Tulivyojiingiza chaka kwenye vita bandia ya Ushoga... Gharama yake hatuiwezi hivyo tujitoe haraka.

Imeandikwa na Mwanazuoni mmoja

=====

Mtanzania mwenzangu,

Naomba unisome taratibu bila haraka na kwa akili iliyo tayari kujifunza.

Nimefuatilia kwa karibu hiki kinachoitwa vita dhidi ya ushoga na mwitikio wake nje na ndani ya nchi yetu. Nimetafakari na kuona nami nishiriki mjadala huu kwa kuongelea yale ambayo hadi sasa naona hayajaguswa kabisa. Ninafanya hivi kwa kuwa ninaona kuna makosa makubwa mawili kwenye vita hii.

Kosa la kwanza ni kujiingiza kwenye vita isiyo na maana wala tija na kufanya hivyo bila malengo au kama yapo basi ni malengo dhaifu. Kosa la pili, ni kuingia kwenye vita hii bila kuwa na ufahamu wa kutosha kujua tunapigana na nani hasa na tuna nguvu kiasi gani za kupigana naye. Kwa bahati mbaya sana, vita hii imeanzishwa na watu wachache kwa sababu wanazozijua wao na sisi (watanzania wengi) bila kufikiria vema tumebebeshwa na kudai ni vita yetu sote kama nchi. Haya ni makosa makubwa sana. Wahanga wakubwa wa mkumbo huu ni watu wenye dini (wakristo na waislamu) ambao mara zote wamekuwa wakidanyika na vitu vidogo sana kwa kuwa tu vinakubalika au kukataliwa na dini zao. Nitoe hoja zangu nikirejea makossa mawili niliyoyataja.

Kwanini ni vita isiyo na maana wala tija?

Kwa kuanzia, tukubaliane kwamba hakuna mtanzania au mtu mwenye akili timamu asiyetambua kwamba ushoga na matendo yafananayo na hayo ni mambo najisi na batuili kufanywa na binadamu. Hata wanaoufanya ushoga wanajua kabisa wanafanya mambo batili na najisi ila hawana jinsi ya kujichomoa humo kama ilivyo kwa majambazi, wezi, malaya, walezi na wachepukaji. Hawa wote wanajua kabisa kwamba wanayofanya ni maovu lakini haawachi. Mkristo yoyote lazima achuki ushoga maana ni dhambi mbele za Mungu kama vile anavyotegemewa kuchukia uongo, ulevi, uvutaji, uasherati, rushwa na mambo yanayofanana na hayo. Biblia inataja matendo ya kishoga kama dhambi ila haioneshi popote kwamba ni dhambi kubwa kuliko nyingine. Sina haja ya kunukuu maandiko lakini ni maeneo mengi tu Biblia inaorodhesha dhambi na kutuonesha kwamba zote ni machukizo mbele za Mungu.

Ila ni kawaida yetu sisi wanadamu kuyapa baadhi ya mambo uzito kuliko mengine hasa katika kukutafuta kujihesabia haki na kujiona ni wema kuliko wengine. Ndio mana mlevi anamwona mzinzi ni mwovu kuliko yeye na anashangaa mwingine akiwa jambazi; ndio mana anayechepuka anajiona yeye ni nafuu na msafi kuliko aliyejitangaza kuwa ni Malaya; ndio mana anayepokea rushwa kwa kalamu anajiona yeye ni salama kuliko trafiki anayepokea barabarani; na ndio mana kiongozi anayekandamiza haki za wengine na kuonea watu anajiona yeye ana haki kuliko anaowaita wavunja sheria. Ila ukweli ni kwamba ushoga ni dhambi na jambo la aibu na kulaaniwa kama ilivyo sawa na uasheraji, uzinzi, ukahaba, rushwa, uonevu, uongo, ufisadi, hila, kiburi, majivuno, na ukatili. Biblia inasema hawa wote eneo lao ni katika Ziwa liwakalo moto wa milele.

Kuna maswali kadhaa kila mtanzania anabidi kujiuliza:

Nini mantiki ya hii vita na tumedhamiria kufanikisha kitu gani? Tangu lini Tanzania imekaa juu ya kitu cha enzi na kuwa muhukumu wa dhambi kwa kupima zinazovumilika na zisizovumilika? Je, tumeshamaliza kuzuia dhambi zote na sasa tumebakiza ya ushoga tunayoiita vita? Kwani sheria ya kupinga ushoga na matendo yanayoendana na ushoga imeanzishwa lini? Ni leo, ni jana, ni juzi? Kwani dunia haikujua miaka yote kwamba tuna sheria inayopinga ushoga? Sasa inakuwaje hiyo vita inaanza sasa na kutujengea maadui? Je, kutoa Afrika Kusini, ni nchi nyingine ngapi za Afrika zinazokubali ushoga kisheria? Majirani zetu Kenya wanakubali ushoga? Je, na wao wanapigwa vita kama taifa kama sisi kwa kuwa hawakubali ushoga?

Ukijiuliza maswali haya, lazima utaruhusu akili yako ifanye kazi na kukusaidia kuelewa kwamba tumenzishiwa vita isiyo na maana, haina malengo, na hatujui tunapambanaje na tunapambana na nani. Ni bahati mbaya sana kama taifa tunabeba tu hoja za watu wengine na kuzifanya zetu kwa kuwa tunawaunga mkono, tuna maslahi nao au wanalolifanya linamgusa tunayemuona ni adui.

Hatujui tunapigana na nani na ana nguvu gani

Mtu yoyote akitazama tamko la bunge la EU dhidi ya yale wanayoona ni mambo yanayohitaji kurekebishwa nchini, atashangaa uzito uliowekwa kwenye swala la ushoga. Pamoja na kuwepo mambo mengine ambayo huenda ni ya msingi na yanahitaji mjadala, ushoga umeongelewa kwa uzito na umekuzwa kuliko uhalisia wake. Sasa ni rahisi sana mtu kuanza kuwashambulia watu hawa na kusema wanataka kutulazimisha ushoga kwa sababu hii au ile na kukimbilia kuwatukana. Ila kama ukijipa muda kujielimisha katika muktadha wa diplomasia za kimataifa na yanayoendelea duniani, utagundua mtizamo huo una shida na ni njia ya mkato ya kutazama mambo makubwa. Kwa nini nasema hayo?

Ukijishughulisha kufuatilia hii ajenda ya ushoga, utaelewa kwamba sio vita ndogo na rahisi kama wengi wanavyodhani. Hii sio vita ya kusema tu hili jambo ni baya, ni aibu, ni najisi au ni la kupingwa kwa nguvu zote. Ushoga na matendo yanayofanana na hayo yanashadidiwa na watu ambao siku hizi wanajiita jumuiya ya LGBT (Lesbians -wasagaji, Gays - wafiraji, Bisexual – watu wenye tabia za jinsia tofauti na maumbile). Katika nchi za magharibi, watu hawa kwakujua kutokukubalika kwa matendo yao katika jamii walijiona kama wanakandamizwa, wanatengwa na kuonekana najisi katika jamii yao kwa kuwa ni kundi dogo (minority group). Kwa kujua kuna nguvu katika umoja, badala ya kutafuta haki zao kila kikundi kivyake, wafanye hivyo wakiwa kama kundi moja lenye utambulisho. Kwenye nchi nyingi za magharibi hasa zile ambazo bado zina mabaki ya maadili, watu hawa wanafanya uchafu wao kivyao na kwenye maeneo yao. Wana makanisa yao, vilabu vyao vya kunywa, na mikusanyiko mingine kama hiyo. Wana umoja imara sana na hoja yoyote wanayoitetea wanaitetea wote kwa nguvu zote.

Kitu cha pili utakachojielimisha nacho ni kwamba watu wa kundi la LGBT sio wachache na sio wapya. Walikua wachache huko nyuma wakati sheria zilikua kinyume nao ila sasa wanajitokeza kwa wingi. Wamekuwepo kwenye nchi hizi kwa karnenyingi. Ndio mana nchi nyingi zilikua na sheria kali za kuwahukumu kifo au kifungo cha Maisha. Ila historia inaonesha kwamba watu wengi maarufu na waliopata mafanikio makubwa katika jamii kama wanasiasa, wanasayani/ wasomi, wasanii, wanamuziki, wanafalsafa, na hata viongozi wa dini walikua na vimelea vya ushofa ama kwa wazi wa kujificha. Sina muda ningekupa orodha ya watu wa zama hizo ambao habari zao zinaonesha walikua mashoga. Katika historia ya nchi za ulaya, kuna watu wengi walijiua walipoona ushoga wao umejulikana.

Kadiri ustaarabu wa magharibi ulivyoendelea na haki za watu hawa kuanza kulindwa na sheria, waligundua namna ya kusambaza ajenda zao na kulinda haki zao. Watu hawa walinza harakati za kuingiza haki na maslahi yao kwenye sheria, sera na taratibu mbalimbali za maisha. Wamehakikisha katiba na sheria za nchi zinatamka wazi ulinzi wao na haki ya matendo yao. Kule Marekani mafanikio makubwa kabisa waliyapata katika utawala wa Obama ambapo kwa mara ya kwanza mahakama kuu ya nchi hiyo ilitoa hukumu iliyotoa uhalali wa ndoa za jinsia moja na wahusika kupata haki zote sawa na ndoa za asili. Katika nchi ya Marekani jambo hili lilikua linakubaliwa na baadhi ya majimbo huku mengine yakipinga. Ila jambo likishapitishwa na federal court inafuta sheria za majimbo. Ushindi mwingine mkubwa ni kwa nchi kama ya Ireland ambayo asilimia kubwa ya raia wake ni wakatoliki ngangari lakini walipitisha sheria kupitia kura za maoni mwaka 2016 ya kukubaliana na ushoga tena kwa ushindi mkubwa.

Ukijiongeza zaidi, utagundua kwamba hawa jamaa wa LGBT hawajaishia hapo, bali wamehakikisha wamepenyeza “watu wao” kwenye nafasi nyeti za kisasa. Hadi sasa nchi kadhaa za ulaya zina viongozi wakuu ambao ni mashoga na wasagaji. Hali kadhalika kuna wabunge, magavana, na mawaziri wengi. Makanisa mengi huko magharabi sasa yanawakubali watu hawa sio tu kama waumini wa kawaida na hata kuwafungisha ndoa kiimani, bali wana viongozi wa dini ambao ni mashoga na wasagaji. Kanisa la Anglikana lililotawala kule Uingereza na baadhi ya matawi yake huko Marekani yanao watu wa aina hii. Hivyo utaona kundi hili sio tu limehakikisha kwamba linabadili mwelekeo wa sheria na sera za nchi kulinda haki zao bali hata kubadili misingi ya kiimani. Ajabu ni kwamba linfanikiwa. Jamii ya LGBT inatoa fedha kufadhili kampeni za kupitisha watu wao au mtu yoyote ambaye wanajua atatetea maslahi yao na ndio mana mtu kama Obama atabaki kuwa shujaa wao milele kwa kuhakikisha wanalindwa kisheria.

Ukipiga hatua zaidi, utagundua kundi hili lina watu wengi kwenye jumuiya ya wafanya biashara. Utashangaa kugundua kwamba matajiri wengi wakubwa duniani ambao ama ni wamiliki wa makampuni makubwa au ni viongozi wakubwa wa makampuni yenye umaarufu ama wao wenyewe ni wanachama wa LGBT wanaunga mkono mambo ya kishoga. Kwa minajili hii, watu hawa wamepenyeza ajenda zao na kuzisambaza kupitia biashara, biadhaa, michezo, na mambo mengine.

Maeneo mengine makubwa ambayo wamefanikiwa kuyakamata na kuwapa mafanikio ni vyombo vya habari na tasnia ya filamu. Watu hawa wamejipenyeza kumiliki na kuwa miongoni mwa watangazaji maarufu kabisa au media personalities katika vyombo vikubwa vya habari na hasa televisheni. Watu kama Richard Quest na Anderson Cooper wa CNN wamejitangaza hadharani kwamba ni mashoga. Mtangazaji makini kama AmanPour ni kampena mkubwa wa haki za mashoga na huwabana sana wanasiasa kwa hoja hizo. Kwa kuwa na watu wa aina hii kwenye vyombo vya habari, kundi la LGBT limefanikiwa sana kutangaza ajenda zao kwa uwazi na hata kulazimisha watu wengine wazitetee. Wameongoza vita kushambulia mtu, watu au taasisi yoyote inayoonesha kuwadharau au kutofautina na matendo yao. Na wakishakukomalia hawa basi huna wa kukuokoa na lazima itakula kwako mahali kama sio kukumaliza moja kwa moja.

Kwenye eneo la filamu ndio wamefanikiwa kupita maelezo. Kwa sasa ni ngumu sana kutazama filamu zinazotengenezwa Marekani au Ulaya ambazo hazijaingizwa mambo ya kishoga. Hata filamu iwe nzuri kiasi gani, ushoga utaingizwa tu kwa namna ambayo hujategemea. Ni kawaida kabisa kwamba mtu anapoangalia filamu, sio rahisi aache au azime kwa sababu kuna tukio moja au mawili ambayo hayapendi. Kwa kawaida watu hutizama kila kitu kwenye filamu ikiwa ni pamoja na matukio ya kuwasisimua kama ya ngono au kuona vifo. Kwa mijali hiyohiyo ushoga umeingizwa kijanja sana. Kwa wanaotazama filamu za magharibi ni wazi kwa sasa wameshazoea kuona mambo haya na hawashangai tena. Na kwa mtindo huu, LGBT community imefanikiwa kwani watu wengi duniani kwa sasa wanaona matendo ya ushoga kama mambo ya kawaida tu. Kitu kinachoshangaza zaidi ni kwamba ukifuatilia Maisha wa wacheza filamu kwenye nafasi hizi za kishoga, wanaume kwa wanawake, wengi wao ni watu wenye familia na heshima zao na sio mashoga. Ila wanapocheza ni kama walizaliwa hivyo. Sasa jiulize wanalipwa nini na kiasi gani kukubali unajisi huu? Kwa nini wanaondika filamu na madirekta wanapenyeza mambo haya kwenye kila filamu? Hata baadhi ya katuni na vitabu vya watoto, vimeanza kuingizwa mambo haya na hivyo wanakua wakiwa wanaona ushoga ni sehemu ya Maisha.

