Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Unaweza kudhan matatizo ya watu wengine yanasababishwa na watu kumbe tunakosea kuamin hvyo,matatizo yanasababishwa na ww mwenyewe.
Ni kweli. Hata tatizo la umaskini Tanzania ni la watanzania wenyewe kwa ujumla wetu hatujakomboka kifikra. Hata ombaomba wa barabarani walio wengi tatizo sio umasikini bali tatizo ni kukata tamaa. Miongoni mwa mambo mabaya kabisa hapa duniani ni kukata tamaa ya kutafuta riziki.
 
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda!
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.[/QUOTE]
Niwmbie asilimia 50 ya milion 5 ni shiling ngp??
 
Pole sana mkuu,hii thread yako inanikumbusha ndugu na jamaa waliofirisika,nami kupitia wao nimejifunza vitu vingi sana katika maisha,kwanza nnaamini hakuna ajuaye kesho yake,pil kufirisika haina kesho,tatu usijivune ukiwa navyo(usiwadharau wengine),nne kuwa na nidhamu ya pesa(kimatumizi),tano epuka kukopa kiwango kikubwa cha mkopo na pia usiwe mwepesi kukopesha,na n.k
Point...
 
hahahaaa!! zungushaaaa, wape bia haoooo!!! wanywe mpaka waombe poa!! kampuni kubwa hiiiiiiii!!!, bill inakuja 70,000/= mfukoni una 50,000/= unachukua pikipiki fasta huku wadau unawaacha wanakula mvinyo, unaenda kuvuta 200,000/= ili imalize kila kitu mnahama viwanja huku group linakufuata nyuma kila MTU na bebi wake unawanywesha wewe!!!

Mkuu kama unanisema mm, kipindi nikiwa chuo mwaka wa pili niliangukia zari nikakusanya Mil. 2.7, siku moja nikaenda Yenu bar pale ubungo nikiwa na 50,000 mfukoni nikamshtua jamaa akaja tukala pombe ilipofika saa 12 jioni nikawa nimefulia nikazama ATM pale Ubungo nikavuta laki 3. Tukabadili kiwanja na kuhamia Ambiance kule sinza nikawaita washkaji 3 na kuagiza wachukue Taxi nitalipa. tukawa watano, hapo sasa ligi ikaanza ni mwendo wa kuagiza 2 so round moja zinakuja 10, ukilewa unaagiza mchemsho.

Ikafika saa 11 alfajiri nikavuma Malaya mmoja hv likanipeleka kwake nikalitoa 30,000. Daaah hadi narudi hostel najisearch nina buku 5 tu hiyo jmos na j3 nina test. sikujali maana salio lilikua linasoma. Hela yote iliishia kwenye pombe niliambulia kuweka solar ya lak 4 nyumbani.

Hili lishakua funzo kwangu
 
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda!
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.[/QUOTE]

Mkuu nadhani hukumwelewa tu niliyemquote, yeye amezumngumzia hilo suala kiimani, kwa imani za dini ya kiislam ni haramu kupokea wala kutoa riba, haijalishi riba ya asilimia 0.01 au 50% yote ni riba. Wanaokopa kwenye riba za 50% ni waajiriwa wenye shida, sisi wachakarikaji wa mjini huwezi kukopa kwenye vicoba sjuwi naninani credit service huko wanakopa walimu na askari, nachukua pesa ambayo najua itaisaidia kwenye biashara zangu, siyo pesa ya kulipia ada watoto au kujenga nyumba ya kuishi!
 
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda!
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.[/QUOTE]

Mkuu nadhani hukumwelewa tu niliyemquote, yeye amezumngumzia hilo suala kiimani, kwa imani za dini ya kiislam ni haramu kupokea wala kutoa riba, haijalishi riba ya asilimia 0.01 au 50% yote ni riba. Wanaokopa kwenye riba za 50% ni waajiriwa wenye shida, sisi wachakarikaji wa mjini huwezi kukopa kwenye vicoba sjuwi naninani credit service huko wanakopa walimu na askari, nachukua pesa ambayo najua itaisaidia kwenye biashara zangu, siyo pesa ya kulipia ada watoto au kujenga nyumba ya kuishi!
 
Mkuy pambana,hela iliyopotea hata ukiifikiria hairudi.Mi ningekuwa na roho nyepesi ningeshawehuka kitambo.tena bora wale waliofilisika kwa kuzitumbua atleast watasema walikula bata.mie hasara zote nimezipata kwenye biashara,lakini kukata tamaa kwangu ni mwiko.alimradi unapumua,hutakiwi kukata tamaa wala kusononeka.komaa,kaza mpaka kieleweke.
Sawasawa tuko pamoja ukianguka kimaisha /kibiashara, usishangae kaza buti kimbiza utafanikiwa tuu. mimi yalisha nikuta hayo huko nyuma tena sio mara moja huwa sishangai walakujuta japokuwa ya naumiza.

