Dan4d Hamissi
Member
- Jul 14, 2012
- 34
- 6
Mpaka kufikia muda huu Wenzetu Kenya wameingia Nusu fainali sisi Je?? Hatupo poppet hata 30 Bora hatupo!! Mrembo peles aliyeleta heshima hapa nchini na barani Africa ni Nancy Sumari winging kazi Yao ni Kufanya shooting na Diamond!!?? Kweli??!! Namna hii tutafika kweli?? Olympics tumeshindwa!! Mtu tumempa bendera ya taifa 30 Bora hajaingia?? Hao Kenya walioweza Wana nini Cha kutuzidi?? Tafakari.......