Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Tunatafuta mtu bora ambaye anaweza mashati bora ya kiafrika. Unatakiwa mzigo mkubwa unaoweza kuuzwa kwenye maduka makubwa nchi za nje. Sisi ndio tutaamua rangi. Pia tunauliza pia kama kuna duka lolote la mavazi ya kiafrika. Naomba mwenye taarifa anitumie namba yake ya simu. Itakuwa vizuri kama unajua kiingereza.