Hatimaye Katibu mwenezi na Itikadi nape nauye atoa computer katika tawi la smmuco(compus ya mwika) ikiwa ni ahadi yake wakati wa kuzindua tawi hilo.Hii jitihada za kuhakisha chama cha mapinduzi kinaendeshwa kidigital .
TUACHE UNAZI, PENYE TIKI IPIGWE TIKI. Angekuwa CDM thread ingekuwa ndefu sana.
ina maana hiyo desk top ya shs 180,000/= haitasaidia hilo tawi hapo Mwika?
TUACHE UNAZI, PENYE TIKI IPIGWE TIKI. Angekuwa CDM thread ingekuwa ndefu sana.
ina maana hiyo desk top ya shs 180,000/= haitasaidia hilo tawi hapo Mwika?
mungu abalik,wapige kelele cc vitendo zaid