Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Ni katika pita pita za mshikaji akakutana na hii shule bora kabisa ya serikali ambayo ina mwalimu mmoja yeye ndoyo mkuu, msaidizi, mwalimu wa zamu, mwalimu wa nidhamu, mwalimu wa taaluma na kila kitu, watu pekee wanaomsaidia ni wale waliomaliza darasa la saba hapo shuleni ndo kawafanya waalimu wasaidizi wanalipwa na wazazi kwa kuchangia kidogo kidogo.
Hongera ccm ila hivyo vidole vitawatesa sana hadi 2015 kitaeleweka, Go Tanzania...
Noti...
Hongera ccm ila hivyo vidole vitawatesa sana hadi 2015 kitaeleweka, Go Tanzania...
Noti...
Attachments
Last edited by a moderator: