Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Wangefuta tu hii session ya papo kwa papo, haina tija japo nimeangalia kwa siku moja tu.
Leo nilikuwa sina kazi na kwa mara ya kwanza nikatazama TBC kutoka bungeni, kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo. karibu kila swali lililoulizwa; spika Makinda alikuwa anatanguliza kwanza, "ah! hili liko specific sana, WM hataweza kulijibu lakini sijui WM labda unaweza, teh teh teh," na kisha waziri mkuu anatoa maelezo na sio majibu. Na kila muuliza swali ambaye hakuridhika na majibu hayo ya WM na kuuliza la nyongeza, jibu la Pinda kwa maswali karibu yote lilikuwa ni....
.........................
........................
........................
"TUNAJIPANGA"
Kwa mtazamo wangu kama wanajipanga kwa kila kitu, basi hiyo foleni itakuwa ndefu sana!
Leo nilikuwa sina kazi na kwa mara ya kwanza nikatazama TBC kutoka bungeni, kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo. karibu kila swali lililoulizwa; spika Makinda alikuwa anatanguliza kwanza, "ah! hili liko specific sana, WM hataweza kulijibu lakini sijui WM labda unaweza, teh teh teh," na kisha waziri mkuu anatoa maelezo na sio majibu. Na kila muuliza swali ambaye hakuridhika na majibu hayo ya WM na kuuliza la nyongeza, jibu la Pinda kwa maswali karibu yote lilikuwa ni....
.........................
........................
........................
"TUNAJIPANGA"
Kwa mtazamo wangu kama wanajipanga kwa kila kitu, basi hiyo foleni itakuwa ndefu sana!