Samba
Member
- Nov 24, 2013
- 74
- 65
Tume ya ajira, tunaomba muwe mnaweka na matokeo ya written interview kwenye account zetu au website, kusudi mtu ajue amepataje na amekuwa wa ngapi na wamechaguliwa wangapi kwenye stage inayofuata.
Uzuri wote wnaofanya mtihani kuna ID bila majina. sasa kwenye portal mnaweka "not selected" tu. Nadhani ni haki ya wote wanaofanya mtihani kupata motokeo yao.
Uzuri wote wnaofanya mtihani kuna ID bila majina. sasa kwenye portal mnaweka "not selected" tu. Nadhani ni haki ya wote wanaofanya mtihani kupata motokeo yao.