Nina mifano mingi ya kutoa lakini itoshe tu kusema tunaopigana nao hatuwajui vema wala uwezo wao. Hatuna uwezo wa kisiasa, kifedha wala kijeshi kupambana nao. Watu hawa wameshikilia roho za kila taasisi na serikali za kimagharibi na wanaziendesha nchi zao kwa ushoga wao kiajabu sana. Watanzania wengi na waafrika wengine tunadhani kwamba kila mzungu anapenda ushoga au anaona ni kawaida. Ukweli ni tofauti kabisa. Wako wazungu wengi tu wasiounga mkono ushoga kwa misingi ya kiimani na kimaadili. Wengi tu wanaona ni jambo najisi na lisilofaa. Ila hawana tena nafasi na uwezo wa kueleza hisia zao maana wanabanwa na sheria. Hata mahubiri makanisani wanaogopa kutamka wazi kwamba mambo hayo ni najisi. Kwa nini? LGBT imefanikiwa kujiwekea uzio mkubwa sana wa ulinzi wa kisheria. Imeshafanya jambo lolote linalogusa matendo yao kuwa nyeti na linapewa uzito wa ajabu sana kisheria na kisera; za taasisi au za nchi. Wanaopinga hawana namna zaidi ya kuvumilia na kunyamaza kimya. Uzuri wao tofauti na sisi, wamezoeshwa kuishi kwenye mazingira ya utii wa sheria na kuheshimu haki za wengine hata kama unatofautina nao ili mradi hugusi Maisha yao.

Walioanzisha vitu hivi wangejielemisha haya, wangetafakari zaidi iwapo kuna haja ya kufanya tunachokifanya na kujikuta tulipo sasa tukinyooshewa vidole na kila mtu. Tumegusa mboni ya jicho ya watu hawa na ndio mana utaona jambo hili lina uzito wa kipekee kuliko mambo mengine yote yanayohojiwa kwenye nchi yetu. Kibaya zaidi, ninahofia hata Mungu tunayedhani tunamtetea na kumwamwani kwa kutangaza vita vya ushoga wala hayuko na sisi maana hii sio staili yake ya kupambana na dhambi.

Ninashauri nini?

Wasiotaka kufikiria na wenye mawazo ya mkato wanaweza kudhani ninaunga mkono ushoga au ninamaanisha nchi yetu isipinge ushoga. Hii sio sahihi. Ninachosema ni kwamba vita hii bado tungeweza kupigana kwa akili bila kelele na tukashinda kama ambavyo tumepigana siku zote kwa misngi kwamba tamaduni zetu sio tu kwamba haziungi ukono huo ufedhuli bali hata kujadili kwa uwazi tunaepuka. Tungeweza kuendelea kuonesha misimamo yetu bila kufarakana na watu tusioweza kupambana nao. Kama mtu angetuuliza tunasimamia nini bado tungeweza kujibu kama Kikwete aliyejibu kwa kusema “Toba yarabi” au kama Uhuru Kenyata aliyabanwa akiwa Uingereza akajibu kwamba “jambo hili sio kipaumbele cha wakenya kwa sasa na hawajajitokeza kuonesha tunahitajika kulishughulikia. Tuna mambo ya msingi kama taifa kuhusu maendeleo na ustawi wetu ambayo ndio yanagusa maisha ya kila mkenya”.

Nchi za mashariki ya kati kama Dubai, Qatar, Saudi Arabia, Irani na nyingine nyingi zina sheria ngumu sana zinazokiuka kinachouitwa haki za binadamu. Wanapinga mambo mengi ikiwa ni pamoja na uhuru wa kuabudu, uhuru wa kujiunga na dini unayotaka na hakuna demokrasia ya kisiasa. Hata wazungu wakitaka kwenda huku (na wanakwenda kwa wingi sana), wanajua kabisa wanakwenda kwenye mazingira gani hivyo watajiandaa kuvaa madera/mabaibu na vilemba. Nchi hizi ndio washiriki wao wakuu wa biashara na wanafanya nao biashara za matrilioni. Wamewekeza kwao na wanawapa ufadhili vijana wao wakaosome kwa wingi huko magharibi. Pamoja na yote hayo, hichi hizi zina sheria ngumu za ushoga na mambo mengine yasiyokubalika katika jamii za kiislamu. Hata hivyo huwezi kuwasikia viongozi wao wakitoa matamko kwenye vyombo vya habari kupinga ushoga au kutoa ahadi na viapo vya kupambana nao. Kwa nini?

Jakaya Kikwete aliwahi kutuambia kwamba “akili za kuambiwa changanya na zako”. Siku za karibuni akiwa ameshataafu aliwahi kuwaambia wanazuoni wa pale UDSM kwamba “huna haja ya kurithi maadui wala ulazima wa kutengeneza wa kwako”.

China inaongoza duniani kuminya haki za binadamu. Ni nchi inayoendeshwa kwa mkono wa chuma na hawamvumilii mtu yoyote anayekwenda kinyume na misingi yao. Hakuna uhuru wa vyombo vya habari, hakuna demokrasia, wala hakuna uhuru wa kuabudu. Watu wananyongwa ovyo kwa makossa ya ajabu kabisa. Hata hivyo ndilo taifa linalofanya biashara na Marekani na Jumuiya ya Ulaya kuliko lingine lolote lile duniani. Bidhaa zao ndio zimejaa kwenye masoko ya magharibi. Je, umewahi kusikia viongozi wao wakipambana hadharani na mashoga au wakifanya ushoga vita ya kitaifa?

Kama taifa tujielekeze kwenye mambo ya msingi. Katika harakati za kuijenga nchi tunahitaji utulivu mkubwa na kushirikiana na yeyote tunayeweza kufaidi mchango wake katika harakati zetu. Tusipokua makini tutapoteza dira na kujikuta hata uwezo wa kufanya tunayotaka hatuna tena na badala yake hali yetu inakua mbaya kuliko tunayotaka kuibadilisha. Mifano ya aina hii ni mingi duniani na kama tunakata kujifunza tukawaulize wasudani, wazimbawe na wavenezuela. Mtu makini na mwenye malengo makubwa anajua kabisa kwamba sio kila vita inafaa kupigana na kuna mambo mengi ya kupuuzi humu duniani. Hakuna mtu anaweza kufuta ushoga na matendo yake duniani hata kuwe na sheria kiasi gani. Vita ya kweli kwenye eneo hili ni la sisi kusisitiza ujezi wa jamii yenye maadili mema na kusisitiza viongozi wetu wa dini kufundisha na kupinga maovu kwa Imani zao.

Tafakari na chukua hatua.

halikuja yesu kuikomboa dunia na bado waka muweka msalabani,hao binadamu.
nchi ya tanzania ina kitu kimoja ambacho kipo
UBINAFSi
angalia maisha ya kila mmoja mmoja mpaka jamii na maisha yao walivyo unaweza kuta wanafanya kwa ajili ya wao tu si kwa ajili ya mbeleni kuna athali gani.na hili lipo kuanzia kwenye vyama tawala mpaka pinzani
 
Imeandikwa na Mwanazuoni mmoja

=====

Mtanzania mwenzangu,

Naomba unisome taratibu bila haraka na kwa akili iliyo tayari kujifunza.

Nimefuatilia kwa karibu hiki kinachoitwa vita dhidi ya ushoga na mwitikio wake nje na ndani ya nchi yetu. Nimetafakari na kuona nami nishiriki mjadala huu kwa kuongelea yale ambayo hadi sasa naona hayajaguswa kabisa. Ninafanya hivi kwa kuwa ninaona kuna makosa makubwa mawili kwenye vita hii.

Kosa la kwanza ni kujiingiza kwenye vita isiyo na maana wala tija na kufanya hivyo bila malengo au kama yapo basi ni malengo dhaifu. Kosa la pili, ni kuingia kwenye vita hii bila kuwa na ufahamu wa kutosha kujua tunapigana na nani hasa na tuna nguvu kiasi gani za kupigana naye. Kwa bahati mbaya sana, vita hii imeanzishwa na watu wachache kwa sababu wanazozijua wao na sisi (watanzania wengi) bila kufikiria vema tumebebeshwa na kudai ni vita yetu sote kama nchi. Haya ni makosa makubwa sana. Wahanga wakubwa wa mkumbo huu ni watu wenye dini (wakristo na waislamu) ambao mara zote wamekuwa wakidanyika na vitu vidogo sana kwa kuwa tu vinakubalika au kukataliwa na dini zao. Nitoe hoja zangu nikirejea makossa mawili niliyoyataja.

Kwanini ni vita isiyo na maana wala tija?

Kwa kuanzia, tukubaliane kwamba hakuna mtanzania au mtu mwenye akili timamu asiyetambua kwamba ushoga na matendo yafananayo na hayo ni mambo najisi na batuili kufanywa na binadamu. Hata wanaoufanya ushoga wanajua kabisa wanafanya mambo batili na najisi ila hawana jinsi ya kujichomoa humo kama ilivyo kwa majambazi, wezi, malaya, walezi na wachepukaji. Hawa wote wanajua kabisa kwamba wanayofanya ni maovu lakini haawachi. Mkristo yoyote lazima achuki ushoga maana ni dhambi mbele za Mungu kama vile anavyotegemewa kuchukia uongo, ulevi, uvutaji, uasherati, rushwa na mambo yanayofanana na hayo. Biblia inataja matendo ya kishoga kama dhambi ila haioneshi popote kwamba ni dhambi kubwa kuliko nyingine. Sina haja ya kunukuu maandiko lakini ni maeneo mengi tu Biblia inaorodhesha dhambi na kutuonesha kwamba zote ni machukizo mbele za Mungu.

Ila ni kawaida yetu sisi wanadamu kuyapa baadhi ya mambo uzito kuliko mengine hasa katika kukutafuta kujihesabia haki na kujiona ni wema kuliko wengine. Ndio mana mlevi anamwona mzinzi ni mwovu kuliko yeye na anashangaa mwingine akiwa jambazi; ndio mana anayechepuka anajiona yeye ni nafuu na msafi kuliko aliyejitangaza kuwa ni Malaya; ndio mana anayepokea rushwa kwa kalamu anajiona yeye ni salama kuliko trafiki anayepokea barabarani; na ndio mana kiongozi anayekandamiza haki za wengine na kuonea watu anajiona yeye ana haki kuliko anaowaita wavunja sheria. Ila ukweli ni kwamba ushoga ni dhambi na jambo la aibu na kulaaniwa kama ilivyo sawa na uasheraji, uzinzi, ukahaba, rushwa, uonevu, uongo, ufisadi, hila, kiburi, majivuno, na ukatili. Biblia inasema hawa wote eneo lao ni katika Ziwa liwakalo moto wa milele.

Kuna maswali kadhaa kila mtanzania anabidi kujiuliza:

Nini mantiki ya hii vita na tumedhamiria kufanikisha kitu gani? Tangu lini Tanzania imekaa juu ya kitu cha enzi na kuwa muhukumu wa dhambi kwa kupima zinazovumilika na zisizovumilika? Je, tumeshamaliza kuzuia dhambi zote na sasa tumebakiza ya ushoga tunayoiita vita? Kwani sheria ya kupinga ushoga na matendo yanayoendana na ushoga imeanzishwa lini? Ni leo, ni jana, ni juzi? Kwani dunia haikujua miaka yote kwamba tuna sheria inayopinga ushoga? Sasa inakuwaje hiyo vita inaanza sasa na kutujengea maadui? Je, kutoa Afrika Kusini, ni nchi nyingine ngapi za Afrika zinazokubali ushoga kisheria? Majirani zetu Kenya wanakubali ushoga? Je, na wao wanapigwa vita kama taifa kama sisi kwa kuwa hawakubali ushoga?

Ukijiuliza maswali haya, lazima utaruhusu akili yako ifanye kazi na kukusaidia kuelewa kwamba tumenzishiwa vita isiyo na maana, haina malengo, na hatujui tunapambanaje na tunapambana na nani. Ni bahati mbaya sana kama taifa tunabeba tu hoja za watu wengine na kuzifanya zetu kwa kuwa tunawaunga mkono, tuna maslahi nao au wanalolifanya linamgusa tunayemuona ni adui.

Hatujui tunapigana na nani na ana nguvu gani

Mtu yoyote akitazama tamko la bunge la EU dhidi ya yale wanayoona ni mambo yanayohitaji kurekebishwa nchini, atashangaa uzito uliowekwa kwenye swala la ushoga. Pamoja na kuwepo mambo mengine ambayo huenda ni ya msingi na yanahitaji mjadala, ushoga umeongelewa kwa uzito na umekuzwa kuliko uhalisia wake. Sasa ni rahisi sana mtu kuanza kuwashambulia watu hawa na kusema wanataka kutulazimisha ushoga kwa sababu hii au ile na kukimbilia kuwatukana. Ila kama ukijipa muda kujielimisha katika muktadha wa diplomasia za kimataifa na yanayoendelea duniani, utagundua mtizamo huo una shida na ni njia ya mkato ya kutazama mambo makubwa. Kwa nini nasema hayo?

