Regia,
Kero kubwa wakazi wanaoishi Ukonga DSM. Ni kama vile hatuna mwakilishi. Barabara za kwenda kitunda, Kivule Moshi bar, kwa diwani ni barabara mbovu ajabu. Mvua ikinyesha hata kidogo tu nauli ya daladala inafikia shilingi 1,000 kwa mtu mmoja. Watoto wanashindwa kwenda shule na hata wafanyakazi wanatembea kwa miguu kwa masaa mpaka 3 ili kufika barabara ya Nyerere kupata usafiri.
Sasa swali langu: Kwanini Serikali imewatenga wananchi wa maeneo haya bila kuwapelekea huduma ya barabara?
Changamoto kwa chadema:Regia kwanini chama chako hakijizatiti katika maeneo hayo ili kuliteka jimbo hilila Ukonga? Kwa hakika shida ya barabara wanayopata wakazi wa maeneo haya wataipokea chadema kama mfalme endapo mkiwekeza huko.
Watu wamechoshwa na madiwani na mbunge wa chama cha CCM ambaye hana muda wowote na wananchi wa maeneo hayo.Chadema kwa vile wabunge wake ni wa Taifa basi lipiganieni jimbo hili kwa sababu lina mbunge picha tu.
Kero kubwa wakazi wanaoishi Ukonga DSM. Ni kama vile hatuna mwakilishi. Barabara za kwenda kitunda, Kivule Moshi bar, kwa diwani ni barabara mbovu ajabu. Mvua ikinyesha hata kidogo tu nauli ya daladala inafikia shilingi 1,000 kwa mtu mmoja. Watoto wanashindwa kwenda shule na hata wafanyakazi wanatembea kwa miguu kwa masaa mpaka 3 ili kufika barabara ya Nyerere kupata usafiri.
Sasa swali langu: Kwanini Serikali imewatenga wananchi wa maeneo haya bila kuwapelekea huduma ya barabara?
Changamoto kwa chadema:Regia kwanini chama chako hakijizatiti katika maeneo hayo ili kuliteka jimbo hilila Ukonga? Kwa hakika shida ya barabara wanayopata wakazi wa maeneo haya wataipokea chadema kama mfalme endapo mkiwekeza huko.
Watu wamechoshwa na madiwani na mbunge wa chama cha CCM ambaye hana muda wowote na wananchi wa maeneo hayo.Chadema kwa vile wabunge wake ni wa Taifa basi lipiganieni jimbo hili kwa sababu lina mbunge picha tu.