Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
HII NI ZAIDI YA TUPO WANGAPI :-
Jamaa alikuwa ulaya akamtumia mama yake email:
"Mama nina UKIMWI"
Mama yake akajibu:
Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-
Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo,
Mkeo atamuamkukiza kaka yako,
Kaka yako atamuambukiza hausigeli,
Hausigeli atamuamuambukiza baba yako,
Baba yako atamuambukiza dada yangu,
Dada yangu atamuambukiza mume wake,
Mume wake ataniambukiza mimi,
Mimi nitamuambukiza dereva wetu,
Dereva atamuambukiza dada yako,nadada yako km unavyomjua atakiambukiza kijj kzm!ww 2ma pesa 2 ubki huko huko MWANANGU!!!
Jamaa alikuwa ulaya akamtumia mama yake email:
"Mama nina UKIMWI"
Mama yake akajibu:
Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-
Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo,
Mkeo atamuamkukiza kaka yako,
Kaka yako atamuambukiza hausigeli,
Hausigeli atamuamuambukiza baba yako,
Baba yako atamuambukiza dada yangu,
Dada yangu atamuambukiza mume wake,
Mume wake ataniambukiza mimi,
Mimi nitamuambukiza dereva wetu,
Dereva atamuambukiza dada yako,nadada yako km unavyomjua atakiambukiza kijj kzm!ww 2ma pesa 2 ubki huko huko MWANANGU!!!