Ukijishughulisha kufuatilia hii ajenda ya ushoga, utaelewa kwamba sio vita ndogo na rahisi kama wengi wanavyodhani. Hii sio vita ya kusema tu hili jambo ni baya, ni aibu, ni najisi au ni la kupingwa kwa nguvu zote. Ushoga na matendo yanayofanana na hayo yanashadidiwa na watu ambao siku hizi wanajiita jumuiya ya LGBT (Lesbians -wasagaji, Gays - wafiraji, Bisexual – watu wenye tabia za jinsia tofauti na maumbile). Katika nchi za magharibi, watu hawa kwakujua kutokukubalika kwa matendo yao katika jamii walijiona kama wanakandamizwa, wanatengwa na kuonekana najisi katika jamii yao kwa kuwa ni kundi dogo (minority group). Kwa kujua kuna nguvu katika umoja, badala ya kutafuta haki zao kila kikundi kivyake, wafanye hivyo wakiwa kama kundi moja lenye utambulisho. Kwenye nchi nyingi za magharibi hasa zile ambazo bado zina mabaki ya maadili, watu hawa wanafanya uchafu wao kivyao na kwenye maeneo yao. Wana makanisa yao, vilabu vyao vya kunywa, na mikusanyiko mingine kama hiyo. Wana umoja imara sana na hoja yoyote wanayoitetea wanaitetea wote kwa nguvu zote.

Kitu cha pili utakachojielimisha nacho ni kwamba watu wa kundi la LGBT sio wachache na sio wapya. Walikua wachache huko nyuma wakati sheria zilikua kinyume nao ila sasa wanajitokeza kwa wingi. Wamekuwepo kwenye nchi hizi kwa karnenyingi. Ndio mana nchi nyingi zilikua na sheria kali za kuwahukumu kifo au kifungo cha Maisha. Ila historia inaonesha kwamba watu wengi maarufu na waliopata mafanikio makubwa katika jamii kama wanasiasa, wanasayani/ wasomi, wasanii, wanamuziki, wanafalsafa, na hata viongozi wa dini walikua na vimelea vya ushofa ama kwa wazi wa kujificha. Sina muda ningekupa orodha ya watu wa zama hizo ambao habari zao zinaonesha walikua mashoga. Katika historia ya nchi za ulaya, kuna watu wengi walijiua walipoona ushoga wao umejulikana.

Kadiri ustaarabu wa magharibi ulivyoendelea na haki za watu hawa kuanza kulindwa na sheria, waligundua namna ya kusambaza ajenda zao na kulinda haki zao. Watu hawa walinza harakati za kuingiza haki na maslahi yao kwenye sheria, sera na taratibu mbalimbali za maisha. Wamehakikisha katiba na sheria za nchi zinatamka wazi ulinzi wao na haki ya matendo yao. Kule Marekani mafanikio makubwa kabisa waliyapata katika utawala wa Obama ambapo kwa mara ya kwanza mahakama kuu ya nchi hiyo ilitoa hukumu iliyotoa uhalali wa ndoa za jinsia moja na wahusika kupata haki zote sawa na ndoa za asili. Katika nchi ya Marekani jambo hili lilikua linakubaliwa na baadhi ya majimbo huku mengine yakipinga. Ila jambo likishapitishwa na federal court inafuta sheria za majimbo. Ushindi mwingine mkubwa ni kwa nchi kama ya Ireland ambayo asilimia kubwa ya raia wake ni wakatoliki ngangari lakini walipitisha sheria kupitia kura za maoni mwaka 2016 ya kukubaliana na ushoga tena kwa ushindi mkubwa.

Ukijiongeza zaidi, utagundua kwamba hawa jamaa wa LGBT hawajaishia hapo, bali wamehakikisha wamepenyeza “watu wao” kwenye nafasi nyeti za kisasa. Hadi sasa nchi kadhaa za ulaya zina viongozi wakuu ambao ni mashoga na wasagaji. Hali kadhalika kuna wabunge, magavana, na mawaziri wengi. Makanisa mengi huko magharabi sasa yanawakubali watu hawa sio tu kama waumini wa kawaida na hata kuwafungisha ndoa kiimani, bali wana viongozi wa dini ambao ni mashoga na wasagaji. Kanisa la Anglikana lililotawala kule Uingereza na baadhi ya matawi yake huko Marekani yanao watu wa aina hii. Hivyo utaona kundi hili sio tu limehakikisha kwamba linabadili mwelekeo wa sheria na sera za nchi kulinda haki zao bali hata kubadili misingi ya kiimani. Ajabu ni kwamba linfanikiwa. Jamii ya LGBT inatoa fedha kufadhili kampeni za kupitisha watu wao au mtu yoyote ambaye wanajua atatetea maslahi yao na ndio mana mtu kama Obama atabaki kuwa shujaa wao milele kwa kuhakikisha wanalindwa kisheria.

Ukipiga hatua zaidi, utagundua kundi hili lina watu wengi kwenye jumuiya ya wafanya biashara. Utashangaa kugundua kwamba matajiri wengi wakubwa duniani ambao ama ni wamiliki wa makampuni makubwa au ni viongozi wakubwa wa makampuni yenye umaarufu ama wao wenyewe ni wanachama wa LGBT wanaunga mkono mambo ya kishoga. Kwa minajili hii, watu hawa wamepenyeza ajenda zao na kuzisambaza kupitia biashara, biadhaa, michezo, na mambo mengine.

Maeneo mengine makubwa ambayo wamefanikiwa kuyakamata na kuwapa mafanikio ni vyombo vya habari na tasnia ya filamu. Watu hawa wamejipenyeza kumiliki na kuwa miongoni mwa watangazaji maarufu kabisa au media personalities katika vyombo vikubwa vya habari na hasa televisheni. Watu kama Richard Quest na Anderson Cooper wa CNN wamejitangaza hadharani kwamba ni mashoga. Mtangazaji makini kama AmanPour ni kampena mkubwa wa haki za mashoga na huwabana sana wanasiasa kwa hoja hizo. Kwa kuwa na watu wa aina hii kwenye vyombo vya habari, kundi la LGBT limefanikiwa sana kutangaza ajenda zao kwa uwazi na hata kulazimisha watu wengine wazitetee. Wameongoza vita kushambulia mtu, watu au taasisi yoyote inayoonesha kuwadharau au kutofautina na matendo yao. Na wakishakukomalia hawa basi huna wa kukuokoa na lazima itakula kwako mahali kama sio kukumaliza moja kwa moja.

Kwenye eneo la filamu ndio wamefanikiwa kupita maelezo. Kwa sasa ni ngumu sana kutazama filamu zinazotengenezwa Marekani au Ulaya ambazo hazijaingizwa mambo ya kishoga. Hata filamu iwe nzuri kiasi gani, ushoga utaingizwa tu kwa namna ambayo hujategemea. Ni kawaida kabisa kwamba mtu anapoangalia filamu, sio rahisi aache au azime kwa sababu kuna tukio moja au mawili ambayo hayapendi. Kwa kawaida watu hutizama kila kitu kwenye filamu ikiwa ni pamoja na matukio ya kuwasisimua kama ya ngono au kuona vifo. Kwa mijali hiyohiyo ushoga umeingizwa kijanja sana. Kwa wanaotazama filamu za magharibi ni wazi kwa sasa wameshazoea kuona mambo haya na hawashangai tena. Na kwa mtindo huu, LGBT community imefanikiwa kwani watu wengi duniani kwa sasa wanaona matendo ya ushoga kama mambo ya kawaida tu. Kitu kinachoshangaza zaidi ni kwamba ukifuatilia Maisha wa wacheza filamu kwenye nafasi hizi za kishoga, wanaume kwa wanawake, wengi wao ni watu wenye familia na heshima zao na sio mashoga. Ila wanapocheza ni kama walizaliwa hivyo. Sasa jiulize wanalipwa nini na kiasi gani kukubali unajisi huu? Kwa nini wanaondika filamu na madirekta wanapenyeza mambo haya kwenye kila filamu? Hata baadhi ya katuni na vitabu vya watoto, vimeanza kuingizwa mambo haya na hivyo wanakua wakiwa wanaona ushoga ni sehemu ya Maisha.

Nina mifano mingi ya kutoa lakini itoshe tu kusema tunaopigana nao hatuwajui vema wala uwezo wao. Hatuna uwezo wa kisiasa, kifedha wala kijeshi kupambana nao. Watu hawa wameshikilia roho za kila taasisi na serikali za kimagharibi na wanaziendesha nchi zao kwa ushoga wao kiajabu sana. Watanzania wengi na waafrika wengine tunadhani kwamba kila mzungu anapenda ushoga au anaona ni kawaida. Ukweli ni tofauti kabisa. Wako wazungu wengi tu wasiounga mkono ushoga kwa misingi ya kiimani na kimaadili. Wengi tu wanaona ni jambo najisi na lisilofaa. Ila hawana tena nafasi na uwezo wa kueleza hisia zao maana wanabanwa na sheria. Hata mahubiri makanisani wanaogopa kutamka wazi kwamba mambo hayo ni najisi. Kwa nini? LGBT imefanikiwa kujiwekea uzio mkubwa sana wa ulinzi wa kisheria. Imeshafanya jambo lolote linalogusa matendo yao kuwa nyeti na linapewa uzito wa ajabu sana kisheria na kisera; za taasisi au za nchi. Wanaopinga hawana namna zaidi ya kuvumilia na kunyamaza kimya. Uzuri wao tofauti na sisi, wamezoeshwa kuishi kwenye mazingira ya utii wa sheria na kuheshimu haki za wengine hata kama unatofautina nao ili mradi hugusi Maisha yao.

Walioanzisha vitu hivi wangejielemisha haya, wangetafakari zaidi iwapo kuna haja ya kufanya tunachokifanya na kujikuta tulipo sasa tukinyooshewa vidole na kila mtu. Tumegusa mboni ya jicho ya watu hawa na ndio mana utaona jambo hili lina uzito wa kipekee kuliko mambo mengine yote yanayohojiwa kwenye nchi yetu. Kibaya zaidi, ninahofia hata Mungu tunayedhani tunamtetea na kumwamwani kwa kutangaza vita vya ushoga wala hayuko na sisi maana hii sio staili yake ya kupambana na dhambi.

Ninashauri nini?

Wasiotaka kufikiria na wenye mawazo ya mkato wanaweza kudhani ninaunga mkono ushoga au ninamaanisha nchi yetu isipinge ushoga. Hii sio sahihi. Ninachosema ni kwamba vita hii bado tungeweza kupigana kwa akili bila kelele na tukashinda kama ambavyo tumepigana siku zote kwa misngi kwamba tamaduni zetu sio tu kwamba haziungi ukono huo ufedhuli bali hata kujadili kwa uwazi tunaepuka. Tungeweza kuendelea kuonesha misimamo yetu bila kufarakana na watu tusioweza kupambana nao. Kama mtu angetuuliza tunasimamia nini bado tungeweza kujibu kama Kikwete aliyejibu kwa kusema “Toba yarabi” au kama Uhuru Kenyata aliyabanwa akiwa Uingereza akajibu kwamba “jambo hili sio kipaumbele cha wakenya kwa sasa na hawajajitokeza kuonesha tunahitajika kulishughulikia. Tuna mambo ya msingi kama taifa kuhusu maendeleo na ustawi wetu ambayo ndio yanagusa maisha ya kila mkenya”.

Nchi za mashariki ya kati kama Dubai, Qatar, Saudi Arabia, Irani na nyingine nyingi zina sheria ngumu sana zinazokiuka kinachouitwa haki za binadamu. Wanapinga mambo mengi ikiwa ni pamoja na uhuru wa kuabudu, uhuru wa kujiunga na dini unayotaka na hakuna demokrasia ya kisiasa. Hata wazungu wakitaka kwenda huku (na wanakwenda kwa wingi sana), wanajua kabisa wanakwenda kwenye mazingira gani hivyo watajiandaa kuvaa madera/mabaibu na vilemba. Nchi hizi ndio washiriki wao wakuu wa biashara na wanafanya nao biashara za matrilioni. Wamewekeza kwao na wanawapa ufadhili vijana wao wakaosome kwa wingi huko magharibi. Pamoja na yote hayo, hichi hizi zina sheria ngumu za ushoga na mambo mengine yasiyokubalika katika jamii za kiislamu. Hata hivyo huwezi kuwasikia viongozi wao wakitoa matamko kwenye vyombo vya habari kupinga ushoga au kutoa ahadi na viapo vya kupambana nao. Kwa nini?

Jakaya Kikwete aliwahi kutuambia kwamba “akili za kuambiwa changanya na zako”. Siku za karibuni akiwa ameshataafu aliwahi kuwaambia wanazuoni wa pale UDSM kwamba “huna haja ya kurithi maadui wala ulazima wa kutengeneza wa kwako”.

China inaongoza duniani kuminya haki za binadamu. Ni nchi inayoendeshwa kwa mkono wa chuma na hawamvumilii mtu yoyote anayekwenda kinyume na misingi yao. Hakuna uhuru wa vyombo vya habari, hakuna demokrasia, wala hakuna uhuru wa kuabudu. Watu wananyongwa ovyo kwa makossa ya ajabu kabisa. Hata hivyo ndilo taifa linalofanya biashara na Marekani na Jumuiya ya Ulaya kuliko lingine lolote lile duniani. Bidhaa zao ndio zimejaa kwenye masoko ya magharibi. Je, umewahi kusikia viongozi wao wakipambana hadharani na mashoga au wakifanya ushoga vita ya kitaifa?

Kama taifa tujielekeze kwenye mambo ya msingi. Katika harakati za kuijenga nchi tunahitaji utulivu mkubwa na kushirikiana na yeyote tunayeweza kufaidi mchango wake katika harakati zetu. Tusipokua makini tutapoteza dira na kujikuta hata uwezo wa kufanya tunayotaka hatuna tena na badala yake hali yetu inakua mbaya kuliko tunayotaka kuibadilisha. Mifano ya aina hii ni mingi duniani na kama tunakata kujifunza tukawaulize wasudani, wazimbawe na wavenezuela. Mtu makini na mwenye malengo makubwa anajua kabisa kwamba sio kila vita inafaa kupigana na kuna mambo mengi ya kupuuzi humu duniani. Hakuna mtu anaweza kufuta ushoga na matendo yake duniani hata kuwe na sheria kiasi gani. Vita ya kweli kwenye eneo hili ni la sisi kusisitiza ujezi wa jamii yenye maadili mema na kusisitiza viongozi wetu wa dini kufundisha na kupinga maovu kwa Imani zao.

Tafakari na chukua hatua.
well said....kuna vita huwa havipigwani kwa kuropoka na kutumia nguvu ni kwa kutumia akili na busara yako tu
 
Pascal Mayalla umesoma makala hii ya kiuchunguzi?

Niongeze hoja inayoweza kujadiliwa:-

Kwa mujibu wa kitabu kitakatifu ni Lutu pekee ndiye alikuwa mkamilifu hata kustahili wokovu kutoka moto wa kiberiti pale Sodoma na gomora vilipochomwa. (rejea mjadala wa Lutu na malaika ".....wakionekana wawili, je utachoma pamoja nao? " malaika wakajibu wakasema hatujaona!)

Kwakuwa wote twajua Lutu alizongwa na wafiraji waliowakwa tamaa kana kwamba wakitaa Lutu awape wale wageni (hawakujua kama ni malaika) ili wafanye yao, Lutu katika kujipapatua kulinda heshima yake mbele ya malaika wa Mungu, akajitolea kuwapa hao "masela" Binti zake wawili ambao ni bikra" lakini "masela" wakasema "hao tunawajua" ikimaanisha "wako sealed kwa mbele Nyuma marinda hakuna!"

Hao mabinti waliokoka kupitia baba yao japo kwa jicho la wapigana vita ya ushoga wangeona hawakustahili kuuepuka moto wa kiberiti.

Inawezekana hatujui dhumuni la MUNGU kuuacha uovu ushamiri maana ufahamu wetu umefungwa kuzifahamu mahakama wala hukumu za Mungu.
 
Imeandikwa na Mwanazuoni mmoja

=====

Mtanzania mwenzangu,

Naomba unisome taratibu bila haraka na kwa akili iliyo tayari kujifunza.

Nimefuatilia kwa karibu hiki kinachoitwa vita dhidi ya ushoga na mwitikio wake nje na ndani ya nchi yetu. Nimetafakari na kuona nami nishiriki mjadala huu kwa kuongelea yale ambayo hadi sasa naona hayajaguswa kabisa. Ninafanya hivi kwa kuwa ninaona kuna makosa makubwa mawili kwenye vita hii.

Kosa la kwanza ni kujiingiza kwenye vita isiyo na maana wala tija na kufanya hivyo bila malengo au kama yapo basi ni malengo dhaifu. Kosa la pili, ni kuingia kwenye vita hii bila kuwa na ufahamu wa kutosha kujua tunapigana na nani hasa na tuna nguvu kiasi gani za kupigana naye. Kwa bahati mbaya sana, vita hii imeanzishwa na watu wachache kwa sababu wanazozijua wao na sisi (watanzania wengi) bila kufikiria vema tumebebeshwa na kudai ni vita yetu sote kama nchi. Haya ni makosa makubwa sana. Wahanga wakubwa wa mkumbo huu ni watu wenye dini (wakristo na waislamu) ambao mara zote wamekuwa wakidanyika na vitu vidogo sana kwa kuwa tu vinakubalika au kukataliwa na dini zao. Nitoe hoja zangu nikirejea makossa mawili niliyoyataja.

Kwanini ni vita isiyo na maana wala tija?

Kwa kuanzia, tukubaliane kwamba hakuna mtanzania au mtu mwenye akili timamu asiyetambua kwamba ushoga na matendo yafananayo na hayo ni mambo najisi na batuili kufanywa na binadamu. Hata wanaoufanya ushoga wanajua kabisa wanafanya mambo batili na najisi ila hawana jinsi ya kujichomoa humo kama ilivyo kwa majambazi, wezi, malaya, walezi na wachepukaji. Hawa wote wanajua kabisa kwamba wanayofanya ni maovu lakini haawachi. Mkristo yoyote lazima achuki ushoga maana ni dhambi mbele za Mungu kama vile anavyotegemewa kuchukia uongo, ulevi, uvutaji, uasherati, rushwa na mambo yanayofanana na hayo. Biblia inataja matendo ya kishoga kama dhambi ila haioneshi popote kwamba ni dhambi kubwa kuliko nyingine. Sina haja ya kunukuu maandiko lakini ni maeneo mengi tu Biblia inaorodhesha dhambi na kutuonesha kwamba zote ni machukizo mbele za Mungu.

Ila ni kawaida yetu sisi wanadamu kuyapa baadhi ya mambo uzito kuliko mengine hasa katika kukutafuta kujihesabia haki na kujiona ni wema kuliko wengine. Ndio mana mlevi anamwona mzinzi ni mwovu kuliko yeye na anashangaa mwingine akiwa jambazi; ndio mana anayechepuka anajiona yeye ni nafuu na msafi kuliko aliyejitangaza kuwa ni Malaya; ndio mana anayepokea rushwa kwa kalamu anajiona yeye ni salama kuliko trafiki anayepokea barabarani; na ndio mana kiongozi anayekandamiza haki za wengine na kuonea watu anajiona yeye ana haki kuliko anaowaita wavunja sheria. Ila ukweli ni kwamba ushoga ni dhambi na jambo la aibu na kulaaniwa kama ilivyo sawa na uasheraji, uzinzi, ukahaba, rushwa, uonevu, uongo, ufisadi, hila, kiburi, majivuno, na ukatili. Biblia inasema hawa wote eneo lao ni katika Ziwa liwakalo moto wa milele.

Kuna maswali kadhaa kila mtanzania anabidi kujiuliza:

Nini mantiki ya hii vita na tumedhamiria kufanikisha kitu gani? Tangu lini Tanzania imekaa juu ya kitu cha enzi na kuwa muhukumu wa dhambi kwa kupima zinazovumilika na zisizovumilika? Je, tumeshamaliza kuzuia dhambi zote na sasa tumebakiza ya ushoga tunayoiita vita? Kwani sheria ya kupinga ushoga na matendo yanayoendana na ushoga imeanzishwa lini? Ni leo, ni jana, ni juzi? Kwani dunia haikujua miaka yote kwamba tuna sheria inayopinga ushoga? Sasa inakuwaje hiyo vita inaanza sasa na kutujengea maadui? Je, kutoa Afrika Kusini, ni nchi nyingine ngapi za Afrika zinazokubali ushoga kisheria? Majirani zetu Kenya wanakubali ushoga? Je, na wao wanapigwa vita kama taifa kama sisi kwa kuwa hawakubali ushoga?

Ukijiuliza maswali haya, lazima utaruhusu akili yako ifanye kazi na kukusaidia kuelewa kwamba tumenzishiwa vita isiyo na maana, haina malengo, na hatujui tunapambanaje na tunapambana na nani. Ni bahati mbaya sana kama taifa tunabeba tu hoja za watu wengine na kuzifanya zetu kwa kuwa tunawaunga mkono, tuna maslahi nao au wanalolifanya linamgusa tunayemuona ni adui.

Hatujui tunapigana na nani na ana nguvu gani

Mtu yoyote akitazama tamko la bunge la EU dhidi ya yale wanayoona ni mambo yanayohitaji kurekebishwa nchini, atashangaa uzito uliowekwa kwenye swala la ushoga. Pamoja na kuwepo mambo mengine ambayo huenda ni ya msingi na yanahitaji mjadala, ushoga umeongelewa kwa uzito na umekuzwa kuliko uhalisia wake. Sasa ni rahisi sana mtu kuanza kuwashambulia watu hawa na kusema wanataka kutulazimisha ushoga kwa sababu hii au ile na kukimbilia kuwatukana. Ila kama ukijipa muda kujielimisha katika muktadha wa diplomasia za kimataifa na yanayoendelea duniani, utagundua mtizamo huo una shida na ni njia ya mkato ya kutazama mambo makubwa. Kwa nini nasema hayo?

Ukijishughulisha kufuatilia hii ajenda ya ushoga, utaelewa kwamba sio vita ndogo na rahisi kama wengi wanavyodhani. Hii sio vita ya kusema tu hili jambo ni baya, ni aibu, ni najisi au ni la kupingwa kwa nguvu zote. Ushoga na matendo yanayofanana na hayo yanashadidiwa na watu ambao siku hizi wanajiita jumuiya ya LGBT (Lesbians -wasagaji, Gays - wafiraji, Bisexual – watu wenye tabia za jinsia tofauti na maumbile). Katika nchi za magharibi, watu hawa kwakujua kutokukubalika kwa matendo yao katika jamii walijiona kama wanakandamizwa, wanatengwa na kuonekana najisi katika jamii yao kwa kuwa ni kundi dogo (minority group). Kwa kujua kuna nguvu katika umoja, badala ya kutafuta haki zao kila kikundi kivyake, wafanye hivyo wakiwa kama kundi moja lenye utambulisho. Kwenye nchi nyingi za magharibi hasa zile ambazo bado zina mabaki ya maadili, watu hawa wanafanya uchafu wao kivyao na kwenye maeneo yao. Wana makanisa yao, vilabu vyao vya kunywa, na mikusanyiko mingine kama hiyo. Wana umoja imara sana na hoja yoyote wanayoitetea wanaitetea wote kwa nguvu zote.

Kitu cha pili utakachojielimisha nacho ni kwamba watu wa kundi la LGBT sio wachache na sio wapya. Walikua wachache huko nyuma wakati sheria zilikua kinyume nao ila sasa wanajitokeza kwa wingi. Wamekuwepo kwenye nchi hizi kwa karnenyingi. Ndio mana nchi nyingi zilikua na sheria kali za kuwahukumu kifo au kifungo cha Maisha. Ila historia inaonesha kwamba watu wengi maarufu na waliopata mafanikio makubwa katika jamii kama wanasiasa, wanasayani/ wasomi, wasanii, wanamuziki, wanafalsafa, na hata viongozi wa dini walikua na vimelea vya ushofa ama kwa wazi wa kujificha. Sina muda ningekupa orodha ya watu wa zama hizo ambao habari zao zinaonesha walikua mashoga. Katika historia ya nchi za ulaya, kuna watu wengi walijiua walipoona ushoga wao umejulikana.

Kadiri ustaarabu wa magharibi ulivyoendelea na haki za watu hawa kuanza kulindwa na sheria, waligundua namna ya kusambaza ajenda zao na kulinda haki zao. Watu hawa walinza harakati za kuingiza haki na maslahi yao kwenye sheria, sera na taratibu mbalimbali za maisha. Wamehakikisha katiba na sheria za nchi zinatamka wazi ulinzi wao na haki ya matendo yao. Kule Marekani mafanikio makubwa kabisa waliyapata katika utawala wa Obama ambapo kwa mara ya kwanza mahakama kuu ya nchi hiyo ilitoa hukumu iliyotoa uhalali wa ndoa za jinsia moja na wahusika kupata haki zote sawa na ndoa za asili. Katika nchi ya Marekani jambo hili lilikua linakubaliwa na baadhi ya majimbo huku mengine yakipinga. Ila jambo likishapitishwa na federal court inafuta sheria za majimbo. Ushindi mwingine mkubwa ni kwa nchi kama ya Ireland ambayo asilimia kubwa ya raia wake ni wakatoliki ngangari lakini walipitisha sheria kupitia kura za maoni mwaka 2016 ya kukubaliana na ushoga tena kwa ushindi mkubwa.

Ukijiongeza zaidi, utagundua kwamba hawa jamaa wa LGBT hawajaishia hapo, bali wamehakikisha wamepenyeza “watu wao” kwenye nafasi nyeti za kisasa. Hadi sasa nchi kadhaa za ulaya zina viongozi wakuu ambao ni mashoga na wasagaji. Hali kadhalika kuna wabunge, magavana, na mawaziri wengi. Makanisa mengi huko magharabi sasa yanawakubali watu hawa sio tu kama waumini wa kawaida na hata kuwafungisha ndoa kiimani, bali wana viongozi wa dini ambao ni mashoga na wasagaji. Kanisa la Anglikana lililotawala kule Uingereza na baadhi ya matawi yake huko Marekani yanao watu wa aina hii. Hivyo utaona kundi hili sio tu limehakikisha kwamba linabadili mwelekeo wa sheria na sera za nchi kulinda haki zao bali hata kubadili misingi ya kiimani. Ajabu ni kwamba linfanikiwa. Jamii ya LGBT inatoa fedha kufadhili kampeni za kupitisha watu wao au mtu yoyote ambaye wanajua atatetea maslahi yao na ndio mana mtu kama Obama atabaki kuwa shujaa wao milele kwa kuhakikisha wanalindwa kisheria.

Ukipiga hatua zaidi, utagundua kundi hili lina watu wengi kwenye jumuiya ya wafanya biashara. Utashangaa kugundua kwamba matajiri wengi wakubwa duniani ambao ama ni wamiliki wa makampuni makubwa au ni viongozi wakubwa wa makampuni yenye umaarufu ama wao wenyewe ni wanachama wa LGBT wanaunga mkono mambo ya kishoga. Kwa minajili hii, watu hawa wamepenyeza ajenda zao na kuzisambaza kupitia biashara, biadhaa, michezo, na mambo mengine.

Maeneo mengine makubwa ambayo wamefanikiwa kuyakamata na kuwapa mafanikio ni vyombo vya habari na tasnia ya filamu. Watu hawa wamejipenyeza kumiliki na kuwa miongoni mwa watangazaji maarufu kabisa au media personalities katika vyombo vikubwa vya habari na hasa televisheni. Watu kama Richard Quest na Anderson Cooper wa CNN wamejitangaza hadharani kwamba ni mashoga. Mtangazaji makini kama AmanPour ni kampena mkubwa wa haki za mashoga na huwabana sana wanasiasa kwa hoja hizo. Kwa kuwa na watu wa aina hii kwenye vyombo vya habari, kundi la LGBT limefanikiwa sana kutangaza ajenda zao kwa uwazi na hata kulazimisha watu wengine wazitetee. Wameongoza vita kushambulia mtu, watu au taasisi yoyote inayoonesha kuwadharau au kutofautina na matendo yao. Na wakishakukomalia hawa basi huna wa kukuokoa na lazima itakula kwako mahali kama sio kukumaliza moja kwa moja.

Kwenye eneo la filamu ndio wamefanikiwa kupita maelezo. Kwa sasa ni ngumu sana kutazama filamu zinazotengenezwa Marekani au Ulaya ambazo hazijaingizwa mambo ya kishoga. Hata filamu iwe nzuri kiasi gani, ushoga utaingizwa tu kwa namna ambayo hujategemea. Ni kawaida kabisa kwamba mtu anapoangalia filamu, sio rahisi aache au azime kwa sababu kuna tukio moja au mawili ambayo hayapendi. Kwa kawaida watu hutizama kila kitu kwenye filamu ikiwa ni pamoja na matukio ya kuwasisimua kama ya ngono au kuona vifo. Kwa mijali hiyohiyo ushoga umeingizwa kijanja sana. Kwa wanaotazama filamu za magharibi ni wazi kwa sasa wameshazoea kuona mambo haya na hawashangai tena. Na kwa mtindo huu, LGBT community imefanikiwa kwani watu wengi duniani kwa sasa wanaona matendo ya ushoga kama mambo ya kawaida tu. Kitu kinachoshangaza zaidi ni kwamba ukifuatilia Maisha wa wacheza filamu kwenye nafasi hizi za kishoga, wanaume kwa wanawake, wengi wao ni watu wenye familia na heshima zao na sio mashoga. Ila wanapocheza ni kama walizaliwa hivyo. Sasa jiulize wanalipwa nini na kiasi gani kukubali unajisi huu? Kwa nini wanaondika filamu na madirekta wanapenyeza mambo haya kwenye kila filamu? Hata baadhi ya katuni na vitabu vya watoto, vimeanza kuingizwa mambo haya na hivyo wanakua wakiwa wanaona ushoga ni sehemu ya Maisha.

Nina mifano mingi ya kutoa lakini itoshe tu kusema tunaopigana nao hatuwajui vema wala uwezo wao. Hatuna uwezo wa kisiasa, kifedha wala kijeshi kupambana nao. Watu hawa wameshikilia roho za kila taasisi na serikali za kimagharibi na wanaziendesha nchi zao kwa ushoga wao kiajabu sana. Watanzania wengi na waafrika wengine tunadhani kwamba kila mzungu anapenda ushoga au anaona ni kawaida. Ukweli ni tofauti kabisa. Wako wazungu wengi tu wasiounga mkono ushoga kwa misingi ya kiimani na kimaadili. Wengi tu wanaona ni jambo najisi na lisilofaa. Ila hawana tena nafasi na uwezo wa kueleza hisia zao maana wanabanwa na sheria. Hata mahubiri makanisani wanaogopa kutamka wazi kwamba mambo hayo ni najisi. Kwa nini? LGBT imefanikiwa kujiwekea uzio mkubwa sana wa ulinzi wa kisheria. Imeshafanya jambo lolote linalogusa matendo yao kuwa nyeti na linapewa uzito wa ajabu sana kisheria na kisera; za taasisi au za nchi. Wanaopinga hawana namna zaidi ya kuvumilia na kunyamaza kimya. Uzuri wao tofauti na sisi, wamezoeshwa kuishi kwenye mazingira ya utii wa sheria na kuheshimu haki za wengine hata kama unatofautina nao ili mradi hugusi Maisha yao.

Walioanzisha vitu hivi wangejielemisha haya, wangetafakari zaidi iwapo kuna haja ya kufanya tunachokifanya na kujikuta tulipo sasa tukinyooshewa vidole na kila mtu. Tumegusa mboni ya jicho ya watu hawa na ndio mana utaona jambo hili lina uzito wa kipekee kuliko mambo mengine yote yanayohojiwa kwenye nchi yetu. Kibaya zaidi, ninahofia hata Mungu tunayedhani tunamtetea na kumwamwani kwa kutangaza vita vya ushoga wala hayuko na sisi maana hii sio staili yake ya kupambana na dhambi.

Ninashauri nini?

Wasiotaka kufikiria na wenye mawazo ya mkato wanaweza kudhani ninaunga mkono ushoga au ninamaanisha nchi yetu isipinge ushoga. Hii sio sahihi. Ninachosema ni kwamba vita hii bado tungeweza kupigana kwa akili bila kelele na tukashinda kama ambavyo tumepigana siku zote kwa misngi kwamba tamaduni zetu sio tu kwamba haziungi ukono huo ufedhuli bali hata kujadili kwa uwazi tunaepuka. Tungeweza kuendelea kuonesha misimamo yetu bila kufarakana na watu tusioweza kupambana nao. Kama mtu angetuuliza tunasimamia nini bado tungeweza kujibu kama Kikwete aliyejibu kwa kusema “Toba yarabi” au kama Uhuru Kenyata aliyabanwa akiwa Uingereza akajibu kwamba “jambo hili sio kipaumbele cha wakenya kwa sasa na hawajajitokeza kuonesha tunahitajika kulishughulikia. Tuna mambo ya msingi kama taifa kuhusu maendeleo na ustawi wetu ambayo ndio yanagusa maisha ya kila mkenya”.

Nchi za mashariki ya kati kama Dubai, Qatar, Saudi Arabia, Irani na nyingine nyingi zina sheria ngumu sana zinazokiuka kinachouitwa haki za binadamu. Wanapinga mambo mengi ikiwa ni pamoja na uhuru wa kuabudu, uhuru wa kujiunga na dini unayotaka na hakuna demokrasia ya kisiasa. Hata wazungu wakitaka kwenda huku (na wanakwenda kwa wingi sana), wanajua kabisa wanakwenda kwenye mazingira gani hivyo watajiandaa kuvaa madera/mabaibu na vilemba. Nchi hizi ndio washiriki wao wakuu wa biashara na wanafanya nao biashara za matrilioni. Wamewekeza kwao na wanawapa ufadhili vijana wao wakaosome kwa wingi huko magharibi. Pamoja na yote hayo, hichi hizi zina sheria ngumu za ushoga na mambo mengine yasiyokubalika katika jamii za kiislamu. Hata hivyo huwezi kuwasikia viongozi wao wakitoa matamko kwenye vyombo vya habari kupinga ushoga au kutoa ahadi na viapo vya kupambana nao. Kwa nini?

Jakaya Kikwete aliwahi kutuambia kwamba “akili za kuambiwa changanya na zako”. Siku za karibuni akiwa ameshataafu aliwahi kuwaambia wanazuoni wa pale UDSM kwamba “huna haja ya kurithi maadui wala ulazima wa kutengeneza wa kwako”.

China inaongoza duniani kuminya haki za binadamu. Ni nchi inayoendeshwa kwa mkono wa chuma na hawamvumilii mtu yoyote anayekwenda kinyume na misingi yao. Hakuna uhuru wa vyombo vya habari, hakuna demokrasia, wala hakuna uhuru wa kuabudu. Watu wananyongwa ovyo kwa makossa ya ajabu kabisa. Hata hivyo ndilo taifa linalofanya biashara na Marekani na Jumuiya ya Ulaya kuliko lingine lolote lile duniani. Bidhaa zao ndio zimejaa kwenye masoko ya magharibi. Je, umewahi kusikia viongozi wao wakipambana hadharani na mashoga au wakifanya ushoga vita ya kitaifa?

Kama taifa tujielekeze kwenye mambo ya msingi. Katika harakati za kuijenga nchi tunahitaji utulivu mkubwa na kushirikiana na yeyote tunayeweza kufaidi mchango wake katika harakati zetu. Tusipokua makini tutapoteza dira na kujikuta hata uwezo wa kufanya tunayotaka hatuna tena na badala yake hali yetu inakua mbaya kuliko tunayotaka kuibadilisha. Mifano ya aina hii ni mingi duniani na kama tunakata kujifunza tukawaulize wasudani, wazimbawe na wavenezuela. Mtu makini na mwenye malengo makubwa anajua kabisa kwamba sio kila vita inafaa kupigana na kuna mambo mengi ya kupuuzi humu duniani. Hakuna mtu anaweza kufuta ushoga na matendo yake duniani hata kuwe na sheria kiasi gani. Vita ya kweli kwenye eneo hili ni la sisi kusisitiza ujezi wa jamii yenye maadili mema na kusisitiza viongozi wetu wa dini kufundisha na kupinga maovu kwa Imani zao.

Tafakari na chukua hatua.
Jinsi ya kutatua matatizo matatu ya Mwl. Nyerere (Ujinga, Umasikini na Maradhi) - JamiiForums
 
Ni somo nzuri sana, hakuna mtu mweye akili anayependa kusikia neno shoga, lkn ni kweli kuwa mambo hayo yalikwepo ktk baadhi ya jamii zetu, na zilikuwa zinapigwa vita kisirisiri bila kujitangaza maana sio maadili yetu. Sasa hapo tulipotangazia ulimwengu ndo tulipokosea. Kwa hiyo wakati mwingine tujiridhishe kabla hujachukua uamuzi ili kuepuka maswali yasiyoyalazima
 
Dah mkuu umeandika bango kubwa.

Ila vyovyote iwavyo,bado ushoga haliwezi kuwa jambo jepesi la kuachwa tu,lazima jamii ijjayo ijue tulihangaika kuzuia,kulaani.
"mkorinto, KAMA MLIACHA DINI ZENU MKAWA WAKRISTO (RC, ANGLIKANA, KKK, AIC, BORN AGAIN, MWINGIRA , SDA NK ) NA WAISALAM (BAKWATA, BALKUTA, BARAZA KUU, PONDA NK) SIYO MBALI SANA HILI LINALOSEMWA LITAONEKANA LA KAWAIDA TU
 
Mimi maoni yangu nikiungwa mkono na sayansi tunashida ya tafasri (definition) na jina (noun) na tendo (verb)
SHOGA - ni maumbile ni kazi ya mwenyezi mungu
USENGE (UFIRAUNI- FIRA)- NI KUFANYA TENDO LA NDOA KINYUME CHA MAUMBILE BAINA YA MWANAUME NA MWANAUME AU KWA MWANAUME NA MWANAMKE- HILI NDILO TATIZO LETU

MTU YEYOTE ANAWEZA KUWA MSENGE
SHOGA ANAWEZA KUWA MSENGE
ASIYE SHOGA PIA ANAWEZA KUWA MSENGE
 
Imeandikwa na Mwanazuoni mmoja

=====

Mtanzania mwenzangu,

Naomba unisome taratibu bila haraka na kwa akili iliyo tayari kujifunza.

Nimefuatilia kwa karibu hiki kinachoitwa vita dhidi ya ushoga na mwitikio wake nje na ndani ya nchi yetu. Nimetafakari na kuona nami nishiriki mjadala huu kwa kuongelea yale ambayo hadi sasa naona hayajaguswa kabisa. Ninafanya hivi kwa kuwa ninaona kuna makosa makubwa mawili kwenye vita hii.

Kosa la kwanza ni kujiingiza kwenye vita isiyo na maana wala tija na kufanya hivyo bila malengo au kama yapo basi ni malengo dhaifu. Kosa la pili, ni kuingia kwenye vita hii bila kuwa na ufahamu wa kutosha kujua tunapigana na nani hasa na tuna nguvu kiasi gani za kupigana naye. Kwa bahati mbaya sana, vita hii imeanzishwa na watu wachache kwa sababu wanazozijua wao na sisi (watanzania wengi) bila kufikiria vema tumebebeshwa na kudai ni vita yetu sote kama nchi. Haya ni makosa makubwa sana. Wahanga wakubwa wa mkumbo huu ni watu wenye dini (wakristo na waislamu) ambao mara zote wamekuwa wakidanyika na vitu vidogo sana kwa kuwa tu vinakubalika au kukataliwa na dini zao. Nitoe hoja zangu nikirejea makossa mawili niliyoyataja.

Kwanini ni vita isiyo na maana wala tija?

Kwa kuanzia, tukubaliane kwamba hakuna mtanzania au mtu mwenye akili timamu asiyetambua kwamba ushoga na matendo yafananayo na hayo ni mambo najisi na batuili kufanywa na binadamu. Hata wanaoufanya ushoga wanajua kabisa wanafanya mambo batili na najisi ila hawana jinsi ya kujichomoa humo kama ilivyo kwa majambazi, wezi, malaya, walezi na wachepukaji. Hawa wote wanajua kabisa kwamba wanayofanya ni maovu lakini haawachi. Mkristo yoyote lazima achuki ushoga maana ni dhambi mbele za Mungu kama vile anavyotegemewa kuchukia uongo, ulevi, uvutaji, uasherati, rushwa na mambo yanayofanana na hayo. Biblia inataja matendo ya kishoga kama dhambi ila haioneshi popote kwamba ni dhambi kubwa kuliko nyingine. Sina haja ya kunukuu maandiko lakini ni maeneo mengi tu Biblia inaorodhesha dhambi na kutuonesha kwamba zote ni machukizo mbele za Mungu.

Ila ni kawaida yetu sisi wanadamu kuyapa baadhi ya mambo uzito kuliko mengine hasa katika kukutafuta kujihesabia haki na kujiona ni wema kuliko wengine. Ndio mana mlevi anamwona mzinzi ni mwovu kuliko yeye na anashangaa mwingine akiwa jambazi; ndio mana anayechepuka anajiona yeye ni nafuu na msafi kuliko aliyejitangaza kuwa ni Malaya; ndio mana anayepokea rushwa kwa kalamu anajiona yeye ni salama kuliko trafiki anayepokea barabarani; na ndio mana kiongozi anayekandamiza haki za wengine na kuonea watu anajiona yeye ana haki kuliko anaowaita wavunja sheria. Ila ukweli ni kwamba ushoga ni dhambi na jambo la aibu na kulaaniwa kama ilivyo sawa na uasheraji, uzinzi, ukahaba, rushwa, uonevu, uongo, ufisadi, hila, kiburi, majivuno, na ukatili. Biblia inasema hawa wote eneo lao ni katika Ziwa liwakalo moto wa milele.

Kuna maswali kadhaa kila mtanzania anabidi kujiuliza:

Nini mantiki ya hii vita na tumedhamiria kufanikisha kitu gani? Tangu lini Tanzania imekaa juu ya kitu cha enzi na kuwa muhukumu wa dhambi kwa kupima zinazovumilika na zisizovumilika? Je, tumeshamaliza kuzuia dhambi zote na sasa tumebakiza ya ushoga tunayoiita vita? Kwani sheria ya kupinga ushoga na matendo yanayoendana na ushoga imeanzishwa lini? Ni leo, ni jana, ni juzi? Kwani dunia haikujua miaka yote kwamba tuna sheria inayopinga ushoga? Sasa inakuwaje hiyo vita inaanza sasa na kutujengea maadui? Je, kutoa Afrika Kusini, ni nchi nyingine ngapi za Afrika zinazokubali ushoga kisheria? Majirani zetu Kenya wanakubali ushoga? Je, na wao wanapigwa vita kama taifa kama sisi kwa kuwa hawakubali ushoga?

Ukijiuliza maswali haya, lazima utaruhusu akili yako ifanye kazi na kukusaidia kuelewa kwamba tumenzishiwa vita isiyo na maana, haina malengo, na hatujui tunapambanaje na tunapambana na nani. Ni bahati mbaya sana kama taifa tunabeba tu hoja za watu wengine na kuzifanya zetu kwa kuwa tunawaunga mkono, tuna maslahi nao au wanalolifanya linamgusa tunayemuona ni adui.

Hatujui tunapigana na nani na ana nguvu gani

Mtu yoyote akitazama tamko la bunge la EU dhidi ya yale wanayoona ni mambo yanayohitaji kurekebishwa nchini, atashangaa uzito uliowekwa kwenye swala la ushoga. Pamoja na kuwepo mambo mengine ambayo huenda ni ya msingi na yanahitaji mjadala, ushoga umeongelewa kwa uzito na umekuzwa kuliko uhalisia wake. Sasa ni rahisi sana mtu kuanza kuwashambulia watu hawa na kusema wanataka kutulazimisha ushoga kwa sababu hii au ile na kukimbilia kuwatukana. Ila kama ukijipa muda kujielimisha katika muktadha wa diplomasia za kimataifa na yanayoendelea duniani, utagundua mtizamo huo una shida na ni njia ya mkato ya kutazama mambo makubwa. Kwa nini nasema hayo?

Ukijishughulisha kufuatilia hii ajenda ya ushoga, utaelewa kwamba sio vita ndogo na rahisi kama wengi wanavyodhani. Hii sio vita ya kusema tu hili jambo ni baya, ni aibu, ni najisi au ni la kupingwa kwa nguvu zote. Ushoga na matendo yanayofanana na hayo yanashadidiwa na watu ambao siku hizi wanajiita jumuiya ya LGBT (Lesbians -wasagaji, Gays - wafiraji, Bisexual – watu wenye tabia za jinsia tofauti na maumbile). Katika nchi za magharibi, watu hawa kwakujua kutokukubalika kwa matendo yao katika jamii walijiona kama wanakandamizwa, wanatengwa na kuonekana najisi katika jamii yao kwa kuwa ni kundi dogo (minority group). Kwa kujua kuna nguvu katika umoja, badala ya kutafuta haki zao kila kikundi kivyake, wafanye hivyo wakiwa kama kundi moja lenye utambulisho. Kwenye nchi nyingi za magharibi hasa zile ambazo bado zina mabaki ya maadili, watu hawa wanafanya uchafu wao kivyao na kwenye maeneo yao. Wana makanisa yao, vilabu vyao vya kunywa, na mikusanyiko mingine kama hiyo. Wana umoja imara sana na hoja yoyote wanayoitetea wanaitetea wote kwa nguvu zote.

Kitu cha pili utakachojielimisha nacho ni kwamba watu wa kundi la LGBT sio wachache na sio wapya. Walikua wachache huko nyuma wakati sheria zilikua kinyume nao ila sasa wanajitokeza kwa wingi. Wamekuwepo kwenye nchi hizi kwa karnenyingi. Ndio mana nchi nyingi zilikua na sheria kali za kuwahukumu kifo au kifungo cha Maisha. Ila historia inaonesha kwamba watu wengi maarufu na waliopata mafanikio makubwa katika jamii kama wanasiasa, wanasayani/ wasomi, wasanii, wanamuziki, wanafalsafa, na hata viongozi wa dini walikua na vimelea vya ushofa ama kwa wazi wa kujificha. Sina muda ningekupa orodha ya watu wa zama hizo ambao habari zao zinaonesha walikua mashoga. Katika historia ya nchi za ulaya, kuna watu wengi walijiua walipoona ushoga wao umejulikana.

Kadiri ustaarabu wa magharibi ulivyoendelea na haki za watu hawa kuanza kulindwa na sheria, waligundua namna ya kusambaza ajenda zao na kulinda haki zao. Watu hawa walinza harakati za kuingiza haki na maslahi yao kwenye sheria, sera na taratibu mbalimbali za maisha. Wamehakikisha katiba na sheria za nchi zinatamka wazi ulinzi wao na haki ya matendo yao. Kule Marekani mafanikio makubwa kabisa waliyapata katika utawala wa Obama ambapo kwa mara ya kwanza mahakama kuu ya nchi hiyo ilitoa hukumu iliyotoa uhalali wa ndoa za jinsia moja na wahusika kupata haki zote sawa na ndoa za asili. Katika nchi ya Marekani jambo hili lilikua linakubaliwa na baadhi ya majimbo huku mengine yakipinga. Ila jambo likishapitishwa na federal court inafuta sheria za majimbo. Ushindi mwingine mkubwa ni kwa nchi kama ya Ireland ambayo asilimia kubwa ya raia wake ni wakatoliki ngangari lakini walipitisha sheria kupitia kura za maoni mwaka 2016 ya kukubaliana na ushoga tena kwa ushindi mkubwa.

Ukijiongeza zaidi, utagundua kwamba hawa jamaa wa LGBT hawajaishia hapo, bali wamehakikisha wamepenyeza “watu wao” kwenye nafasi nyeti za kisasa. Hadi sasa nchi kadhaa za ulaya zina viongozi wakuu ambao ni mashoga na wasagaji. Hali kadhalika kuna wabunge, magavana, na mawaziri wengi. Makanisa mengi huko magharabi sasa yanawakubali watu hawa sio tu kama waumini wa kawaida na hata kuwafungisha ndoa kiimani, bali wana viongozi wa dini ambao ni mashoga na wasagaji. Kanisa la Anglikana lililotawala kule Uingereza na baadhi ya matawi yake huko Marekani yanao watu wa aina hii. Hivyo utaona kundi hili sio tu limehakikisha kwamba linabadili mwelekeo wa sheria na sera za nchi kulinda haki zao bali hata kubadili misingi ya kiimani. Ajabu ni kwamba linfanikiwa. Jamii ya LGBT inatoa fedha kufadhili kampeni za kupitisha watu wao au mtu yoyote ambaye wanajua atatetea maslahi yao na ndio mana mtu kama Obama atabaki kuwa shujaa wao milele kwa kuhakikisha wanalindwa kisheria.

Ukipiga hatua zaidi, utagundua kundi hili lina watu wengi kwenye jumuiya ya wafanya biashara. Utashangaa kugundua kwamba matajiri wengi wakubwa duniani ambao ama ni wamiliki wa makampuni makubwa au ni viongozi wakubwa wa makampuni yenye umaarufu ama wao wenyewe ni wanachama wa LGBT wanaunga mkono mambo ya kishoga. Kwa minajili hii, watu hawa wamepenyeza ajenda zao na kuzisambaza kupitia biashara, biadhaa, michezo, na mambo mengine.

Maeneo mengine makubwa ambayo wamefanikiwa kuyakamata na kuwapa mafanikio ni vyombo vya habari na tasnia ya filamu. Watu hawa wamejipenyeza kumiliki na kuwa miongoni mwa watangazaji maarufu kabisa au media personalities katika vyombo vikubwa vya habari na hasa televisheni. Watu kama Richard Quest na Anderson Cooper wa CNN wamejitangaza hadharani kwamba ni mashoga. Mtangazaji makini kama AmanPour ni kampena mkubwa wa haki za mashoga na huwabana sana wanasiasa kwa hoja hizo. Kwa kuwa na watu wa aina hii kwenye vyombo vya habari, kundi la LGBT limefanikiwa sana kutangaza ajenda zao kwa uwazi na hata kulazimisha watu wengine wazitetee. Wameongoza vita kushambulia mtu, watu au taasisi yoyote inayoonesha kuwadharau au kutofautina na matendo yao. Na wakishakukomalia hawa basi huna wa kukuokoa na lazima itakula kwako mahali kama sio kukumaliza moja kwa moja.

Kwenye eneo la filamu ndio wamefanikiwa kupita maelezo. Kwa sasa ni ngumu sana kutazama filamu zinazotengenezwa Marekani au Ulaya ambazo hazijaingizwa mambo ya kishoga. Hata filamu iwe nzuri kiasi gani, ushoga utaingizwa tu kwa namna ambayo hujategemea. Ni kawaida kabisa kwamba mtu anapoangalia filamu, sio rahisi aache au azime kwa sababu kuna tukio moja au mawili ambayo hayapendi. Kwa kawaida watu hutizama kila kitu kwenye filamu ikiwa ni pamoja na matukio ya kuwasisimua kama ya ngono au kuona vifo. Kwa mijali hiyohiyo ushoga umeingizwa kijanja sana. Kwa wanaotazama filamu za magharibi ni wazi kwa sasa wameshazoea kuona mambo haya na hawashangai tena. Na kwa mtindo huu, LGBT community imefanikiwa kwani watu wengi duniani kwa sasa wanaona matendo ya ushoga kama mambo ya kawaida tu. Kitu kinachoshangaza zaidi ni kwamba ukifuatilia Maisha wa wacheza filamu kwenye nafasi hizi za kishoga, wanaume kwa wanawake, wengi wao ni watu wenye familia na heshima zao na sio mashoga. Ila wanapocheza ni kama walizaliwa hivyo. Sasa jiulize wanalipwa nini na kiasi gani kukubali unajisi huu? Kwa nini wanaondika filamu na madirekta wanapenyeza mambo haya kwenye kila filamu? Hata baadhi ya katuni na vitabu vya watoto, vimeanza kuingizwa mambo haya na hivyo wanakua wakiwa wanaona ushoga ni sehemu ya Maisha.

Nina mifano mingi ya kutoa lakini itoshe tu kusema tunaopigana nao hatuwajui vema wala uwezo wao. Hatuna uwezo wa kisiasa, kifedha wala kijeshi kupambana nao. Watu hawa wameshikilia roho za kila taasisi na serikali za kimagharibi na wanaziendesha nchi zao kwa ushoga wao kiajabu sana. Watanzania wengi na waafrika wengine tunadhani kwamba kila mzungu anapenda ushoga au anaona ni kawaida. Ukweli ni tofauti kabisa. Wako wazungu wengi tu wasiounga mkono ushoga kwa misingi ya kiimani na kimaadili. Wengi tu wanaona ni jambo najisi na lisilofaa. Ila hawana tena nafasi na uwezo wa kueleza hisia zao maana wanabanwa na sheria. Hata mahubiri makanisani wanaogopa kutamka wazi kwamba mambo hayo ni najisi. Kwa nini? LGBT imefanikiwa kujiwekea uzio mkubwa sana wa ulinzi wa kisheria. Imeshafanya jambo lolote linalogusa matendo yao kuwa nyeti na linapewa uzito wa ajabu sana kisheria na kisera; za taasisi au za nchi. Wanaopinga hawana namna zaidi ya kuvumilia na kunyamaza kimya. Uzuri wao tofauti na sisi, wamezoeshwa kuishi kwenye mazingira ya utii wa sheria na kuheshimu haki za wengine hata kama unatofautina nao ili mradi hugusi Maisha yao.

Walioanzisha vitu hivi wangejielemisha haya, wangetafakari zaidi iwapo kuna haja ya kufanya tunachokifanya na kujikuta tulipo sasa tukinyooshewa vidole na kila mtu. Tumegusa mboni ya jicho ya watu hawa na ndio mana utaona jambo hili lina uzito wa kipekee kuliko mambo mengine yote yanayohojiwa kwenye nchi yetu. Kibaya zaidi, ninahofia hata Mungu tunayedhani tunamtetea na kumwamwani kwa kutangaza vita vya ushoga wala hayuko na sisi maana hii sio staili yake ya kupambana na dhambi.

Ninashauri nini?

Wasiotaka kufikiria na wenye mawazo ya mkato wanaweza kudhani ninaunga mkono ushoga au ninamaanisha nchi yetu isipinge ushoga. Hii sio sahihi. Ninachosema ni kwamba vita hii bado tungeweza kupigana kwa akili bila kelele na tukashinda kama ambavyo tumepigana siku zote kwa misngi kwamba tamaduni zetu sio tu kwamba haziungi ukono huo ufedhuli bali hata kujadili kwa uwazi tunaepuka. Tungeweza kuendelea kuonesha misimamo yetu bila kufarakana na watu tusioweza kupambana nao. Kama mtu angetuuliza tunasimamia nini bado tungeweza kujibu kama Kikwete aliyejibu kwa kusema “Toba yarabi” au kama Uhuru Kenyata aliyabanwa akiwa Uingereza akajibu kwamba “jambo hili sio kipaumbele cha wakenya kwa sasa na hawajajitokeza kuonesha tunahitajika kulishughulikia. Tuna mambo ya msingi kama taifa kuhusu maendeleo na ustawi wetu ambayo ndio yanagusa maisha ya kila mkenya”.

