Tuliosoma sayansi na hisabati tukutane hapa twende kwa waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

Android

JF-Expert Member
Jul 24, 2012
970
1,207
Dar e salaam, Tanzania.

Wengi mlisikia naibu waziri Jaffo kwamba serikali inafikiria kuja na mpango maalumu kuwachukua watu waliosoma masomo ya hisabati na sayansi lakini hawakusoma ualimu kuchukuliwa kwenda kufundisha hayo masomo, sababu ni uhaba ya walimu wa masomo hayo.


Basi tukutane hapa wale wote mliosoma masomo ya sayansi na hisabati na mkasoma taaluma zingine lakini sasa mpo benchi, au labda mpo sehemu ambazo hamridhiki na mngependa muajirwe na serikali kama walimu.


Sababu serikali imesema hili jambo lakini imeliacha hewani, haijasema lini na namna gani italifanikisha. Tupange tukutane mahali tuliongee hili kwa urefu, na tukiwa wengi kwa umoja wetu tukaenda wizarani au tukamuona waziri Ndalichako au waziri Jaffo au katibu wizara serikali inaweza kutoa mungozo kuhusu hili. Kama vile lini watalitimiza hili jambo, na kutoa utaratibu maalum wa jinsi gani ya kutuchukua. Kama kutakuwa na crush program maalum tutafahamu au kama kutakuwa na uataratibu wa kuandikisha majina wanaotaka huo mpango, tutafahamu pia. Huwezi jua huenda walimu wapya wakichukuliwa na sie tukalamba dodo.


Hivyo basi walio tayari tuchangie huu uzi na sehemu ya kukutana tutapanga, mimi nipo Dare s salaam, kwa waliopo Dare salaam tutapanga sehemu ya kukutana kwa waliopo mkoani tutaangalia uatartibu wa kuwajumuisha au kama mtapanga kukutana na kutupa ripoti na mliyoyafikia


Wakati wa kuchangia huu uzi ningependa nipate watu siriazi wawili watatu waje inbo, ili kusaidia kuusongesha huu uzi pindi sitakuwa hewani. Watu wenye uhakika wa kuwa hewani angalau kila siku, manake msije mkaona kimya mkaona nimetelekeza uzi.


Tafadhali hifadhi ujinga wako kwa threads zingine kama huna cha kuchangia kwa thread hii..

UPDATES:
Group la whatsapp liko tayari namba ya admin 0769591328.
au weka hapa chini namba zenu za whatsapp kuna grup la whatsapp tumelitengeneza tuyajadili haya, au nitumie mimi Android inbox namba zenu za whatsaap au mtumieni Binti Forogo pm namba zenu za whatsapp tuwa add kwenye grup, ni kwa walio serious tu.

UPDATES MUHIMU

Binti Forogo
TAARIFA MUHIMU

1.Kwa walimu Wastaafu wa Sayansi wenye uwezo wa kuendelea kufundisha leta taarifa zako idara ya Elimu Sekondari Manispaa ya Kinondoni na Ubungo

2.Wanafunzi waliohitimu kidato cha sita SAYANSI wenye ufaulu principle pass mbili masomo sayansi
Na.

3.Na waliosoma sayansi lakini wamesomea course nyingine au course za sayansi mfano Afya, uchumi, uhandisi, IT, Computer scs, uhasibu nk.


4.Walioko shuleni wawaone wakuu wa shule zao ili watume taarifa.

Wengine wote leteni taarifa zenu zikizingatia MFUMO ufuatao na copy za vyeti vya kitaaluma
1.Jina ...
2.Jinsia...
3.Shule / Chuo..
4.Course au masomo..
5.Mwaka aliomaliza...
6.Unapoishi na namba ya simu....
7.Wastaafu mwaka uliostaafu.

Ukifika manispaa ya Kinondoni Elimu Na. 03 muulizie Mr. MABULA au Halima

Manispaa ya Ubungo muone Neema Maghembe.

Mwisho wa kupokea taarifa ni 09.11.2016 Alhamisi hii
 
mwenyewe nilisikia hiyo taarifa, vipi utaratibu ukoje kwa wanaofahamu?
 
Naunga mkono hoja, hii inaweza saidia kupunguza uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi kwa kiasi kikubwa.
 
