Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
Hoja yangu ni juu ya makato makubwa ya kodi tunayokatwa ktk mishahara yetu, jamani maisha yamepanda bei sana.
Mishahara ipande, maisha magumu huku mtaani!
Pia kuna swala la WARAKA KANDAMIZI KWA WATUMISHI WA UMMA HASWA WALIMU, usiotambua elimu ya mtumishi hata kama akijiendeleza pia unanyanyasa mtumishi kutumikia miaka 9 ndipo apande daraja tofauti na miaka 3 ya awali. NB. Ufatilieni kwa undani.
Mishahara ipande, maisha magumu huku mtaani!
Pia kuna swala la WARAKA KANDAMIZI KWA WATUMISHI WA UMMA HASWA WALIMU, usiotambua elimu ya mtumishi hata kama akijiendeleza pia unanyanyasa mtumishi kutumikia miaka 9 ndipo apande daraja tofauti na miaka 3 ya awali. NB. Ufatilieni kwa undani.