Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,659
- 7,288
Ilo ni official mkuu.Sorry mkuu Mkuu hilo user name ni la utani au ni official kabisa
Ilo ni official mkuu.Sorry mkuu Mkuu hilo user name ni la utani au ni official kabisa
Duu umeongea sanaMatokeo ya UTITIRI WA VYUO! zamani chuo kikuu kimoja UDSM ajira lazma upate, hata form 4 lazma upate ajira siyo lazma kila mtu asome hadi chuo, mwisho iwe form 4 wanaondelea mbele wawe wachache na vipanga sana,. Matokeo yake vijana wapo tayari kufumuliwa marinda wapate ajira au vyeo, Elimu imeshuka thamani kama sarafu ya Zimbabwe.
mishe zimekunyookea mkuuUkitaka kujua kuwa walioajiliwa Wana Hali mbaya , Jiajiri na mambo yako yakunyokee ndio utajua kuajiriwa ni utumwa . Lakini tusioajiriwa tukiwa kwenye hustler za kujiajiri , walioajiliwa wanajidai wakidhani ndiyo wamewine maisha . TUENDELEE KUHUSTLER ONE DAY YES