Katika gazeti la mwanahalisi leo habari kubwa ni serikali hoi kifedha. Hivyo imebana ajila mpya Polisi wataajiliwa 1,351, magereza 485, makosa ya jinai 111, walimu 417, kilimo 294, jinsia na watoto 247 na maliasili 152
My take: jumla ya askari ni 1947 wakizidi idara zingine zote kwa ujumla wao, je inamaana serikali inajiandaa kwa shari kuliko kitu kingine chochote? Vipaumbele vyetu kama Taifa vinaonekana wapi?
My take: jumla ya askari ni 1947 wakizidi idara zingine zote kwa ujumla wao, je inamaana serikali inajiandaa kwa shari kuliko kitu kingine chochote? Vipaumbele vyetu kama Taifa vinaonekana wapi?