Tupo kila kona hadi siku tiukibambwa na condom kwa dishe na main chicksHAHAAAA WAZINZI MMEKUTANA MANINA
hahaaa manina ..mnapata dhambi mjue ..halafu main chick nae akiuza mechi mnaanza kulialiaTupo kila kona hadi siku tiukibambwa na condom kwa dishe na main chicks
Hamna kulia ujue mechi za nje ni nzuri sababu zinaongeza experience ukirud kucheza za ndani sasa ndani utakuta kifo cha mdudu daily nje unapiga samba solt hadi unasimamia vidole hiyo experience unaileta ndan lazima uvunje mtu mgongohahaaa manina ..mnapata dhambi mjue ..halafu main chick nae akiuza mechi mnaanza kulialia
hahaaaaa aiseeeeHamna kulia ujue mechi za nje ni nzuri sababu zinaongeza experience ukirud kucheza za ndani sasa ndani utakuta kifo cha mdudu daily nje unapiga samba solt hadi unasimamia vidole hiyo experience unaileta ndan lazima uvunje mtu mgongo
Nlichepuka na house girl mama la mama akagundua maana dogo akaanza kumdharau. Mbaya zaid papuch ya house girl ilikua tamu kuliko na sikuacha kuila mpaka aliporud kwao ndo kukawa na ahuheni ndani ya nyumba.