Ninacho angalia nini cha kuandaa kwa manufaa ya baadae cha muhimu ni mali zisizo hamishika kwa sasa niko ok.
 
yaaani mlemleeee!!! halafu unajifanya uko bize na miamalaaa, unapishana na wadosi kwenye ATM, ukikuta ATM haina salio unaanza kulala kwamba wanazingua wanakuchelewesheni kwenye biashara!! kumbe unawahi baa

zikiisha hautatamani hata kupasogelea!! unaona hadi vibinti vinaingia wewe salio linasoma tshs 1600.50/= ( maana yake haitoki) halafu huna hata vocha.
 
Niliwahi kuzichanga huko nyuma, nikafungua grocery! Kwa kuwa nami nilikuwa mwanachama, mwanzoni nilikuwa na wateja wazuri na waaminifu. Baada ya muda mikopo ikaanza. Mteja akikopa na deni likiwa kubwa, anahama kijiwe. Nakumbuka mara ya mwisho nilifungia crate tupu kwani hata chupa walishakopa zikiwa na pombe ndani. My Take: Biashara ya pombe kama na wewe mmiliki ni mnywaji, usinywee pale, ni hatari kwa usalama wa grocery yako.
Mimi sina biashara, nimehamua kufa maskini, pesa kidogo niliyonayo ninamalizia kwenye pombe.
 
Haa ha ha...!! Na wew itakuwa discpline ya pesaa ni zeroo kabisa....
mkuu mkwanja kama huwa una ka jini flani ukiwa mfukoni unakuwasha utoke toke ivi. haikawiii kujikuta unakula vitumbua vya buku 3, ujakaa sawa unakula miwa mara maembe

yaani usione kitu kimepita, mara umehonga wakujue wewe ni nani? mishkaki kidogo soda humalizi chupa unajikuta umetamani malta

aliye weza kuwa na heshima ya pesa hongera kwake kwangu mimi najitahidi ila wapiiii
 
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.

Mkuu nadhani hukumwelewa tu niliyemquote, yeye amezumngumzia hilo suala kiimani, kwa imani za dini ya kiislam ni haramu kupokea wala kutoa riba, haijalishi riba ya asilimia 0.01 au 50% yote ni riba. Wanaokopa kwenye riba za 50% ni waajiriwa wenye shida, sisi wachakarikaji wa mjini huwezi kukopa kwenye vicoba sjuwi naninani credit service huko wanakopa walimu na askari, nachukua pesa ambayo najua itaisaidia kwenye biashara zangu, siyo pesa ya kulipia ada watoto au kujenga nyumba ya kuishi!

Mimi Nimekuelewa yeye amesema biashara ya riba si nzuri kuna mdau huko juu amesema anakopesha kwa riba unaweka dhamana kitu yeye amemualart awe makini biashara ya riba si nzuri ni Kwel ukiacha maswala ya kiiman pemben ukikopa bank unaweza Pewa Mfno mil 1 kwa riba Asilimia 9 kwa miezi sita au mwaka Sasa kwa hawa wanaokopesha mitaan atakupa one million kwa riba Asilimia 50 ndani ya mwezi mmoja hii biashara Narudia sio nzuri kwa mkopeshaji Wala mkopaji Mwisho Huwa mbaya Sana.
 
mkuu mkwanja kama huwa una ka jini flani uliwa mfukoni unakuwasha utoke toke ivi. haikawiii kujikuta unakula vitumbua vya buku 3, ujakaa sawa unakula miwa mara maembe

yaani usione kitu kimepita, mara umehonga wakujue wewe ni nani? mishkaki kidogo soda humalizi chupa unajikuta umetamani malta

aliye weza kuwa na heshima ya pesa hongera kwake kwangu mimi najitahidi ila wapiiii
Hata mimi mkuu nkiwa na Hela bora ninunue kitu aisee lakini nkiitunza naipukutishaa yotee
 
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.
Niwmbie asilimia 50 ya milion 5 ni shiling ngp??[/QUOTE]
Nusu yake million Mbili na nusu ukikopa million tano urudishe mil 7.5
 
Wengi wa watu walipitia mafanikio makubwa sana na tunajuta...Anasa na starehe nzuri ni zile unakula na familia ukubwani maana hapo ndipo umuhimu wa pesa na uhitaji wa pesa unapoonekana...vijana hakikisheni mnaweka pesa zenu kwenye Asset na sio Liabilities....nunua viwanja kadri uwezavyo...wekeza kwenye mashamba hata kama ulimi sasa hivi... kula bata kwa akili sio kwa sifa ili watu wakuone...wanaokusifia sasa ukifilisika haohao wanakucheka na kukudharau.
Point mkuu..
 
Back
Top Bottom