Hivi bado mnakubali kudanganywa na wanasiasa...kama wameshindwa kuwaajiri wahitimu wa ualimu wa science na madaktari pesa ya kuwaajiri nyinyi wataitoa wapi
 
wekeni namba zenu za whtsapp tuwaunge kwenye grup, tujadili haya kuna grup tumetengeneza
 
wekeni namba zenu za whatsapp kuna grup la whatsapp tumelitengeneza tuyajadili haya, nitumie mimi inbox namba zenu za whatsaap au mtumieni Binti Forogo pm namba zenu za whatsapp tuwa add kwenye grup, ni kwa walio serious tu
 
Dar e salaam, Tanzania.

Wengi mlisikia naibu waziri Jaffo kwamba serikali inafikiria kuja na mpango maalumu kuwachukua watu waliosoma masomo ya hisabati na sayansi lakini hawakusoma ualimu kuchukuliwa kwenda kufundisha hayo masomo, sababu ni uhaba ya walimu wa masomo hayo.


Basi tukutane hapa wale wote mliosoma masomo ya sayansi na hisabati na mkasoma taaluma zingine lakini sasa mpo benchi, au labda mpo sehemu ambazo hamridhiki na mngependa muajirwe na serikali kama walimu.


Sababu serikali imesema hili jambo lakini imeliacha hewani, haijasema lini na namna gani italifanikisha. Tupange tukutane mahali tuliongee hili kwa urefu, na tukiwa wengi kwa umoja wetu tukaenda wizarani au tukamuona waziri Ndalichako au waziri Jaffo au katibu wizara serikali inaweza kutoa mungozo kuhusu hili. Kama vile lini watalitimiza hili jambo, na kutoa utaratibu maalum wa jinsi gani ya kutuchukua. Kama kutakuwa na crush program maalum tutafahamu au kama kutakuwa na uataratibu wa kuandikisha majina wanaotaka huo mpango, tutafahamu pia. Huwezi jua huenda walimu wapya wakichukuliwa na sie tukalamba dodo.


Hivyo basi walio tayari tuchangie huu uzi na sehemu ya kukutana tutapanga, mimi nipo Dare s salaam, kwa waliopo Dare salaam tutapanga sehemu ya kukutana kwa waliopo mkoani tutaangalia uatartibu wa kuwajumuisha au kama mtapanga kukutana na kutupa ripoti na mliyoyafikia


Wakati wa kuchangia huu uzi ningependa nipate watu siriazi wawili watatu waje inbo, ili kusaidia kuusongesha huu uzi pindi sitakuwa hewani. Watu wenye uhakika wa kuwa hewani angalau kila siku, manake msije mkaona kimya mkaona nimetelekeza uzi.


Tafadhali hifadhi ujinga wako kwa threads zingine kama huna cha kuchangia kwa thread hii..

UPDATES:
wekeni hapa chini namba zenu za whatsapp kuna grup la whatsapp tumelitengeneza tuyajadili haya, au nitumie mimi Android inbox namba zenu za whatsaap au mtumieni Binti Forogo pm namba zenu za whatsapp tuwa add kwenye grup, ni kwa walio serious tu.
Half nyinyi ndio mnaosema walimu nkimbilio la walio feri ww baki hko hko na fani yko
 
Ningeona fahari kama ungehamasisha wenzio mkutane kuunganisha mawazo mtoke na ubunifu wa vitu ili tujivunie uwepo wenu badala ya kuja na mawazo ya kuajiriwa.
 
Naunga mkono hoja, hii inaweza saidia kupunguza uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi kwa kiasi kikubwa.
kweli litapunguza sana, itakuwa ni win win win situation, yaani wahitimu, serikali na wanafunzi
 
Ningeona fahari kama ungehamasisha wenzio mkutane kuunganisha mawazo mtoke na ubunifu wa vitu ili tujivunie uwepo wenu badala ya kuja na mawazo ya kuajiriwa.
mkuu mawazo bila pesa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
mwenyewe nilisikia hiyo taarifa, vipi utaratibu ukoje kwa wanaofahamu?
wekeni hapa chini namba zenu za whatsapp kuna grup la whatsapp tumelitengeneza tuyajadili haya, au nitumie mimi Android inbox namba zenu za whatsaap au mtumieni Binti Forogo pm namba zenu za whatsapp tuwa add kwenye grup, ni kwa walio serious tu.
 
Hahahaaaaa kutwa kutusemasema walimu ooooh wamefeli ooooh sijui mishahara kiduchu kumbe maneno ya mkosaji ......shenxtyp
 
Dar e salaam, Tanzania.

