duh na mahesabu ya kura zao nitofauti kabisa na zahuku!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ZEC mamlaka yake ni huko huko mchambawima.
Na majimbo yote ya huko yashatangazwa
Tutaambiwa aliyeshinda uraisi kashinda kwa kura nyingi kuliko wapiga kura wa znz.
Mechi za mtaani utotoni. Mwenye mpira akifungwa sana analia anondoka na mpira wake. Naona mambo ndo yalivyokuwa
Wameogopa miKWARA ya Watazamaji Uchaguzi wa Kimataifa baada ya kuwapiga Mkwara
lowasa jitangazie na wewe ushindi turudie tena maana majimbo hayatoshi
Hivi mnataka vita au ni nini lakini?! Kisa ccm imeshindwa ndio mnasema uchaguzi ulikuwa na kasoro, je mngeshinda ccm mngesema hivyo?! Mnaharibu amani jamani, damu inaweza mwagika hapa!