Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Mapinduzi yana sura mbili:ama kutumia majeshi au kuunda serikali mbadala).
Je Tanzania tunahitaji ipi kati ya aina hizo.
LABDA NIDOKEZE MAHITAJIO YA KUFANIKISHA AINA YOYOTE YA MAPINDUZI.
1.Uongozi mzuri wa anayetaka kupindua.
2.Muda wa kutosha kufanya maandalizi na mipango ya kupindua.
3.Ardhi(terrain) itakayotumika kuanda mipango yao bila kuingiliwa na serikali iliyopo madarakani.
4.Intelijensia,itawezesha kujua mienendo ya serikali dhidi yao na mipango mingine.
5.
MAMBO AMBAYO YANACHANGIA MAPINDUZI.
1.Utawala mbovu na ubadhirifu.
2.Tofauti kubwa ya kipato kati ya tajiri na masikini.
3.Ukabila na Udini ama ktk serikali au jamii husika inapohisi tofauti.
4.Ubaguzi hasa wa rangi.
5.
Je kwa mambo hayo,tunahitaji mapinduzi?Kama jibu ni ndio ni aina ipi ianze?
Kama ni hapana,kwanini?
Je Tanzania tunahitaji ipi kati ya aina hizo.
LABDA NIDOKEZE MAHITAJIO YA KUFANIKISHA AINA YOYOTE YA MAPINDUZI.
1.Uongozi mzuri wa anayetaka kupindua.
2.Muda wa kutosha kufanya maandalizi na mipango ya kupindua.
3.Ardhi(terrain) itakayotumika kuanda mipango yao bila kuingiliwa na serikali iliyopo madarakani.
4.Intelijensia,itawezesha kujua mienendo ya serikali dhidi yao na mipango mingine.
5.
MAMBO AMBAYO YANACHANGIA MAPINDUZI.
1.Utawala mbovu na ubadhirifu.
2.Tofauti kubwa ya kipato kati ya tajiri na masikini.
3.Ukabila na Udini ama ktk serikali au jamii husika inapohisi tofauti.
4.Ubaguzi hasa wa rangi.
5.
Je kwa mambo hayo,tunahitaji mapinduzi?Kama jibu ni ndio ni aina ipi ianze?
Kama ni hapana,kwanini?