Tulizana, tuko wangapi!

Crocozilla

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
469
335
HII NI ZAIDI YA TUPO WANGAPI :-

Jamaa alikuwa ulaya akamtumia mama yake email:

"Mama nina UKIMWI"

Mama yake akajibu:

Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-

Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo,

Mkeo atamuamkukiza kaka yako,

Kaka yako atamuambukiza hausigeli,

Hausigeli atamuamuambukiza baba yako,

Baba yako atamuambukiza dada yangu,

Dada yangu atamuambukiza mume wake,

Mume wake ataniambukiza mimi,

Mimi nitamuambukiza dereva wetu,

Dereva atamuambukiza dada yako,nadada yako km unavyomjua atakiambukiza kijj kzm!ww 2ma pesa 2 ubki huko huko MWANANGU!!!
 
HII NI ZAIDI YA TUPO WANGAPI :-

Jamaa alikuwa ulaya akamtumia mama yake email:

"Mama nina UKIMWI"

Mama yake akajibu:

Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-

Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo,

Mkeo atamuamkukiza kaka yako,

Kaka yako atamuambukiza hausigeli,

Hausigeli atamuamuambukiza baba yako,

Baba yako atamuambukiza dada yangu,

Dada yangu atamuambukiza mume wake,

Mume wake ataniambukiza mimi,

Mimi nitamuambukiza dereva wetu,

Dereva atamuambukiza dada yako,nadada yako km unavyomjua atakiambukiza kijj kzm!ww 2ma pesa 2 ubki huko huko MWANANGU!!!

Mitandao kama hii ina ukweli kabisa katika maisha na mahusiano, ila mimi sijaelewa kwa nini huu mzunguko
wa mama mpaka utokee kwa dada wa mama yake!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom