Sikumuoa bana alipata boyfriend mwingine UDSMNinakumbuka tukiwa O level kuna bint mmoja mzuri sana alikuwa anasomeshwa na boyfriend wake.
Yule kaka kila Jumamosi alikuwa analeta makulaji, mkate wa Arusha, juice, matunda na kuku wa kukaanga.
Sijui walioana.
DoneEndelea sasa boss!
Sijui pale pana mashetani ganiSikumuoa bana alipata boyfriend mwingine UDSM
Si mchezo kamandAiseee
TrueAt your own risk
Mchumba anasomeshwa cherehani tu
Cherehani tu
Wengine tumesomesha hadi wamepata degreeMchumba anasomeshwa cherehani tu
Si mchezo kamand
Pole mkuuMim hapa, form one mpaka form 4
Ndio hivyo inabidi tu mkuuDah watu mna roho ngumu unamsomesha mtu ambaye hata mahar hujatoa na hapo ukute mdogo wako anaangaikia ada.
Wa hivyo hakuna wanaooana. Mwanamke aliesomeshwa,lazima amuone aliyemsomesha boya,chuo anapata wa leval yake. Na hakuna demu mtamu kumgegeda kama anaesomeshwa na fala mmoja huko. Unapomgegeda unamuuliza nani anakusomesha. John. Nani?. John. Anaitwa nani?. Johniiiii. Unapomalizia unatamka kabisa ***amaeNinakumbuka tukiwa O level kuna bint mmoja mzuri sana alikuwa anasomeshwa na boyfriend wake.
Yule kaka kila Jumamosi alikuwa analeta makulaji, mkate wa Arusha, juice, matunda na kuku wa kukaanga.
Sijui walioana.
Wapo waliosomeshwa na waume zao wa ndoa wakahudumiwa kila kitu lakini baada ya chuo ndani ya miezi 6 unaskia flani anafunga ndoa tenaDah watu mna roho ngumu unamsomesha mtu ambaye hata mahar hujatoa na hapo ukute mdogo wako anaangaikia ada.
Ndio hivyo, wanaume wengi sana hapa wamesomesha.Hapa watajifanya wagumu hawasomeshi ila ukweli ni kuwa wanasomesha sana tu.
Mtusomeshe tu jamani, mengine ni matokeo tu.