M malafyaleh Member Dec 20, 2011 10 1 Oct 31, 2013 #1 Awe na uzoefu wakutosha Tuko Dodoma Town ni kampuni kutoka Nje Mshahara na kila kitu ni makubaliano.
WISE BOY JF-Expert Member Dec 26, 2011 782 243 Oct 31, 2013 #2 Ndio nn hiki sasa? Hamna jina, anaomba hewani? Utani peleka jukaa la jokes
M maize Member May 8, 2012 22 1 Nov 1, 2013 #4 ww atapicha uoni,tangazo gani,alina contact wala nn,kuweka tangazo uwez kutakuwa kuna malipo kwl uko..napita
ww atapicha uoni,tangazo gani,alina contact wala nn,kuweka tangazo uwez kutakuwa kuna malipo kwl uko..napita