Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

Ni kama bahati tu kuna siku tumechimba maeneo ya rondo plateu kama unavojua elevation yake ni above 500 m sasa kimechimba hiko kwenye 140 m yamefumuka maji hayo yaani kukawa bahari kijijini wanakijiji wakatupa mpaka mademu bure na kuku...ni kama zali tu hizi kazi
Upo sahihi wakati mwingine vipimo vinagoma lakini matokeo yanakubali
 
Boss, maeneno ilipo Simba hotel ni maeneo yenye bahati ya maji baridi, yaan area A,C, D ilazo, kisasa na mlimwa C yana base ya maji yasiyo na chumvi, sio kwamba ulipata maji baridi kwa sababu wewe ndio uliyatafuta.

Sema ukweli hata kama unauma. Kupata maji baridi au sio baridi ni mapenzi ya Mungu sio kwa sababu umepima wewe au kutafuta.

Ujuzi wako uliishia kuipata point yenye wastan mzur WA upatikanaji WA maji baaasi, mengine Mungu akafanya kazi yake
Mimi sijasema maji baridi..nimesema option ya mteja kujua maji kabla ya kuchimbiwa kisima
 
Mimi sijasema maji baridi..nimesema option ya mteja kujua maji kabla ya kuchimbiwa kisima
Boss lugha nyepesi ili kuondoa migogoro isiyo ya lazima ni kwamba baada ya kupima tunapata point yenye wastan mzuri WA maji.

Lakin kuhusu chumvi au wingi WA maji ni baada ya kuyapata maji.

Mbona ni rahisi tu. Kwanini umjaze upepo WA majibu ambayo wewe Huna uhakika nayo.?

Mara ngapi machine inaonesha fresh water kwenye profile zote lakin ukichimba unapataka maji yenye chumvi Kali tena hayafai kunywa kabisa
 
Boss lugha nyepesi ili kuondoa migogoro isiyo ya lazima ni kwamba baada ya kupima tunapata point yenye wastan mzuri WA maji.

Lakin kuhusu chumvi au wingi WA maji ni baada ya kuyapata maji.

Mbona ni rahisi tu. Kwanini umjaze upepo WA majibu ambayo wewe Huna uhakika nayo.?

Mara ngapi machine inaonesha fresh water kwenye profile zote lakin ukichimba unapataka maji yenye chumvi Kali tena hayafai kunywa kabisa
Hiyo ni experience ya vifaa vyako
 
juma mpemba nimeanza kutumia jamiiforum miaka minne kabla yako, sifa ya humu ni kuwa mkweli lasivyo utaumbuka. Maana watu WA humu wanajua meengi saana sema tu wanakuchoota upepo siku ya siku unafedheeka.

Kuwa Makini ndugu yangu
 
Hio

Kunizid miaka 4 hai justify kwamba kila utachosema ni sahihi
Sio kila Ila kwenye Hilo mkuu...

Sina ubaya na wewe Ila kwenye Hilo kama ilikupa matokeo basi usidhan ni mashine it just happened tu mkuu....nenda hata DDCA nenda WA wahindi watakwambia Hilo halinaga majibu yaliyo na uhalisia asilimia mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom