Tuliosoma nje ya nchi tunanyanyapaliwa sana

Mliondoka mkiwa hamna qualification mkaenda kusoma vyuo vya uchochoroni ambavyo havitambuliki mkirudi mnataka muajiriwe serikalini, duuuu!
Hii ni topic mpya. Andiko langu halina muktadha huo. Siju mnapata wapi haya mnayookoteza porini.
 
Hata mie nimesoma nje ya nchi ila hayo uyasemayo isipokuwa la verification, hayana uhalisia! Verification ni muhimu sana ingawa wanaweza kupunguza ukiritimba! Kuhusu 'treatment' unayopata kazini is purely comes from your own attitude! The fact that you are still referring to your foreign university badala ya kuonyesha ujuzi is bull shit! Na ukiendelea hivyo utapiga jalamba sana! Mwajiri Hana interest na chuo ulichosoma, anataka u'showcase' skill!
Kwenye mada yangu nimetaja attitude?
 
tumia akili za kichwani na si za makalioni,huyu Malyenge ni Mtumishi wa TRA muda mrefu,yupo kazini kila siku na hajawahi kwenda nje kwa Training yoyote aliyopelekwa na Ofisi,iweje leo aibuke na Cheti tu aseme amesoma nje ya Nchi wakati kila siku yupo kazini??ndio maana TCU wakataka Ushahidi kama alienda kusoma nje akakosa amebaki kulialia,yaani alete degree za kununua online huko halafu Ofisi na TCU wazikubali tu kirahisirahisi!!!halafu usijifanye unajua kuandika kingereza wakati unaandika broken tu makalio yako
, Mkuu, yaani wewe kusoma Nje, mpaka uwe Physically huko???huwezi kusoma Online???, hivi huyo bwana Malyenge akiprove Cheti alichosoma kiko legitimate utauficha wapi uso wako mkuu...?????..unless alisema nimeenda nje kusoma which is daft of him kama amesema hivyo wakati kila siku anaonekana yupo nchini akifanya kazi...ninachoona hapa kaka wa watu amesota sana kazini, humpandishi cheo, kaona ajiongeze online kusoma course, aongeze chances zake za kupandishwa cheo, bado mnamuwekea usiku....my assumptions tu...!

Halafu hauko makini kama mkuu wa kitengo, haupaswi kudisclose info za mtu/employee..tena online..wewe wakuangalie vizuri kama mkuu wa kitengo!, moja, uko tayari kudisclose info za mtu, hupandishi cheo mtu kwa perfomance yake, tatu hujui jinsi ya kudeal na staffs wako kama ikitokea wamemissbehave...yes wakuangalie sana...

Mwisho KIngereza ni lugha tu ndugu, ilikuja na meli, hii Forum ya bwana Melo, haiko kwa watu wenye English perfect, and kwa taarifa yako kuna watu wanajiita ' ENGLISH PEOPLE' ...kama huwajui google,lol,yet wakiandika English unajiuliza kama hawa ni English people ??!! ..i hate people wanaoona wanaoongea English ni watu wanaojifanya wanajua sana, proving wewe ni mtu wa insecurities ama una inferiority complex...!
 
Ujumbe wa mada yangu umefika. Basi kadri majibu humu mlivyojibu na maofisini wanatujibu hivyohivyo. Hakuna tofauti. Wengine wanataja performance, wengine behaviour, wengine attitude, wengine ujuaji, wengine wametaja maringo, wengine uvivu nk.
Yote hayo yako nje ya mada. Haiwezekani wote wawe kwenye mkumbo mmoja akosekane mtu aliye tofauti. Kuna watu kama 12 tuliosoma nje ya nchi hivi mwaka wa 8 huu tunajadiliana hatujui nini kinasababisha tuwe sidelined. Ina maana wote ni wavivu, wote wajuaji, wote ni wajivuni, wote tunajitapa tuna elimu bora kuliko waliosoma TZ? Haiwezekani tuwe na tabia hiyo wote vinginevyo kuna syllabus Ulaya inafundisha hivyo.
Watu pekee wanaokula shavu wakisoma nje ya nchi ni waalimu. Wanagombaniwa mavyuoni kwenda kufundisha. Huo ni utafiti uko wazi.
Lakini desk officers wote wanaangukia kwenye mada hii.
 
Huku utalipuliwa mkuu... si unaona Putin anavyotunyima amani?, hahahaa,
Kwakweli inabidi nikae hukuhuku niwe nawasikilizia kupitia DW, mara ulaya mashariki, maghrb n.k, hapa bongo si mna matawi, nikonekti sababu inaonekana wewe ni Afisa mwandamizi wa rasilimali watu na utawala wa kimkakati🤭🤭🤭
 
, Mkuu, yaani wewe kusoma Nje, mpaka uwe Physically huko???huwezi kusoma Online???, hivi huyo bwana Malyenge akiprove Cheti alichosoma kiko legitimate utauficha wapi uso wako mkuu...?????..unless alisema nimeenda nje kusoma which is daft of him kama amesema hivyo wakati kila siku anaonekana yupo nchini akifanya kazi...ninachoona hapa kaka wa watu amesota sana kazini, humpandishi cheo, kaona ajiongeze online kusoma course, aongeze chances zake za kupandishwa cheo, bado mnamuwekea usiku....my assumptions tu...!

