Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,651
- Thread starter
- #261
Daaah. Yaani ume conclude kirahisi namna hiyo?Pengine kweli huna sifa haiwezekani watu ofc nzima wakuchukie eti hr na CEO wakuchukie kiss umesoma nnje na wakuchukie ili walinse maslai ya watanzani Happ nimeona kuna tatizo fln either una vyeti venye magumashi au huna tahaluma inayo takiwa pale kazi