Ndio unajinadi kwamba tujuwe umeolewa au!!?? sifa za kijinga.
Je E-Mail address yake unaijua labda Mods itawasaidia kujua...mkuu sio kila mtu anapenda ajulikane anatumia id gani kwasababu binafsi . Sina sababu ya kutunga uwongo ndg yangu .
alisahau kulock ndo maana ikafetuka . Na alikuwa akiendesha gari kwa hyo ikapiga maeneo ya tumboni.
Rest In Peace Godson!
Sasa kijana mdogo kama yule anamiliki silaha.
Ama masharti ya kumiliki silaha siku hizi siyo ngumu!
hata mimi nina rafiki zangu wengi sana lakini sijui ID zao lakini ninauhakika 100% kuwa ni member wa JF.....Kafute mchango wako huo wa mawazo mgando,
Nina ndugu zangu wengi ni wanachama wa JF lakini sijui wanatumia majina gani.
Leo sijui umeamkaje mkuu,mtu ukisema nina mke au nimeoa ni kutafuta SIFA?? wote humu ndani waliokwisha sema wapo kwenye ndoa WANATAFUTA SIFA???.Ndio unajinadi kwamba tujuwe umeolewa au!!?? sifa za kijinga.
dah...
RIP broda......
itabidi mwaka huu niwapatie hata watu wawili ID yangu waijue......
Hali si hali