X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,692
- 12,287
...
.
.
.
.
..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
..
.
.
.
.
.
.
.
Kumbe bakita wamesha tengeneza ulaji....(joks) unajiunga online au unawafata BAKITA walipo...?Kama umesomea lugha ya Kiswahili Unajisajiri Bakita ambalo ni balaza la kiswahili Tanzania ada yake ni 10,000 kisha unapigwa kozi ya kiswahili kwa week moja,unapewa cheti na jina lako linaingizwa kwenye data ya walimu wa Kiswahili,unaweza sasa kupata kazi nje ya nchi.
Akikujibu unitagKumbe bakita wamesha tengeneza ulaji....(joks) unajiunga online au unawafata BAKITA walipo...?
amekimbiaAkikujibu unitag
asante kwa ushauri ndugu yangu....muda mwingine akili zinakuwa zinajifungaSasa mkuu hayo mengine siuna jiongeza tu unaenda BAKITA wanakupa utaratibu sasa huko south utaweza fatilia taratibu nyingine kama hili tu unasubiri aliyekupa muongozo tena akutafitie majibu zaidi akupe wakati wewe unajua huo ndo ugali wako,kuw serious basi mkuu.
Hahahahaha ila kweliasante kwa ushauri ndugu yangu....muda mwingine akili zinakuwa zinajifunga
Hahahaha uko sahihi kabisa, then baada ya mchongo kukaa sawa zinajifungua automatically.asante kwa ushauri ndugu yangu....muda mwingine akili zinakuwa zinajifunga
enh enh ndugu yangu au atokee mtu akuambie jambo...ambalo hukulizania kabisa hapo unakuwa kama mtu alieshituliwa ndotoni huku akiwa anavujiwa na mvua...Hahahaha uko sahihi kabisa, then baada ya mchongo kukaa sawa zinajifungua automatically.
Huku dodoma wameshaanza mafunzo, leo ni siku ya tatu.Kama umesomea lugha ya Kiswahili Unajisajiri Bakita ambalo ni balaza la kiswahili Tanzania ada yake ni 10,000 kisha unapigwa kozi ya kiswahili kwa week moja,unapewa cheti na jina lako linaingizwa kwenye data ya walimu wa Kiswahili,unaweza sasa kupata kazi nje ya nchi.
aisee mimi nipo Tanga ngoja nifatilie nione kwa huku mambo yakoje... Ada kiasi gani hukoHuku dodoma wameshaanza mafunzo, leo ni siku ya tatu.
Laki moja tu, unaituma BAKITA. Wanaenda kwa kanda so wakifika huko mtataarifiwa tu. Ila ni vyema kuulizia kila mara.aisee mimi nipo Tanga ngoja nifatilie nione kwa huku mambo yakoje... Ada kiasi gani huko
Poa poa.....vipi huko wapo wengi...? Na vigezo ni vipi?Laki moja tu, unaituma BAKITA. Wanaenda kwa kanda so wakifika huko mtataarifiwa tu. Ila ni vyema kuulizia kila mara.
Kwa kweli sijui maana mi nimesikia tu, kuna ndugu yangu yuko huko ao sina details za kutosha.Poa poa.....vipi huko wapo wengi...? Na vigezo ni vipi?
ndugu yako kama ni mwanafunzi anyechukua hiyo kozi...je ana elimu ya kiwango gani...?Kwa kweli sijui maana mi nimesikia tu, kuna ndugu yangu yuko huko ao sina details za kutosha.
Ana bachelor degree ya Education na kitu gani sijui. Yupo kwenye ajira.ndugu yako kama ni mwanafunzi anyechukua hiyo kozi...je ana elimu ya kiwango gani...?
oh poa asante ndugu yangu....ubarikiwe sanaAna bachelor degree ya Education na kitu gani sijui. Yupo kwenye ajira.
Amina, mkuu.oh poa asante ndugu yangu....ubarikiwe sana