Wengi mlisikia naibu waziri Jaffo kwamba serikali inafikiria kuja na mpango maalumu kuwachukua watu waliosoma masomo ya hisabati na sayansi lakini hawakusoma ualimu kuchukuliwa kwenda kufundisha hayo masomo, sababu ni uhaba ya walimu wa masomo hayo.


Basi tukutane hapa wale wote mliosoma masomo ya sayansi na hisabati na mkasoma taaluma zingine lakini sasa mpo benchi, au labda mpo sehemu ambazo hamridhiki na mngependa muajirwe na serikali kama walimu.


Sababu serikali imesema hili jambo lakini imeliacha hewani, haijasema lini na namna gani italifanikisha. Tupange tukutane mahali tuliongee hili kwa urefu, na tukiwa wengi kwa umoja wetu tukaenda wizarani au tukamuona waziri Ndalichako au waziri Jaffo au katibu wizara serikali inaweza kutoa mungozo kuhusu hili. Kama vile lini watalitimiza hili jambo, na kutoa utaratibu maalum wa jinsi gani ya kutuchukua. Kama kutakuwa na crush program maalum tutafahamu au kama kutakuwa na uataratibu wa kuandikisha majina wanaotaka huo mpango, tutafahamu pia. Huwezi jua huenda walimu wapya wakichukuliwa na sie tukalamba dodo.


Hivyo basi walio tayari tuchangie huu uzi na sehemu ya kukutana tutapanga, mimi nipo Dare s salaam, kwa waliopo Dare salaam tutapanga sehemu ya kukutana kwa waliopo mkoani tutaangalia uatartibu wa kuwajumuisha au kama mtapanga kukutana na kutupa ripoti na mliyoyafikia


Wakati wa kuchangia huu uzi ningependa nipate watu siriazi wawili watatu waje inbo, ili kusaidia kuusongesha huu uzi pindi sitakuwa hewani. Watu wenye uhakika wa kuwa hewani angalau kila siku, manake msije mkaona kimya mkaona nimetelekeza uzi.


Tafadhali hifadhi ujinga wako kwa threads zingine kama huna cha kuchangia kwa thread hii..

UPDATES:
wekeni hapa chini namba zenu za whatsapp kuna grup la whatsapp tumelitengeneza tuyajadili haya, au nitumie mimi Android inbox namba zenu za whatsaap au mtumieni Binti Forogo pm namba zenu za whatsapp tuwa add kwenye grup, ni kwa walio serious tu.
watu tuna A na B za physics, chemistry, na mathematics O level na advance + vyeti vya taaluma lakini mtaani bado hapajakaa level .. naunga hoja mdau..
 
Tulishafutaga vodafasta katika Elimu so kuirudisha vodafasta kwa namna nyingine naona kama Tunaenda mbele hatua mbili tunarudi nyuma hatua 3,kwani kwa weledi tu wa kawaida Induction course ilikuwepo ila ilikuwa na -ve impacts zaidi ya +ve impacts ktk suala zima Ualimu,Aidha hili suala linasua sua coz bado halina mashiko unless iwe ni Induction ya Mwaka mmoja.
 
Tulishafutaga vodafasta katika Elimu so kuirudisha vodafasta kwa namna nyingine naona kama Tunaenda mbele hatua mbili tunarudi nyuma hatua 3,kwani kwa weledi tu wa kawaida Induction course ilikuwepo ila ilikuwa na -ve impacts zaidi ya +ve impacts ktk suala zima Ualimu,Aidha hili suala linasua sua coz bado halina mashiko unless iwe ni Induction ya Mwaka mmoja.
walimu nwa sayans wataendelea kuwa lulu, mwakani ni sayans tupu kwa wanafunz wote wa sekondari unalijua hilo?
 
walimu nwa sayans wataendelea kuwa lulu, mwakani ni sayans tupu kwa wanafunz wote wa sekondari unalijua hilo?
ni kweli mkuu wanahutajika sana tena sana kwa full course ya UALIMU na si Induction course ya walimu wa sayansi.nasema hivyo kwani kozi moja tuu ya ualimu mfano saikolojia ni ndefu na mtu huwezi kuisoma kwa muda mfupi na ukaielewa na kuifanyia kazi vizuri ktk kazi,so ndiyo maana mwanzoni ilikuwepo na ikafutwa hiyo induction course.So Tunawahitaji sana walimu wa sayansi ila wawe vizuri kitaaluma ya kada husika.
 
Back
Top Bottom