joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,315
- 32,114
Hili jukwaa sijui limekuwaje,mbona wapuuzi wapo wengi ambao hawa fuatilii hata vyombo vya habari vya kimataifa, hivi unazifuatilia kesi anazo funguliwa jamaa?Anafanyiwa mizengwe na nani?
Ulitaka ichapishwe fomu moja tu ya Urais apewe kama huki ?
Mida hii ya jioni DW Kiswahili wamechambua ushindi wake ktk jimbo la IOWA na wakamwalika mchambuzi wa maswala ya kimataifa na akaelezea vigingi anavyo vipitia Trump.
Unaleta siasa zako za kipuuzi za kwenu huku,sasa form moja hapa imefuata nini?