Poleni na majukumu wakuu, ok kwa wale wakazi wa moshi na arusha wanaohitaji ku-unlock( kuchakachua) modem zao ili kuwawezesha kutumia mitandao yote na kuwa huru kuchagua mtandao wowote wanaouhitaji hili linawahusu, nina unlock modem za mitandao yote, kwa gharama nafuu, ni shilingi elfu tatu tuu (3,000) , kwa wanaohitaji huduma hii unaweza kinicheki kwa hii number(no.) 0656324523, nawatakia shughuli njema.