bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
wana jf na watanzania wenzangu!!
tuma ujumbe kwa mtandao wowote ule wenye neno "hapana" kwenda kwenye namba 15016 kuna jibu linalokuja na linaonyesha kwamba watanzania tumeliwa hela nyingi sana kwa ujumbe unaoonyesha kwamba ccm imekuwa na mpango maalum wa kuichangia ishinde, tena bila idhini ya watanzania!!!
tunza ujumbe huo mara utakapoupata, ni silaha ya kuing'oa ccm na kampeni zao chafu!!
tuma ujumbe kwa mtandao wowote ule wenye neno "hapana" kwenda kwenye namba 15016 kuna jibu linalokuja na linaonyesha kwamba watanzania tumeliwa hela nyingi sana kwa ujumbe unaoonyesha kwamba ccm imekuwa na mpango maalum wa kuichangia ishinde, tena bila idhini ya watanzania!!!
tunza ujumbe huo mara utakapoupata, ni silaha ya kuing'oa ccm na kampeni zao chafu!!