Nchi za mashariki ya kati kama Dubai, Qatar, Saudi Arabia, Irani na nyingine nyingi zina sheria ngumu sana zinazokiuka kinachouitwa haki za binadamu. Wanapinga mambo mengi ikiwa ni pamoja na uhuru wa kuabudu, uhuru wa kujiunga na dini unayotaka na hakuna demokrasia ya kisiasa. Hata wazungu wakitaka kwenda huku (na wanakwenda kwa wingi sana), wanajua kabisa wanakwenda kwenye mazingira gani hivyo watajiandaa kuvaa madera/mabaibu na vilemba. Nchi hizi ndio washiriki wao wakuu wa biashara na wanafanya nao biashara za matrilioni. Wamewekeza kwao na wanawapa ufadhili vijana wao wakaosome kwa wingi huko magharibi. Pamoja na yote hayo, hichi hizi zina sheria ngumu za ushoga na mambo mengine yasiyokubalika katika jamii za kiislamu. Hata hivyo huwezi kuwasikia viongozi wao wakitoa matamko kwenye vyombo vya habari kupinga ushoga au kutoa ahadi na viapo vya kupambana nao. Kwa nini?

Jakaya Kikwete aliwahi kutuambia kwamba “akili za kuambiwa changanya na zako”. Siku za karibuni akiwa ameshataafu aliwahi kuwaambia wanazuoni wa pale UDSM kwamba “huna haja ya kurithi maadui wala ulazima wa kutengeneza wa kwako”.

China inaongoza duniani kuminya haki za binadamu. Ni nchi inayoendeshwa kwa mkono wa chuma na hawamvumilii mtu yoyote anayekwenda kinyume na misingi yao. Hakuna uhuru wa vyombo vya habari, hakuna demokrasia, wala hakuna uhuru wa kuabudu. Watu wananyongwa ovyo kwa makossa ya ajabu kabisa. Hata hivyo ndilo taifa linalofanya biashara na Marekani na Jumuiya ya Ulaya kuliko lingine lolote lile duniani. Bidhaa zao ndio zimejaa kwenye masoko ya magharibi. Je, umewahi kusikia viongozi wao wakipambana hadharani na mashoga au wakifanya ushoga vita ya kitaifa?

Kama taifa tujielekeze kwenye mambo ya msingi. Katika harakati za kuijenga nchi tunahitaji utulivu mkubwa na kushirikiana na yeyote tunayeweza kufaidi mchango wake katika harakati zetu. Tusipokua makini tutapoteza dira na kujikuta hata uwezo wa kufanya tunayotaka hatuna tena na badala yake hali yetu inakua mbaya kuliko tunayotaka kuibadilisha. Mifano ya aina hii ni mingi duniani na kama tunakata kujifunza tukawaulize wasudani, wazimbawe na wavenezuela. Mtu makini na mwenye malengo makubwa anajua kabisa kwamba sio kila vita inafaa kupigana na kuna mambo mengi ya kupuuzi humu duniani. Hakuna mtu anaweza kufuta ushoga na matendo yake duniani hata kuwe na sheria kiasi gani. Vita ya kweli kwenye eneo hili ni la sisi kusisitiza ujezi wa jamii yenye maadili mema na kusisitiza viongozi wetu wa dini kufundisha na kupinga maovu kwa Imani zao.

Tafakari na chukua hatua.
Kwani we unatakaje labda mzee baba?
 
Unadhani mashoga huzalishwa kwa wapagani tu?! Husikii mapadre ndio vinara wakulawiti, hawa walimu wa madrasa nao unasikia mara kwa mara wananaswa.
Kuzuia haiwezekani tumeshakuwa nao tayari, tukiwaua hapo ndio tutakua tunaviolet human rights, Na hizi tabia ni kama wizi tu, hata kuwe na gereza kila mtaa wezi hawataisha. Tabia hizi chafu zipo tangu mwanzo wa maisha haya, hata wazungu wasipowatetea mashoga watakuwepo tu. Nadhani ni rahisi kuwatokomeza kwa kuwaua, ingawa sipendekezi iwe solution ya hili tatizo.
 
Excellent mwandishi.

Uandishi wako ni wa kama Tundu Lissu ama gwiji Nguruv3 na akina JokaKuu, Mag3, Mchambuzi nk

Huchoki kusoma andiko kama hili lililo katika mtiririko mzuri kabisa

Zaidi ya uandishi, na somo lako limeeleweka vyema kabisa.

Wapo wachache wamesha komenti kwa kukulaumu na kudhani kuwa unatetea ushoga

Hawa ni aidha hajasoma mwanzo mwisho na kuelewa ama wamesoma lakini bahati mbaya ndiyo wale "zero brain" ambao ukiwa mwalimu hata uwachukue kuwapa tuition ukiwa unalala nao, uwafundishe kamwe hawawezi kuelewa chochote!!

Wao ktk article hii yote, ili mradi wameona neno "ushoga" tu iwe mwanzo ama katikati ya sentensi, basi judgement yao imekuwa.... huyu anatetea ushoga!!

Usikute hawa ndio viongozi wetu serikalini. Tutafika kwa hali hii??
Hapo sasa! Na bahati mbaya kwetu viongozi wetu waliowengi hawajishughulishi kujua dunia inakwendaje sasa hivi na vitu gani vinaishikilia

Tangu enzi za agano la kale tunausoma ushoga kwa kina Rutu huko, leo hii mtu mmoja aje aumalize kwa kutumia redio na magazeti!!! Kweli kabisa kweli!?! Aaaah jamani ni vizuri tuache mizaha sehemu zinazotuhitaji kuwa serious!
 
na wewe shoga nin
rasta_brighton,
AMRI KUMI ZA MUNGU​




I. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
II. Usijifanyie sanamu ya kuchonga.
III. Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako.
IV. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
V. Waheshimu baba yako na mama yako.
VI. Usiue.
VII. Usizini
VIII. Usiibe.

IX. Usimshuhudie jirani yako uongo.
X. Usitamani…cho chote alicho nacho jirani yako.
KATI YA HIZO KUMI NIONYESHE USHONGA IKO WAPI? AIDHA WEWE UMEFANYA ZOTE- USAFI WAKO MBELE YA MUNGU UKO WAPI? HALAFU UNATUKANA WENZAKO! KUTUKANA WENZAKO KWAKO NDIYO NJIA SAHIHI YA KUTUMIA UHURU WA KUTOA MAONI NA KUJIELEZA. JITAFAKARI
 
Imeandikwa na Mwanazuoni mmoja

=====

Mtanzania mwenzangu,

Naomba unisome taratibu bila haraka na kwa akili iliyo tayari kujifunza.

Nimefuatilia kwa karibu hiki kinachoitwa vita dhidi ya ushoga na mwitikio wake nje na ndani ya nchi yetu. Nimetafakari na kuona nami nishiriki mjadala huu kwa kuongelea yale ambayo hadi sasa naona hayajaguswa kabisa. Ninafanya hivi kwa kuwa ninaona kuna makosa makubwa mawili kwenye vita hii.

Kosa la kwanza ni kujiingiza kwenye vita isiyo na maana wala tija na kufanya hivyo bila malengo au kama yapo basi ni malengo dhaifu. Kosa la pili, ni kuingia kwenye vita hii bila kuwa na ufahamu wa kutosha kujua tunapigana na nani hasa na tuna nguvu kiasi gani za kupigana naye. Kwa bahati mbaya sana, vita hii imeanzishwa na watu wachache kwa sababu wanazozijua wao na sisi (watanzania wengi) bila kufikiria vema tumebebeshwa na kudai ni vita yetu sote kama nchi. Haya ni makosa makubwa sana. Wahanga wakubwa wa mkumbo huu ni watu wenye dini (wakristo na waislamu) ambao mara zote wamekuwa wakidanyika na vitu vidogo sana kwa kuwa tu vinakubalika au kukataliwa na dini zao. Nitoe hoja zangu nikirejea makossa mawili niliyoyataja.

Kwanini ni vita isiyo na maana wala tija?

Kwa kuanzia, tukubaliane kwamba hakuna mtanzania au mtu mwenye akili timamu asiyetambua kwamba ushoga na matendo yafananayo na hayo ni mambo najisi na batuili kufanywa na binadamu. Hata wanaoufanya ushoga wanajua kabisa wanafanya mambo batili na najisi ila hawana jinsi ya kujichomoa humo kama ilivyo kwa majambazi, wezi, malaya, walezi na wachepukaji. Hawa wote wanajua kabisa kwamba wanayofanya ni maovu lakini haawachi. Mkristo yoyote lazima achuki ushoga maana ni dhambi mbele za Mungu kama vile anavyotegemewa kuchukia uongo, ulevi, uvutaji, uasherati, rushwa na mambo yanayofanana na hayo. Biblia inataja matendo ya kishoga kama dhambi ila haioneshi popote kwamba ni dhambi kubwa kuliko nyingine. Sina haja ya kunukuu maandiko lakini ni maeneo mengi tu Biblia inaorodhesha dhambi na kutuonesha kwamba zote ni machukizo mbele za Mungu.

Ila ni kawaida yetu sisi wanadamu kuyapa baadhi ya mambo uzito kuliko mengine hasa katika kukutafuta kujihesabia haki na kujiona ni wema kuliko wengine. Ndio mana mlevi anamwona mzinzi ni mwovu kuliko yeye na anashangaa mwingine akiwa jambazi; ndio mana anayechepuka anajiona yeye ni nafuu na msafi kuliko aliyejitangaza kuwa ni Malaya; ndio mana anayepokea rushwa kwa kalamu anajiona yeye ni salama kuliko trafiki anayepokea barabarani; na ndio mana kiongozi anayekandamiza haki za wengine na kuonea watu anajiona yeye ana haki kuliko anaowaita wavunja sheria. Ila ukweli ni kwamba ushoga ni dhambi na jambo la aibu na kulaaniwa kama ilivyo sawa na uasheraji, uzinzi, ukahaba, rushwa, uonevu, uongo, ufisadi, hila, kiburi, majivuno, na ukatili. Biblia inasema hawa wote eneo lao ni katika Ziwa liwakalo moto wa milele.

Kuna maswali kadhaa kila mtanzania anabidi kujiuliza:

Nini mantiki ya hii vita na tumedhamiria kufanikisha kitu gani? Tangu lini Tanzania imekaa juu ya kitu cha enzi na kuwa muhukumu wa dhambi kwa kupima zinazovumilika na zisizovumilika? Je, tumeshamaliza kuzuia dhambi zote na sasa tumebakiza ya ushoga tunayoiita vita? Kwani sheria ya kupinga ushoga na matendo yanayoendana na ushoga imeanzishwa lini? Ni leo, ni jana, ni juzi? Kwani dunia haikujua miaka yote kwamba tuna sheria inayopinga ushoga? Sasa inakuwaje hiyo vita inaanza sasa na kutujengea maadui? Je, kutoa Afrika Kusini, ni nchi nyingine ngapi za Afrika zinazokubali ushoga kisheria? Majirani zetu Kenya wanakubali ushoga? Je, na wao wanapigwa vita kama taifa kama sisi kwa kuwa hawakubali ushoga?

Ukijiuliza maswali haya, lazima utaruhusu akili yako ifanye kazi na kukusaidia kuelewa kwamba tumenzishiwa vita isiyo na maana, haina malengo, na hatujui tunapambanaje na tunapambana na nani. Ni bahati mbaya sana kama taifa tunabeba tu hoja za watu wengine na kuzifanya zetu kwa kuwa tunawaunga mkono, tuna maslahi nao au wanalolifanya linamgusa tunayemuona ni adui.

Hatujui tunapigana na nani na ana nguvu gani

Mtu yoyote akitazama tamko la bunge la EU dhidi ya yale wanayoona ni mambo yanayohitaji kurekebishwa nchini, atashangaa uzito uliowekwa kwenye swala la ushoga. Pamoja na kuwepo mambo mengine ambayo huenda ni ya msingi na yanahitaji mjadala, ushoga umeongelewa kwa uzito na umekuzwa kuliko uhalisia wake. Sasa ni rahisi sana mtu kuanza kuwashambulia watu hawa na kusema wanataka kutulazimisha ushoga kwa sababu hii au ile na kukimbilia kuwatukana. Ila kama ukijipa muda kujielimisha katika muktadha wa diplomasia za kimataifa na yanayoendelea duniani, utagundua mtizamo huo una shida na ni njia ya mkato ya kutazama mambo makubwa. Kwa nini nasema hayo?

Ukijishughulisha kufuatilia hii ajenda ya ushoga, utaelewa kwamba sio vita ndogo na rahisi kama wengi wanavyodhani. Hii sio vita ya kusema tu hili jambo ni baya, ni aibu, ni najisi au ni la kupingwa kwa nguvu zote. Ushoga na matendo yanayofanana na hayo yanashadidiwa na watu ambao siku hizi wanajiita jumuiya ya LGBT (Lesbians -wasagaji, Gays - wafiraji, Bisexual – watu wenye tabia za jinsia tofauti na maumbile). Katika nchi za magharibi, watu hawa kwakujua kutokukubalika kwa matendo yao katika jamii walijiona kama wanakandamizwa, wanatengwa na kuonekana najisi katika jamii yao kwa kuwa ni kundi dogo (minority group). Kwa kujua kuna nguvu katika umoja, badala ya kutafuta haki zao kila kikundi kivyake, wafanye hivyo wakiwa kama kundi moja lenye utambulisho. Kwenye nchi nyingi za magharibi hasa zile ambazo bado zina mabaki ya maadili, watu hawa wanafanya uchafu wao kivyao na kwenye maeneo yao. Wana makanisa yao, vilabu vyao vya kunywa, na mikusanyiko mingine kama hiyo. Wana umoja imara sana na hoja yoyote wanayoitetea wanaitetea wote kwa nguvu zote.

