzuki (1500cc 4cylinder 16valves) speed yake ni 37knots/37miles per hour/70kph.
View attachment 2182487

View attachment 2182491
View attachment 2182501
Tunapatikana Dar es Salaam Kigamboni Vijibweni na Tanga Mkwaja.
Mawasiliano 0655361223/0768443973
Mkuu hii Pikipiki amphibious inauzwa shilingi ngapi??
 
Back
Top Bottom