heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,757
- 8,699
kuna ndugu hapa anaharisha sana amekula jana maziwa pamoja na samaki analalamika tumbo na pia anatapika atumie kitu gani apone maana nasikia maziwa na samaki ni mchanganyiko mbaya sasa nahisi umemfanyizia