Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

Vichekesho

JF-Expert Member
Mar 28, 2024
398
777
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
 
Ugali wa muhogo
 

Attachments

  • DSC_0123.JPG
    DSC_0123.JPG
    5.9 MB · Views: 4
  • DSC_0134.JPG
    DSC_0134.JPG
    2.1 MB · Views: 3
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
Utofauti wake na zisizo za kisasa ni upi?

Au memba mzikwaji atakawia kudecay
 
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.

Weka picha, usijekuwa wauza mapazia...
 
Back
Top Bottom