Kitu cha pili utakachojielimisha nacho ni kwamba watu wa kundi la LGBT sio wachache na sio wapya. Walikua wachache huko nyuma wakati sheria zilikua kinyume nao ila sasa wanajitokeza kwa wingi. Wamekuwepo kwenye nchi hizi kwa karnenyingi. Ndio mana nchi nyingi zilikua na sheria kali za kuwahukumu kifo au kifungo cha Maisha. Ila historia inaonesha kwamba watu wengi maarufu na waliopata mafanikio makubwa katika jamii kama wanasiasa, wanasayani/ wasomi, wasanii, wanamuziki, wanafalsafa, na hata viongozi wa dini walikua na vimelea vya ushofa ama kwa wazi wa kujificha. Sina muda ningekupa orodha ya watu wa zama hizo ambao habari zao zinaonesha walikua mashoga. Katika historia ya nchi za ulaya, kuna watu wengi walijiua walipoona ushoga wao umejulikana.

Kadiri ustaarabu wa magharibi ulivyoendelea na haki za watu hawa kuanza kulindwa na sheria, waligundua namna ya kusambaza ajenda zao na kulinda haki zao. Watu hawa walinza harakati za kuingiza haki na maslahi yao kwenye sheria, sera na taratibu mbalimbali za maisha. Wamehakikisha katiba na sheria za nchi zinatamka wazi ulinzi wao na haki ya matendo yao. Kule Marekani mafanikio makubwa kabisa waliyapata katika utawala wa Obama ambapo kwa mara ya kwanza mahakama kuu ya nchi hiyo ilitoa hukumu iliyotoa uhalali wa ndoa za jinsia moja na wahusika kupata haki zote sawa na ndoa za asili. Katika nchi ya Marekani jambo hili lilikua linakubaliwa na baadhi ya majimbo huku mengine yakipinga. Ila jambo likishapitishwa na federal court inafuta sheria za majimbo. Ushindi mwingine mkubwa ni kwa nchi kama ya Ireland ambayo asilimia kubwa ya raia wake ni wakatoliki ngangari lakini walipitisha sheria kupitia kura za maoni mwaka 2016 ya kukubaliana na ushoga tena kwa ushindi mkubwa.

Ukijiongeza zaidi, utagundua kwamba hawa jamaa wa LGBT hawajaishia hapo, bali wamehakikisha wamepenyeza “watu wao” kwenye nafasi nyeti za kisasa. Hadi sasa nchi kadhaa za ulaya zina viongozi wakuu ambao ni mashoga na wasagaji. Hali kadhalika kuna wabunge, magavana, na mawaziri wengi. Makanisa mengi huko magharabi sasa yanawakubali watu hawa sio tu kama waumini wa kawaida na hata kuwafungisha ndoa kiimani, bali wana viongozi wa dini ambao ni mashoga na wasagaji. Kanisa la Anglikana lililotawala kule Uingereza na baadhi ya matawi yake huko Marekani yanao watu wa aina hii. Hivyo utaona kundi hili sio tu limehakikisha kwamba linabadili mwelekeo wa sheria na sera za nchi kulinda haki zao bali hata kubadili misingi ya kiimani. Ajabu ni kwamba linfanikiwa. Jamii ya LGBT inatoa fedha kufadhili kampeni za kupitisha watu wao au mtu yoyote ambaye wanajua atatetea maslahi yao na ndio mana mtu kama Obama atabaki kuwa shujaa wao milele kwa kuhakikisha wanalindwa kisheria.

Ukipiga hatua zaidi, utagundua kundi hili lina watu wengi kwenye jumuiya ya wafanya biashara. Utashangaa kugundua kwamba matajiri wengi wakubwa duniani ambao ama ni wamiliki wa makampuni makubwa au ni viongozi wakubwa wa makampuni yenye umaarufu ama wao wenyewe ni wanachama wa LGBT wanaunga mkono mambo ya kishoga. Kwa minajili hii, watu hawa wamepenyeza ajenda zao na kuzisambaza kupitia biashara, biadhaa, michezo, na mambo mengine.

Maeneo mengine makubwa ambayo wamefanikiwa kuyakamata na kuwapa mafanikio ni vyombo vya habari na tasnia ya filamu. Watu hawa wamejipenyeza kumiliki na kuwa miongoni mwa watangazaji maarufu kabisa au media personalities katika vyombo vikubwa vya habari na hasa televisheni. Watu kama Richard Quest na Anderson Cooper wa CNN wamejitangaza hadharani kwamba ni mashoga. Mtangazaji makini kama AmanPour ni kampena mkubwa wa haki za mashoga na huwabana sana wanasiasa kwa hoja hizo. Kwa kuwa na watu wa aina hii kwenye vyombo vya habari, kundi la LGBT limefanikiwa sana kutangaza ajenda zao kwa uwazi na hata kulazimisha watu wengine wazitetee. Wameongoza vita kushambulia mtu, watu au taasisi yoyote inayoonesha kuwadharau au kutofautina na matendo yao. Na wakishakukomalia hawa basi huna wa kukuokoa na lazima itakula kwako mahali kama sio kukumaliza moja kwa moja.

Kwenye eneo la filamu ndio wamefanikiwa kupita maelezo. Kwa sasa ni ngumu sana kutazama filamu zinazotengenezwa Marekani au Ulaya ambazo hazijaingizwa mambo ya kishoga. Hata filamu iwe nzuri kiasi gani, ushoga utaingizwa tu kwa namna ambayo hujategemea. Ni kawaida kabisa kwamba mtu anapoangalia filamu, sio rahisi aache au azime kwa sababu kuna tukio moja au mawili ambayo hayapendi. Kwa kawaida watu hutizama kila kitu kwenye filamu ikiwa ni pamoja na matukio ya kuwasisimua kama ya ngono au kuona vifo. Kwa mijali hiyohiyo ushoga umeingizwa kijanja sana. Kwa wanaotazama filamu za magharibi ni wazi kwa sasa wameshazoea kuona mambo haya na hawashangai tena. Na kwa mtindo huu, LGBT community imefanikiwa kwani watu wengi duniani kwa sasa wanaona matendo ya ushoga kama mambo ya kawaida tu. Kitu kinachoshangaza zaidi ni kwamba ukifuatilia Maisha wa wacheza filamu kwenye nafasi hizi za kishoga, wanaume kwa wanawake, wengi wao ni watu wenye familia na heshima zao na sio mashoga. Ila wanapocheza ni kama walizaliwa hivyo. Sasa jiulize wanalipwa nini na kiasi gani kukubali unajisi huu? Kwa nini wanaondika filamu na madirekta wanapenyeza mambo haya kwenye kila filamu? Hata baadhi ya katuni na vitabu vya watoto, vimeanza kuingizwa mambo haya na hivyo wanakua wakiwa wanaona ushoga ni sehemu ya Maisha.

Nina mifano mingi ya kutoa lakini itoshe tu kusema tunaopigana nao hatuwajui vema wala uwezo wao. Hatuna uwezo wa kisiasa, kifedha wala kijeshi kupambana nao. Watu hawa wameshikilia roho za kila taasisi na serikali za kimagharibi na wanaziendesha nchi zao kwa ushoga wao kiajabu sana. Watanzania wengi na waafrika wengine tunadhani kwamba kila mzungu anapenda ushoga au anaona ni kawaida. Ukweli ni tofauti kabisa. Wako wazungu wengi tu wasiounga mkono ushoga kwa misingi ya kiimani na kimaadili. Wengi tu wanaona ni jambo najisi na lisilofaa. Ila hawana tena nafasi na uwezo wa kueleza hisia zao maana wanabanwa na sheria. Hata mahubiri makanisani wanaogopa kutamka wazi kwamba mambo hayo ni najisi. Kwa nini? LGBT imefanikiwa kujiwekea uzio mkubwa sana wa ulinzi wa kisheria. Imeshafanya jambo lolote linalogusa matendo yao kuwa nyeti na linapewa uzito wa ajabu sana kisheria na kisera; za taasisi au za nchi. Wanaopinga hawana namna zaidi ya kuvumilia na kunyamaza kimya. Uzuri wao tofauti na sisi, wamezoeshwa kuishi kwenye mazingira ya utii wa sheria na kuheshimu haki za wengine hata kama unatofautina nao ili mradi hugusi Maisha yao.

Walioanzisha vitu hivi wangejielemisha haya, wangetafakari zaidi iwapo kuna haja ya kufanya tunachokifanya na kujikuta tulipo sasa tukinyooshewa vidole na kila mtu. Tumegusa mboni ya jicho ya watu hawa na ndio mana utaona jambo hili lina uzito wa kipekee kuliko mambo mengine yote yanayohojiwa kwenye nchi yetu. Kibaya zaidi, ninahofia hata Mungu tunayedhani tunamtetea na kumwamwani kwa kutangaza vita vya ushoga wala hayuko na sisi maana hii sio staili yake ya kupambana na dhambi.

Ninashauri nini?

Wasiotaka kufikiria na wenye mawazo ya mkato wanaweza kudhani ninaunga mkono ushoga au ninamaanisha nchi yetu isipinge ushoga. Hii sio sahihi. Ninachosema ni kwamba vita hii bado tungeweza kupigana kwa akili bila kelele na tukashinda kama ambavyo tumepigana siku zote kwa misngi kwamba tamaduni zetu sio tu kwamba haziungi ukono huo ufedhuli bali hata kujadili kwa uwazi tunaepuka. Tungeweza kuendelea kuonesha misimamo yetu bila kufarakana na watu tusioweza kupambana nao. Kama mtu angetuuliza tunasimamia nini bado tungeweza kujibu kama Kikwete aliyejibu kwa kusema “Toba yarabi” au kama Uhuru Kenyata aliyabanwa akiwa Uingereza akajibu kwamba “jambo hili sio kipaumbele cha wakenya kwa sasa na hawajajitokeza kuonesha tunahitajika kulishughulikia. Tuna mambo ya msingi kama taifa kuhusu maendeleo na ustawi wetu ambayo ndio yanagusa maisha ya kila mkenya”.

Nchi za mashariki ya kati kama Dubai, Qatar, Saudi Arabia, Irani na nyingine nyingi zina sheria ngumu sana zinazokiuka kinachouitwa haki za binadamu. Wanapinga mambo mengi ikiwa ni pamoja na uhuru wa kuabudu, uhuru wa kujiunga na dini unayotaka na hakuna demokrasia ya kisiasa. Hata wazungu wakitaka kwenda huku (na wanakwenda kwa wingi sana), wanajua kabisa wanakwenda kwenye mazingira gani hivyo watajiandaa kuvaa madera/mabaibu na vilemba. Nchi hizi ndio washiriki wao wakuu wa biashara na wanafanya nao biashara za matrilioni. Wamewekeza kwao na wanawapa ufadhili vijana wao wakaosome kwa wingi huko magharibi. Pamoja na yote hayo, hichi hizi zina sheria ngumu za ushoga na mambo mengine yasiyokubalika katika jamii za kiislamu. Hata hivyo huwezi kuwasikia viongozi wao wakitoa matamko kwenye vyombo vya habari kupinga ushoga au kutoa ahadi na viapo vya kupambana nao. Kwa nini?

Jakaya Kikwete aliwahi kutuambia kwamba “akili za kuambiwa changanya na zako”. Siku za karibuni akiwa ameshataafu aliwahi kuwaambia wanazuoni wa pale UDSM kwamba “huna haja ya kurithi maadui wala ulazima wa kutengeneza wa kwako”.

China inaongoza duniani kuminya haki za binadamu. Ni nchi inayoendeshwa kwa mkono wa chuma na hawamvumilii mtu yoyote anayekwenda kinyume na misingi yao. Hakuna uhuru wa vyombo vya habari, hakuna demokrasia, wala hakuna uhuru wa kuabudu. Watu wananyongwa ovyo kwa makossa ya ajabu kabisa. Hata hivyo ndilo taifa linalofanya biashara na Marekani na Jumuiya ya Ulaya kuliko lingine lolote lile duniani. Bidhaa zao ndio zimejaa kwenye masoko ya magharibi. Je, umewahi kusikia viongozi wao wakipambana hadharani na mashoga au wakifanya ushoga vita ya kitaifa?

Kama taifa tujielekeze kwenye mambo ya msingi. Katika harakati za kuijenga nchi tunahitaji utulivu mkubwa na kushirikiana na yeyote tunayeweza kufaidi mchango wake katika harakati zetu. Tusipokua makini tutapoteza dira na kujikuta hata uwezo wa kufanya tunayotaka hatuna tena na badala yake hali yetu inakua mbaya kuliko tunayotaka kuibadilisha. Mifano ya aina hii ni mingi duniani na kama tunakata kujifunza tukawaulize wasudani, wazimbawe na wavenezuela. Mtu makini na mwenye malengo makubwa anajua kabisa kwamba sio kila vita inafaa kupigana na kuna mambo mengi ya kupuuzi humu duniani. Hakuna mtu anaweza kufuta ushoga na matendo yake duniani hata kuwe na sheria kiasi gani. Vita ya kweli kwenye eneo hili ni la sisi kusisitiza ujezi wa jamii yenye maadili mema na kusisitiza viongozi wetu wa dini kufundisha na kupinga maovu kwa Imani zao.

Tafakari na chukua hatua.
Bahati mbaya hapa kwetu tulitangaza vita dhidi ya mashoga badala ya vita dhidi ya ushoga.

Kuna wakati tunajadili hoja tofauti na iliyopo mezani.
 
Back
Top Bottom