Unataka nikutajie aina za kodi za Tz, au nikwambie mambo yanayosababisha tax avoidance na evarsion? Anyways unaweza ukawa hufanyi biashara ngoja nikutajie kisha nikupe na mfano kwann watu wanakwepa na kukimbia.Tutajie hizo kodi ili zifanyie kazi hatutaki hoja za jumla jumla. Tupe mifano
Haya kodi tuna PIT, CT, WT(za aina zote),PAYE, SDL, VAT n.k hizi zinahusiana na TRA, tusiongelee za municipal na board nyinginezo tofauti na TRA.
Mfano wa mfumo usiofaa ni wa examination of books of accounts for previous 5 years kisha unacharge penalt na interst mpaka miaka ya mbele kwa kisingizio kuwa mfanyabiashara amekaa na pesa ilihali submission ya books ilifanyika mapema ila ni wewe afisa wa TRA ndo hukuexamine ndani ya muda kureconcile kama kuna utofauti wa kodi.
Baada ya interest na penalties Kodi inakuja kubwa unafunga account na vitisho vya kupiga watu pingu au kufilisi.
Sikia tusipoteze muda. TZ wafanyabiashara wapo positive na suala la kodi kama haili mtaji na faida yote. Inahitajika akili na mfumo bora wa ukusanyaji mengine yote porojo.