Ntaramuka
Senior Member
- May 2, 2008
- 169
- 27
Kwa dhati kabisa, huwezi kuongelea watu ambao wamekuwa na mchango mkubwa katika kukuza na kuimarisha demokrasia bila kumtaja mh Mbowe na viongozi wengine wa Chadema. Tangu Mbowe amekuwa kiongozi wa chadema amefanya mambo makubwa sana ndani na nje ya chama.
Kwanza, amekiimarisha chama na leo kimekuwa chama kikuu cha upinzani. Pili, chadema kimekuwa sauti ya tz wengi, nk.
Kama watanzania, tumfanyie nini Mbowe ili kuthamini mchango wake kwenye kukuza demokrasia nchini, bila kujali itikadi za vyama?
Kwanza, amekiimarisha chama na leo kimekuwa chama kikuu cha upinzani. Pili, chadema kimekuwa sauti ya tz wengi, nk.
Kama watanzania, tumfanyie nini Mbowe ili kuthamini mchango wake kwenye kukuza demokrasia nchini, bila kujali itikadi za vyama?