Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

TAARIFA

Tumesimamisha uzalishaj kwenye kituo kikubwa cha kuzalisha na kusukuma maji cha Mzakwe, baada ya moto mkubwa kuzuka eneo la mbugani.

Uzalishaji utarejea baada ya moto huo kuzimwa.

DUWASA inawaasa kutumia maji kwa uangalifu.
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.

Kwa Mawasiliano zaidi piga namba 0800110078
 
Kweli, lakini nimetumia mchanganuo ili kama yeye specifically kutokana na alipo aniambie nimwambie gharama, kwa sababu mtu wa kigoma na mtu kagera gharama haziwez kufanana.

Kwa mfano naweza toa mchanganuo wa sehemu ambayo havilingani na yeye alipo.

Naomba nieleweke hvyo, kwa hiyo ukitaka mchanganuo wako nitafute kwa namba niliyoiandika 0682276767 nikupigie nikieleze kwa vocha yangu.

Asante
Ningekusaidia hivi... gharama za uchimbaji mmngeziainisha kulingana na matokeo ya kijiolojia. Kisha kukawa na gharama za usafiri kwa kipimo cha umbali (kilomita)
 
Ningekusaidia hivi... gharama za uchimbaji mmngeziainisha kulingana na matokeo ya kijiolojia. Kisha kukawa na gharama za usafiri kwa kipimo cha umbali (kilomita)
Sawa mkuu, Ila kuna vipengele viingi Saana ambapo ili kuongeza ufanisi tunaomba mtu atumie namba 0752925925 kupiga simu ili kupata huduma kulingana na alipo. Asante
 
Mungo kwetu in kimbilio ma nguvu
composition-sedimentary-rocks.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom