Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
wanajamvi kuna jambo limekuwa likisumbua akili yangu muda wote hasa nikitizama watoto tuliozaa huwa nawaza mambo mengi sana.nakumbuka hapo nyuma tulipokuwa tunakua wengi watakuwa mashahidi kila mtu mzima alichukua jukumu la kulea mtoto wa mwenzake bila kuangalia ni wa nani leo hii ambapo muda mwingi hatupo majumbani ukikuta mwanao kachapwa na jirani au kakaripiwa unaanza kukuna mengine mengi naamini mtayaweka humu tusisahau hata kama utawalea kwa maadili gani watoto wako kama watazungukwa na uchafu kila mahali itakupa wakati mgumu sana kwenye malezi tupende watoto wa wenzetu na tuwatazame kwa jicho lile lile tunalowapa watoto wetu naamini tutatengeneza kizazi bora na sisi sio kuwa maangamizi wa malaika hawa wa malai