Tuliambiwa baada ya kuzindua mkonga wa Taifa huduma za internet zitapungua.Sasa mbona wanatufanya tuwe tunakesha usiku kwa offer zao (Voda,Airtel n.k),wakati huo huo vifurushi ni ghali mno?Tunkuwa "Internet Nocturnals"...
..hakuna bugdha mara umepigiwa simu mara mtoto kakutekenya mara mjukuu kakurukia,
Tuliambiwa baada ya kuzindua mkonga wa Taifa huduma za internet zitapungua.Sasa mbona wanatufanya tuwe tunakesha usiku kwa offer zao (Voda,Airtel n.k),wakati huo huo vifurushi ni ghali mno?Tunkuwa "Internet Nocturnals"...
teh teh teh, saivi nachotaka ni anytime speedy internet, usiku nilale tu.
Una sh ngap nije nkuungie
Una sh ngap nije nkuungie
Samahani jamani kwani huo mlonga wa taifa umeshazinduliwa?