Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
SHY-RESE BHANJI
NUKUU
Naomba kuuliza nimewakosea nini mpaka mnanisema sana? Jamii forum ndio mko mstari wa mbele kunuharibia kila siku!!! Nimewakosea nn?!!, Wote mnaoniharibia sifa yangu mnaniumiza moyo wangu sana, na hamnitendei haki . Kila mnaponiharibia Mungu atanisaidia. Watch me . (kutoka Facebook)
MWISHO WA KUNUKUU
SOURCE: Gazeti la Mwananchi leo jumamosi 12 March 2011. Huenda wengine mlishaipata hii ila kwa wale ambao hatukuiona tuione maana jf ni mlalamikiwa mkuu.
NAWASILISHA
NUKUU
Naomba kuuliza nimewakosea nini mpaka mnanisema sana? Jamii forum ndio mko mstari wa mbele kunuharibia kila siku!!! Nimewakosea nn?!!, Wote mnaoniharibia sifa yangu mnaniumiza moyo wangu sana, na hamnitendei haki . Kila mnaponiharibia Mungu atanisaidia. Watch me . (kutoka Facebook)
MWISHO WA KUNUKUU
SOURCE: Gazeti la Mwananchi leo jumamosi 12 March 2011. Huenda wengine mlishaipata hii ila kwa wale ambao hatukuiona tuione maana jf ni mlalamikiwa mkuu.
NAWASILISHA