THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
- Thread starter
- #181
mafisadi waliangalie sana hili,yan wasipokuwa makini tutaona roho hivi hivi kwa mali aliyotupa mola,binadam siku hizi hawaogopi mungu,wao kila ikitokea rasilimali tuh huigeuza yao na kusahau ya kwamba mungu pia aliweeka kwa manufaa yetu sote viumbe wake,bila huruma wao wanachukua ten percent wanakimbilia kuficha uswiss,sasa ili iweje??vizazi vinavyokuja vitarajie nini katika ardhi hii??
Wamekuwa watu wa hovyo kabisa.
Wamekuwa watu wa hovyo kabisa.