Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
siku hizi hamna kitu.
Redio zimekuwa zinafumuka kila kukicha.
Watangazaji wenyewe nao masakala, hawana lolote zaidi yakuigana sauti na lugha za kipuuzi kabisa.
Juzi nikasikia redio moja wanatangaza eti..''halo ya Invisible kuuuuntu'' halafu wakaitikia kuuntuuuuu uuuu kuntu....aisee nilicheka mpk nikaonekana chizi.
Redio zimekuwa zinafumuka kila kukicha.
Watangazaji wenyewe nao masakala, hawana lolote zaidi yakuigana sauti na lugha za kipuuzi kabisa.
Juzi nikasikia redio moja wanatangaza eti..''halo ya Invisible kuuuuntu'' halafu wakaitikia kuuntuuuuu uuuu kuntu....aisee nilicheka mpk nikaonekana chizi.