Halafu hauko makini kama mkuu wa kitengo, haupaswi kudisclose info za mtu/employee..tena online..wewe wakuangalie vizuri kama mkuu wa kitengo!, moja, uko tayari kudisclose info za mtu, hupandishi cheo mtu kwa perfomance yake, tatu hujui jinsi ya kudeal na staffs wako kama ikitokea wamemissbehave...yes wakuangalie sana...

Mwisho KIngereza ni lugha tu ndugu, ilikuja na meli, hii Forum ya bwana Melo, haiko kwa watu wenye English perfect, and kwa taarifa yako kuna watu wanajiita ' ENGLISH PEOPLE' ...kama huwajui google,lol,yet wakiandika English unajiuliza kama hawa ni English people ??!! ..i hate people wanaoona wanaoongea English ni watu wanaojifanya wanajua sana, proving wewe ni mtu wa insecurities ama una inferiority complex...!
KWA kifupi mwambie hata huko UK kuna wazawa hawajui kiingereza pia. Anaonekana mshamba sana huyu jamaa
 
Kwakweli inabidi nikae hukuhuku niwe nawasikilizia kupitia DW, mara ulaya mashariki, maghrb n.k, hapa bongo si mna matawi, nikonekti sababu inaonekana wewe ni Afisa mwandamizi wa rasilimali watu na utawala wa kimkakati🤭🤭🤭
Eti unatusikilizia kupitia DW,ulaya magharibi,mashariki...hahah umenichekesha sana, ngoja tulipuliwe kweli..hahaha, sina koneksheni my dear, ningekupa, ni mzushi tu mie... 😪😪
 
Habari za asubuhi.

Somo tajwa hapo juu lahusika.

Sisi tuliosoma nje ya nchi tukirudi Tanzania kwenye taasisi za serikali tunanyanyapaliwa sana. Suluba inaanzia hapa:

Kwanza tunaambiwa tukavithibitishe vyeti vyetu TCU. Tukifika TCU usumbufu tunaopata pale ni mkubwa sana!

Unaambiwa upeleke ushahidi kwamba ni kweli ulikwenda nje ya nchi.

Wanataka visa yako ioneshe ni student visa wakati unaondoka. Pia uoneshe sehemu ya passport ulivoondoka na ulovyofika kule yaani uoneshe sehemu iliyogongwa muhuri.

Hayo si issue sana maana mwisho unatakiwa ulipie.

Kubwa ni lile unapofanya kazi wakubwa hawakupi kipaumbele wala kuthamini elimu yako. Wanakuona ni adui na unajifanya mjuaji.

Linapokuja suala la promotion utasugua benchi mpaka utajuta kwa nini ulikwenda kusoma nje ya nchi.

Waliosoma hapa nchini utawaona wanapeta tu na maisha yao yanaenda vizuri. Vyeo wanapewa mpaka unashangaa mtu kapataje maana uwezo wa kiuongozi au kiufundi unamzidi kwa kila kitu.

Kwa kweli hali hii inatuumiza sana.
Je, ni kosa kusoma nje ya nchi?
Eh hii kali! Je kitu ulichosomea ndicho unachokifanyia kazi? Maana na sisi tulisoma nje ya nchi (degree mbili za juu) lakini hatukuyapata hayo
 
Hata mie nimesoma nje ya nchi ila hayo uyasemayo isipokuwa la verification, hayana uhalisia! Verification ni muhimu sana ingawa wanaweza kupunguza ukiritimba! Kuhusu 'treatment' unayopata kazini is purely comes from your own attitude! The fact that you are still referring to your foreign university badala ya kuonyesha ujuzi is bull shit! Na ukiendelea hivyo utapiga jalamba sana! Mwajiri Hana interest na chuo ulichosoma, anataka u'showcase' skill!
Ni kweli. Mimi kazi zote nilizoomba kwenye international organization na balozi hawakutaka vyeti vyangu, wanataka CV na barua . Vyeti wznachukua baada ya kupata ajira.
 
Vyeo wanapewa mpaka unashangaa mtu kapataje maana uwezo wa kiuongozi au kiufundi unamzidi kwa kila kitu.
Bongo sio uwezo mkuu Wala usijutie sana nafsini mwako. Marope anamzidi nini kalemani kwenye nishati ama lukuvi na kabudi kuondolowa walikosa uwezo. Yaani Kama haupendwi basi ni Kama vile demu fulani haupendi kumla na unayempenda kumla utampendelea hata akifanya baya you can't be able to sense where she wronged you.
Halafu smt sijui kwa bongo wanataka uwanyenyekee sana yaani ujikombe etk unameki network yaani na hii kipaji ujue.kama mie siwezi kujifosi niwe jaribu na mtu labda itokee automatically tuwe bonded ile kufosi uhusiano ni Bora tu niishi my life ambalo lipo
 
Una conclude kirahisi tu. Una majibu kichwani.
Hii mada imewagusa pabaya. Maana mnaongea tu bila kujali upande wa pili.
We ndio unajua mazingira ya huko ulipo
Sie tutaotea tu
Tathmini ujue sababu
Sidhani kama ni kusoma nje
 
Back
Top Bottom